Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 33,913
- 67,435
Aha kumbe ni sawa mwenge unapajua?Mwaka sasa.
Aha kumbe ni sawa mwenge unapajua?Mwaka sasa.
We wa mkoani.Kanda hiyo napajua angalau hata kwa kupita. Tuseme tu Dar naijua wilaya ya Kinondoni na Ubungo tu.
Ukizungumzia mkoani Kwa sie Wadar es salaam, tunamaanisha mwisho wa mipaka ya mkoa wa Pwani na mikoa mengine. Mpiji unapanda daladala nauli haifiki hata 1500/=Juzi nimefika sehemu inaitwa Mpiji magohe aisee kule sio dar ni mkoani.Hata watu wake wamekaa mkaoni mkoani eti kule ni dar nilichoka.
Mzee acha ubishi yawezekana wewe unaongelea mipaka ya jiji kimamlaka mimi naongelea mkoa wa Dar es salaam dhidi ya mikoa mingineWote tumeandika tuliyoandika...
Wanaotusoma wataelewa yupi yupo sahihi na yupi anaweka takwimu za vijiwe vya kahawa...
Jumapili/jumamosi njema popote ulipo...
Sijambo vip wewMimi ni mwanadaslamu.
Hujambo mrembo?
Njia kama njia (Road)[emoji1787][emoji1787] nimepita this year
🤣🤣🤣🤣🤣wasije wakahamisha ya 0713Bora umefafanua mkuu kulinda hadhi yako [emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi ni mmoja wa wasomaji.Wanaotusoma wataelewa yupi yupo sahihi na yupi anaweka takwimu za vijiwe vya kahawa...
eneo la jiji la dar es salaam ni ilala pekee
ukiwa pugu kajiungeni chanika ni mbali kuliko kisarawe.Kisarawe sio Dar
Yeah man hata jina tu linakuambiaWe wa mkoani.
Za jioni
Miaka 20 Dar sijawahi kufika maonesho ya Sabasaba.
Wapi haujawahi kufika au unapasikia kukaa kote Dar?
Mbopo napasikia.
Kina sehemu inaitwa king'ong'o kwa kweli hapa hapana sijawahi kufika.
Kijichi.
Kivule.
King'oko iko Dar kweli.Hata huyo mgombea urais kuna sehemu hajafika sembuse wewe? Kawaida hauwezi kutembea zehemu zote nchini ,acha king'ong'o ushawahi fika King'oko?
King'oko iko Dar kweli.
Mtaa wa Dhambi ushafika wewe? MoshiDar, Arusha, Iringa, Moshi & Nairobi. Hii miji sidaiwi. Nimevuruga mtaa kwa mtaa