Sehemu gani Dar haujawahi kufika?

Sehemu gani Dar haujawahi kufika?

Tandale,vitongoji vya vingi vya ubungo,mburahati,kigogo,mwananyamala,kinondoni panasubiri Sana kwa Buza kwa uzuri wa mijengo na barabara. Buza ni kuzuri hayo maeneo hayatii pua.
Buza nilienda mara mbili, nilipenda hamna mlundikano wa watu na nyumba zimejengwa kwa mpangilio na watu wana maeneo makubwa sana.
 
Bandarini sijawahi fika.
Bandari kubwa mkuu.

Kuna Water front,Puma, namba tatu(TPA),Bima,namba nne,kwa mo,UDA,TICS(mama lishe) TRH,Malawi cargo, East coast,Mofed, alafu Kuna bandari geti la inakoingilia mizigo ya kwenda comoros,Zanzibar na TPA Tower.

Sijui unazungumzia bandari sehemu gani Kati ya hizo.
 
Magogoni Ikulu
Pazuri sana mm nilikuw napita kila siku nikitoka kazini ili nione taus af nichungulie ofisi ya waziri mkuu pazuri sana sijawai ingia ndani ila nimekuona kwa nje iyo siku gets likikuwa wazi jioni wanafunga njia sasa nilitaka kufosi kupita siku iyo wanajeshi wakataka nizingua ikabidi nizunguke
 
Bandari kubwa mkuu.

Kuna Water front,Puma, namba tatu(TPA),Bima,namba nne,kwa mo,UDA,TICS(mama lishe) TRH,Malawi cargo, East coast,Mofed, alafu Kuna bandari geti la inakoingilia mizigo ya kwenda comoros,Zanzibar na TPA Tower.

Sijui unazungumzia bandari sehemu gani Kati ya hizo.
Bandari yote mkuu.
 
Unatak nirudi nimebebwa naogopa wanajeshi mimi
Wanajeshi watu poa Sana.

Watu wakiwa hapo au hata ile beach yao nyingine ya kigamboni inaitwa Rongoni Beach panakuwa ni sehemu salama Sana. Hakuna fujo Wala ujinga.
 
Nilipofika tuu Dar route ya kwanza, ni kupaona huko Buza kwa mpalange.

Nilikuta ni sehemu moja nzuri tuu.
Hata mzee kikwete siku alipoenda huko kwa mparange alishangaa Sana. Nadhani ilikuwa mwaka Jana au mwaka juzi.

Jinsi anavyopasikia na palivyo ni tofauti Sana. Alitarsjia kupakuta ni sehemu ya hovyo na watu wanaoishi huko ni watu waliojikatia tamaa ila ilikuwa kinyume chake.
 
Back
Top Bottom