Sehemu gani Dar haujawahi kufika?

Sehemu gani Dar haujawahi kufika?

Aisee nimekatiza karibia kila mahali hapo mjini labda kisarawe huko msituni kazimzumbwi ingawa nilikaribia.
 
ni mkoa wa pwanj
Kuna jamaa alikuwanna mzigo wangu kwa chanika kwa singa huko nikamwagiza bodaboda jamaa alilalamika sana japo namlipa hela nzuri
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila usafiri mwingi sana kwa mara yakwanza nimefika juzi. Japo sikufika mwisho kabisa.
 
Za jioni

Miaka 20 Dar sijawahi kufika maonesho ya Sabasaba.

Wapi haujawahi kufika au unapasikia kukaa kote Dar?

Mbopo napasikia.

Kina sehemu inaitwa king'ong'o kwa kweli hapa hapana sijawahi kufika.

Kijichi.

Kivule.
Chanika
 
Achukue boda itamfikisha.
Sorry nimetumia akili za usiku.
 
Back
Top Bottom