anapadharau Mbagala hali hiyo ni Mwalimu tu haijalishi wa level ganiMwalimu wangu wa udsm aliwahi kuniambia hawezi kufika Mbagala kwa sababu hakuna kitu cha kumpeleka huko.
Sent using Jamii Forums mobile app
angekuwa Mh. Katibu Mkuu wa Wizara si angesema hajawahi kufika Magufuli Stand kwa kuwa hana cha kumpeleka huko
huwezi kusikia kauli hizo kwa wanaojua kusaka pesa kama kina Vunja bei maana huko ndio kuna machimbo ya Utajiri