Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 33,913
- 67,435
Mimi domo zege mkuuAisee itabidi ufunge safari hata kama hauna plan tafuta kademu kamoja ka.huko
Mimi domo zege mkuuAisee itabidi ufunge safari hata kama hauna plan tafuta kademu kamoja ka.huko
Hata jirani akilazwa hapo nitafika bila kuchelewa.Shemeji hakilazwa hope utafika?
Nenda mbezi utakuta haice zinaenda mloganzila panda kama unaenda morogoro mjini....Hata jirani akilazwa hapo nitafika bila kuchelewa.
Na nitafurahi kupafahamu, though siombei watu wangu wa karibu waumwe.
Pako poa, hali ya hewa nzuri sana.Kabisa natamani sans kufika bahar beach
Mnatoaga hela nyieMimi domo zege mkuu
Na mm nataka niweke mafuta unipelekePako poa, hali ya hewa nzuri sana.
Weka mafuta nikupeleke kesho
Ya 7000 si yanatosha?Pako poa, hali ya hewa nzuri sana.
Weka mafuta nikupeleke kesho
Asante kwa direction, natumai nitafika huko soonNenda mbezi utakuta haice zinaenda mloganzila panda kama unaenda morogoro mjini....
Kuzuri hospital yao
Ni ngumu Sana kufika masaki Kama hauna inshu ya kwenda kufanya,maana kumejitenga,hata ukienda na daladala ndiyo mwisho wa gari.Masaki na osterbay napaona tu kwenye kioo
Usitujazie nziNa mm nataka niweke mafuta unipeleke
Haya mjiandae kesho nawapelekaNa mm nataka niweke mafuta unipeleke
NdioMnatoaga hela nyie
Imekua boda auYa 7000 si yanatosha?
Mzee nmekuwa nzi tena.Usitujazie nzi
Kisarawe sio Dar
Ist yanatosha banaImekua boda au
Kwenye kirikuu haitoshiIst haitoshi
Ndiyo maana mwalimu wako ni maskini mpaka leoMwalimu wangu wa udsm aliwahi kuniambia hawezi kufika Mbagala kwa sababu hakuna kitu cha kumpeleka huko.
Sent using Jamii Forums mobile app