Sasa si fununu tena! Ni bayana..!!!

Sasa si fununu tena! Ni bayana..!!!

... Nikasikia serikali ya mpito huko bungeni .. KWA AKINA KASIMU...!!!
Hutajwi kwa wadhifa wako
Hutajwi kwa cheo chako
Hutajwi kwa ubini wako
Hutajwi kwa mamlaka yako... Bali unatajwa kwa jina lako la kwanza!...Msg is clear n loud..!

Mteule mtukuka naye kasagiwa kunguni mbele ya kadamnasi....Jobo kasemwa, kasimangwa na kutukanwa kiutu uzima lakini kwa njia ya kudhalilishwa kabisa...Sikumbuki mara ya mwisho ni lini kuona mtu mkubwa wa wadhifa na cheo kikubwa akisemwa kama mtoto mdogo aliyekosea sana mbele za wageni.. Kimsingi amemalizwa..!

Fukoto huko ndani lilikuwa kubwa lakini hatimaye limepata pa kupumulia... Kati ya mengi aliyoambiwa kubwa ni usumbufu wa KIJANI mwenzake! Hajayajwa lakini 1 + 1 = na 11 (JoKa)?
Kipenga kimepulizwa rasmi..sio fununu tena, makundi yako bayana, mpasuko uko bayana...Mbio za 2025 zimefichuliwa rasmi...!
Pengine hekima ingewaongoza wote wakae kimya wasitoke hadharani.. Waitane huko huko ndani lakini imethibitika hilo halingewezekana kutokana na fukuto linalotokota huko kijanini ..
Kifuatacho sasa ni moto kukolezwa na chawa wa kila upande...kama bado hujajua hali ilivyo mbaya subiri wapate msiba wa mwenzao...
Mshtuko wangu ni kitu kizito alichopigwa nacho katelephone! Ni mipasho ya viwango vyake kwa Jobo... Wallah bimkubwa anajua kusimanga!!! Unaweza kuumwa kabisa

Sasa tusubiri season 3...!
giphy.gif
Ccm ilishapita kote huko,, it is notnig issue,
FHb_m5cWUAM6cVb.jpg


Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Kapanic kwa issue ndogo sana. Lissu na Chadema wakianza mashambulizi sijui itakuwaje!
Mashambulizi ya nini, kwani kufanya siasa hadi ushambulie mtu,,
Mbona Republican ni wapinzani marekani na hawafanyi hizi siasa za kihasama?.
Hakuna chama dunia hii kunafanya siasa za chuki kama cdm,,, tutawanyorosha

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
... Nikasikia serikali ya mpito huko bungeni .. KWA AKINA KASIMU...!!!
Hutajwi kwa wadhifa wako
Hutajwi kwa cheo chako
Hutajwi kwa ubini wako
Hutajwi kwa mamlaka yako... Bali unatajwa kwa jina lako la kwanza!...Msg is clear n loud..!

Mteule mtukuka naye kasagiwa kunguni mbele ya kadamnasi....Jobo kasemwa, kasimangwa na kutukanwa kiutu uzima lakini kwa njia ya kudhalilishwa kabisa...Sikumbuki mara ya mwisho ni lini kuona mtu mkubwa wa wadhifa na cheo kikubwa akisemwa kama mtoto mdogo aliyekosea sana mbele za wageni.. Kimsingi amemalizwa..!

Fukoto huko ndani lilikuwa kubwa lakini hatimaye limepata pa kupumulia... Kati ya mengi aliyoambiwa kubwa ni usumbufu wa KIJANI mwenzake! Hajayajwa lakini 1 + 1 = na 11 (JoKa)?
Kipenga kimepulizwa rasmi..sio fununu tena, makundi yako bayana, mpasuko uko bayana...Mbio za 2025 zimefichuliwa rasmi...!
Pengine hekima ingewaongoza wote wakae kimya wasitoke hadharani.. Waitane huko huko ndani lakini imethibitika hilo halingewezekana kutokana na fukuto linalotokota huko kijanini ..
Kifuatacho sasa ni moto kukolezwa na chawa wa kila upande...kama bado hujajua hali ilivyo mbaya subiri wapate msiba wa mwenzao...
Mshtuko wangu ni kitu kizito alichopigwa nacho katelephone! Ni mipasho ya viwango vyake kwa Jobo... Wallah bimkubwa anajua kusimanga!!! Unaweza kuumwa kabisa

Sasa tusubiri season 3...!
giphy.gif
Huyu Mnyama ni Punda au Umbwa?
 
Kapanic kwa issue ndogo sana. Lissu na Chadema wakianza mashambulizi sijui itakuwaje!
Afadhali uchambwe na asiyekujua kuliko kichambo cha ndani. Spika kapu moja na maza alafu anamvunjia vile.
 
Mwenye maamuzi ya Nani awe Rais ni wananchi, hii tabia ya kujipa urais mpaka miaka au awamu ijayo inatoka wapi? Watanzania amkeni mkemee Hili
Tatizo la nakala za katiba ni chache na kuzipata ni kwa mbinde sana.

Sasa ni ngumu kujenga uelewa wa wananchi juu ya haki ya mkataba wao, kati yao na serikali.

Katiba ya JMT inavyomlinda Rais ni ngumu sana kumkataa katikati ya awamu yake kabla ya uchaguzi mkuu.

Vya kumtoa pale vimeainishwa, lakini si kwa fwihi, majungu ama chuki!

Kinachomtoa pale cha rahisi ni kifo tu.

Mambo sijui ya kutokuwa na imani naye ni vigumu sana hata wabunge wanalijua hilo.

Process za kumuondoa Rais madarakani, huanza Bunge kwa kupokea hoja, kabla hoja hiyo kujadiliwa, yawapasa Wabunge kuipigia kura hoja hiyo na lazima ishinde si chini ya asilimia 20 ya wingi wao.

Baada ya hoja hiyo kukubaliwa hulazimu kumuandikiwa barua ya nia yao ya kumuita Bungeni kuhojiwa kwa tuhuma zinazomkabili.
Makosa yaliyoainishwa kuweza kumuwajibisha Rais ni machache sana, mojawapo ni ya kudhalilisha kiti cha urais.

Baada ya Bunge kumuadikia nia yao hiyo ya kumuita kwa mahojiano kwa kuonesha tuhuma anazokabiliwa nazo, kiti chake humkabidhi makamu na tangu siku hiyo hadi atakaporejea baada ya sakata, huhesabiwa kuwa hayupo kazini.

Sasa, Rais akiisha ugundua mkoroganyo huo, huwa ni chap kwa haraka ni kulivunja Bunge, siyo kuliahirisha ni kulivuja kabisa na hatua zingine hufuata.

Sasa ukiangalia Wabunge wengi walivyopita kwa kampeni chafu na kubebwa, unadhani watathubutu kukubali kurejeshwa majimboni wakaanze kujadiliwa kwa uchaguzi mpya?

Rais ana nguvu sana kwenye katiba hii.
 
Mmh hili koti....
Mh! Photoshop au ni og?

Maana teknilojia sasa hivi ni ya kuogooa kama ukoma!

Wakati akiungama jana aliwalaani watu kumhujumu kwa kupunguza na kuondoa maudhui ya hotuba aliyotuhumiwa nayo.

Nikawa najiuliza kama huo ndiyo utetezi, mbona former Mwanza Rc Chalamila naye alihujumiwa kwa clip hivyo hivyo, kwa nini hawakujenga hoja kumtetea?

Huyu mzee sijui kama leo atalala usingizi upite!
 
Back
Top Bottom