Sam Mahela tena... Hivi ITV management hamyaoni haya?

Sam Mahela tena... Hivi ITV management hamyaoni haya?

Bila shaka atapitia uzi huu na kuchota yale ya maana. Asipo shupaza shingo na kubadilika atafika mbali zaidi katika fani hii ya habari.
 
Yule mdada wa Azam anajitahidi sana...Napenda anavyohoji kwa kujiamini na kutawala discussion bila kuelekeza majibu...Mwanzo nilidhani katokea BBC kume Star TV...yuko vizuri kwa kweli...anawabana fulani huku anawacheka wanavyojikanyaga...jina lake Komuntu...
Yvonna Kamuntu, Ni mtangazaji mzuri Sana ambaye angeweza kusimamia brand ya sauti yake, lakinj aliteleza kidogo baada ya kuiga namna anayotumia Salim Kikeke kuongea, Kama anasitasita hv, wadau walimsema kwenye Uzi mmoja hivi Sa sijui Kama ameacha hiyo namna
 
In a single profession and not professional

Wewe unamrekebisha mwenzako kwenye typos, wakati wewe unakosea kwa grammar.
haha
Mkuu kwani mimi nime-type sentensi nzima ama?
Na pia sijaona cha kukuchekesha hapo,wote tunajifunza.
 
nilishawahi kuandika humu mtangazaji aina ya mahela ni wa kushangaza sana nina hofu kubwa na weledi wake katika kazi hiyo amebaki kutikisa kichwa tu
 
Mkuu kwani mimi nime-type sentensi nzima ama?
Na pia sijaona cha kukuchekesha hapo,wote tunajifunza.

Nadhani anaye bore zaidi ni ABD Mwapaya haswa kwenye kipindi cha Kiswahili siku za jumamosi. Yanini kuita wataalam wa lugha toka BAKITA? Aliyewezea ni Regina tuu na sijui siku hizi huu wapi
 
Kweli yule sijui Simiyu sijue Semuyu alikuwa anajitahidi kidogo na Buhohela wa Ikulu.
Tatizo huyu Sam baada ya kuona mwenzake Buhohela kapewa shavu Ikulu basi anadhani na yeye kwenye Dakika 45 akiitetea Serikali basi ataitwa jumba jeupe.....Bure kabisaaaaaa

Anaingilia ingilia mahojiano,anauliza swali halafu anajijibu mwenyewe yaani ni vurugu tupuuuu....Hawa vijana wa Cameroon tabu tupu aseee.

Yule Simiyu mi alikuwa ananiacha hoi uvaaji wake...Utamkuta ana kiatu kirefu kama chopeo,yaani jamaa ana mguu hatari...juu anavaa tai ya kachumbari ndefuuuuu inafika magotini na suruali ya "selebresheni" kama mcheza show wa Madiluuu,huku shati over size kubwaaaaaa...Au koti la kushona kwa fundi Juma pale Mtaa wa Msisiri Kinondoni....Dressing Code ya Simiyu ilikuwa balaaaa!!Hata sijui yukwapi jamaaa!!
Mkuu Buhohela Yuko Ikulu?
 
Huyu jamaa vipi jamani?! Nimefuatilia kipindi cha DK45 ITV na leo mgeni ni N/Waziri wa Muungano na Mazingira na mada ilikua ni Mazingira.

Huyu Sam Mahela, kama kawaida yake kuingilia mzungumzaji wakati anatiririka vizuri kwenye mada husika. Anageuka kuwa mzungumzaji Mkuu, anatoa maoni yake Mfano...."Mimi/sisi waandishi wa habari tumefanya tafiti na ni kweli/sio kweli kwamba Kuna uharibifu wa Mazingira"..... Sasa kama ulikua unajua ukweli/uongo wa jambo ya nini kumwalika mgeni studioni wakati ulikua na misimamo yako kwenye topic husika?

Mfano alipokua akiagana na N/W huyo, akawa anamsisitiza "Fanya kazi, umesikia, fanya kazii, umepewa kazi ufanye, sawa... maana hata mm hapa ITV napiga kazi"..... Hapa ni kiherehere tu cha huyu maana sio wajibu wake kumweleza hayo.

Nimekuwa nikifuatilia kipindi hiki lakini watu wengi wanakereka sana na huyu jamaa..... Atulie, atoe nafasi ya mgeni husika kusema na baada ya hapo maswali.

Mwanzilishi wa kipindi hiki na Buholela walikua wazuri sana sio kama huyu kijana.
Jamaa yuko poa sana Sam Mahela
Tatizo watu hawajui kuwa vipindi vile vya DK45 ni vya kuchangamsha akili yule anayehojwa!
 
Nadhani anaye bore zaidi ni ABD Mwapaya haswa kwenye kipindi cha Kiswahili siku za jumamosi. Yanini kuita wataalam wa lugha toka BAKITA? Aliyewezea ni Regina tuu na sijui siku hizi huu wapi
Regina mwalekwa yupo BBC swahili
 
anachofanya sam mahela hizo ni trade craft za journalism ndugu yangu na si rahisi kwa wewe kuelewa ungepata kozi ya uandishi wa habari hata wiki mbili tu, nadhani usingekuja na thread ya namna hii. pia jaribu kutazama vipindi kama hard talk cha BBC utaona the way wanahabari wanavyofanya kazi yao kwa weledi mkubwa kama huyo sam mahela
Acha zako Hard talk hawaogopi kuuliza maswali yanayoiudhi govt
 
Huyu jamaa vipi jamani?! Nimefuatilia kipindi cha DK45 ITV na leo mgeni ni N/Waziri wa Muungano na Mazingira na mada ilikua ni Mazingira.

Huyu Sam Mahela, kama kawaida yake kuingilia mzungumzaji wakati anatiririka vizuri kwenye mada husika. Anageuka kuwa mzungumzaji Mkuu, anatoa maoni yake Mfano...."Mimi/sisi waandishi wa habari tumefanya tafiti na ni kweli/sio kweli kwamba Kuna uharibifu wa Mazingira"..... Sasa kama ulikua unajua ukweli/uongo wa jambo ya nini kumwalika mgeni studioni wakati ulikua na misimamo yako kwenye topic husika?

Mfano alipokua akiagana na N/W huyo, akawa anamsisitiza "Fanya kazi, umesikia, fanya kazii, umepewa kazi ufanye, sawa... maana hata mm hapa ITV napiga kazi"..... Hapa ni kiherehere tu cha huyu maana sio wajibu wake kumweleza hayo.

Nimekuwa nikifuatilia kipindi hiki lakini watu wengi wanakereka sana na huyu jamaa..... Atulie, atoe nafasi ya mgeni husika kusema na baada ya hapo maswali.

Mwanzilishi wa kipindi hiki na Buholela walikua wazuri sana sio kama huyu kijana.

Ndo maana napenda kipindi cha FUNGUKA azam TV. Tido anaoji Na kuendesha mjadala kama TV za kimataifa eg RT, CNN, Al-Jazeera etc. Mfano juzi nilifurahishwa alivyoendesha kipindi Na Prof ndalichako.
 
Huyu jamaa vipi jamani?! Nimefuatilia kipindi cha DK45 ITV na leo mgeni ni N/Waziri wa Muungano na Mazingira na mada ilikua ni Mazingira.

Huyu Sam Mahela, kama kawaida yake kuingilia mzungumzaji wakati anatiririka vizuri kwenye mada husika. Anageuka kuwa mzungumzaji Mkuu, anatoa maoni yake Mfano...."Mimi/sisi waandishi wa habari tumefanya tafiti na ni kweli/sio kweli kwamba Kuna uharibifu wa Mazingira"..... Sasa kama ulikua unajua ukweli/uongo wa jambo ya nini kumwalika mgeni studioni wakati ulikua na misimamo yako kwenye topic husika?

Mfano alipokua akiagana na N/W huyo, akawa anamsisitiza "Fanya kazi, umesikia, fanya kazii, umepewa kazi ufanye, sawa... maana hata mm hapa ITV napiga kazi"..... Hapa ni kiherehere tu cha huyu maana sio wajibu wake kumweleza hayo.

Nimekuwa nikifuatilia kipindi hiki lakini watu wengi wanakereka sana na huyu jamaa..... Atulie, atoe nafasi ya mgeni husika kusema na baada ya hapo maswali.

Mwanzilishi wa kipindi hiki na Buholela walikua wazuri sana sio kama huyu kijana.
Sam anatatzo kubwa la kutofautisha kati ya mahojiano na riport, kunakipindi huwa nikimsikiliza naona kama kinyaa, anakuwa ndiye mwongeaji....

Jana nlipoona ameanza kutoa hotuba nikahamisha station kuangalia mieleka, japo siipendi..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom