Sam Mahela tena... Hivi ITV management hamyaoni haya?

Sam Mahela tena... Hivi ITV management hamyaoni haya?

Ulivyosema lack of specialisation In a single profession ulikuwa sahihi Sana, yaani umeona mbali
enh aisee unajua sekta ya habari ni pana tofauti na watu wanavyoichukulia....ukiwa muandishi si lazima kila kitu ufanye wewe unaweza ukatangaza hayo mengine ukawaachia na wengine, unaweza ukaandika mengine ukawaachia wengine...sasa wabongo kutokana na ufinyu wa elimu wanataka kuonekana wao ni namba inayogawanyika kwa namba yeyote...at the end wanajikuta wanakosea sana
 
enh aisee unajua sekta ya habari ni pana tofauti na watu wanavyoichukulia....ukiwa muandishi si lazima kila kitu ufanye wewe unaweza ukatangaza hayo mengine ukawaachia na wengine, unaweza ukaandika mengine ukawaachia wengine...sasa wabongo kutokana na ufinyu wa elimu wanataka kuonekana wao ni namba inayogawanyika kwa namba yeyote...at the end wanajikuta wanakosea sana
...haha, namba inayogawanyika Na namba zote, hii mbaya Sana Na haiwezekani unless huyo mtu Ni extraordinary
 
Mkuu Buhohela Yuko Ikulu?
Ndio mkuu kanga Safari,jamaa yupo Ikulu Kitengo cha Kurugenzi ya Habari na Mawasiliano
We unafikiri kureport kote kule kulikuwa bure??Wanapitisha magari kwenye mito na mitaro ya maji machafu "makusudi" harafu saa mbili taarifa ya habari unasikia "Mgombea wa Ccm hajaruka hata kijiji...katika milima,mabonde na vijito..mguu kwa mguu,kitanda kwa kitanda na shuka kwa shuka..Kutoka hapa Simiyu,alipo mgombea wa CCM,Mimi ni Emmanuel Buhohela wa ITV"

Hata yule dogo Spencer Lameck Mzee wa Monduli angeenda Ikulu asingemuacha,maana dogo alikuwa ana-report kinazi sana...Utasikia "Katika record ambayo haijawahi kuvunjwa toka Uhuru,au waweza fananisha na ujio wa Nelson Mandela,Papa Yohane wa Pili na kifo cha Baba Taifa..eneo hili la Jangwani halijawahi kujaa kiasi hiki...Mgombea wa Chadema na UKAWA,ndugu Edward Lowassa amesababisha mafuriko katika jiji la Dsm na vitongoji vyake mpaka shughuli zikasimama kwa muda...Ama hakika record hii itachuku miaka tisini na kenda kuja kukamilika"

Magufuli alikuwa anakacheki tu ka bwana mdogo,siku anatangaza baraza la Mawaziri kakauliza swali...kwamba katumia vigezo gani kuwachaguaa mawaziri,JPM akajuwa haka team Lowassa,akakajibu "Kwani wewe hicho kituo kilichokuleta hapa kilitumia vigezo gani kukuleta wewe na sio mwandishi mwingine?Hizo sabbu walizotumia ITV kukuleta ndio hizo nimetumia mimi kuwaona hawa kuliko wengine"

Jamaa ya Buhohela yupo State mkuu,tazama au tafuta ile video Rais anahakiki silaha utamuona
 
...haha, namba inayogawanyika Na namba zote, hii mbaya Sana Na haiwezekani unless huyo mtu Ni extraordinary
jambo gumu sana hilo kuwa namba inayogawanyika kwa kila namba...mimi naona kuwepo na mkazo sana wakati wa kuajiri hawa watu wasichukuliwe tu ilimradi anajina kubwa wengi wanakosea sana...chanel za bongo kuna vipindi nadhani havizidi 3 ndo huwa naangalia ila vilivyobaki huwa nikiangalia kama nimekunywa supu yote inaisha tumboni maana wapo wrong ata mtoto anaweza akawakosoa.
 
Lakini wenyewe wataalam wa habari wanasema, ni lazima mwongoza kipindi uwe in-charge, kwamba huwezi kumwachia mgeni akajimwaga kama vile yeye ndiye anayeongoza kipindi? what are you guys talking about? Ni sawa na vile ambavyo watangazaji huwa hawawezi kumwachia mtu anayemhoji kushikilia mic! Mimi sioni tatizo kwa Sam Mahela, to be honest....
 
Halafu twaambiwa kulipa kila mwezi ili kkuangalia vipindi kama hivi!

Mholanzi mnoja aliyeingia Tanzania miaka ya tisini na mwanzilishi Wa kituo cha kimkumanka alikuwa akishangaa watanzania kutumia mud mwingi ktk tv na FM radio akisema hakuna cha maana.
 
Lakini wenyewe wataalam wa habari wanasema, ni lazima mwongoza kipindi uwe in-charge, kwamba huwezi kumwachia mgeni akajimwaga kama vile yeye ndiye anayeongoza kipindi? what are you guys talking about? Ni sawa na vile ambavyo watangazaji huwa hawawezi kumwachia mtu anayemhoji kushikilia mic! Mimi sioni tatizo kwa Sam Mahela, to be honest....
Nina kwambia watanzania wengi huwa tunasema uongo sana na huwa tunachukia watu tuu.. Ukiangalia hicho kipindi utaona jamaa ana kiendesha vizuri tuu. Na kuhakikishi angekuwa ana muacha aongee yeye tuu wangekuja na thread hapa kuwa Mahela amepwaya ana zidiwa.
 
Halafu twaambiwa kulipa kila mwezi ili kkuangalia vipindi kama hivi!

Mholanzi mnoja aliyeingia Tanzania miaka ya tisini na mwanzilishi Wa kituo cha kimkumanka alikuwa akishangaa watanzania kutumia mud mwingi ktk tv na FM radio akisema hakuna cha maana.
Kwa hiyo muholanzi kwako ndio mtu anaye weza kufikiri badala yako?
 
Nimeshtuka kidogo, kama wa itv ndiyo hivi wale wa clouds basi hawakupitia Hata kile cha ilala. Duhhh
Ukisubiri watu waandike humu ndio ufanye itimisho hakika utapotoshwa sana.
 
Mkuu uko sahihi.

Huyu jamaa anahiyo tabia mbaya ya kukatiza wageni wake wanapookuwa wanashusha points.

Nakumbuka siku alipokuwa na Mch. Msigwa. Sikupfurahia kabisa tabia yake hiyo mbaya. N hasa mtu anapotoa maoniyanayotofautia na serikali au kuikososa serikali.
Ajirekebishe.
Mnamchukia tuu huyu jamaa anajua kuhoji vizuri sana ..hutakiwi kumuacha mtu atawale unatakiwa kuwa moderator..
 
Tangu siku Sam Mahela alipombana Msigwa kwa maswali magumu ambayo msigwa alionekana kuhangaika vijana wa UKAWA hasa chadema mnamchukia sana Sam Mahela.
Hizi chuki zenu hazina msingi wowote acheni jamaa afanye kazi
Wanamchuki Buholela kwakuwa huwabana sana kwa maswali uzuri watu wengi huangalia kipindi kwa hiyo hawawezi kutudanganya.
 
Sio wote wanaomkosoa humu ni UKAWA....We mtie ujinga tu wakati wanaomtazama ndio wanaona muelekeo wa kipindi chake.....Yaani we Sam unafikiri unakosolewa sbb ya Msigwa??Kweli DSJ hampikiki
Wewe ni muongo sam yuko vizuri watu tunaona...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom