."Mimi/sisi waandishi wa habari tumefanya tafiti na ni kweli/sio kweli kwamba Kuna uharibifu wa Mazingira".....sasa kama ulikua unajua ukweli/uongo wa jambo ya nini kumwaalika mgeni studioni wakati ulikua na misimamo yako kwenye topic husika?
Mfano alipokua akiagana na N/W huyo, akawa anamsisitiza"fanyakazi, umesikia, fanyakazii, umepewa kazi ufanye, sawa...maana hata mm hapa ITV napiga kazi".....hapa ni kiherehere tu cha huyu maana sio wajibu wake kumweleza hayo.
Sioni kosa hapo. Mwandishi kuna wakati lazima afanye kazi kama devil's advocate kwa njia ya maswali anayoyauliza. Yuko sahihi.