There you are! Umesema sahihi kabisa kuwa Mahela linapokuwa tukio nyeti lenye kuvuta hisia za watu yeye hujigeuza chanzo, Na hata kwenye uchaguzi alikuwa hawaoji waandamanaji, yeye muda wote yupo Na polisi, nakumbuka vizuri Tu, kulitokea vurumai pale njia panda ya UDSM Sam Mahela alikuwa akirupoti, ilikuwa Ni muda ya usiku wa saa 2, wakati polisi wakikimbizana Na wale waandamanaji, Sam Mahela alikuwa akiwaita polisi Na kuonesha waandamanaji walipojificha, huku akisema "hawa huku wengine" kiukweli nilishindwa kushangaa, haya aliyafanya hata kule temeke, nikasema kwa namna hiyo anahatarisha usalama wake kwa kuonesha kuwa anasapoti upande mmoja.