Sam Mahela tena... Hivi ITV management hamyaoni haya?

Sam Mahela tena... Hivi ITV management hamyaoni haya?

There you are! Umesema sahihi kabisa kuwa Mahela linapokuwa tukio nyeti lenye kuvuta hisia za watu yeye hujigeuza chanzo, Na hata kwenye uchaguzi alikuwa hawaoji waandamanaji, yeye muda wote yupo Na polisi, nakumbuka vizuri Tu, kulitokea vurumai pale njia panda ya UDSM Sam Mahela alikuwa akirupoti, ilikuwa Ni muda ya usiku wa saa 2, wakati polisi wakikimbizana Na wale waandamanaji, Sam Mahela alikuwa akiwaita polisi Na kuonesha waandamanaji walipojificha, huku akisema "hawa huku wengine" kiukweli nilishindwa kushangaa, haya aliyafanya hata kule temeke, nikasema kwa namna hiyo anahatarisha usalama wake kwa kuonesha kuwa anasapoti upande mmoja.
Ni miongoni mwa waandishi wa televisheni wasio na uelewa wa taaluma yao, naq hili linaweza kuthibitishwa na namna anavyofanya kazi!
 
Mimi nadhani siyo sam mahela peke yake kuna mwingine anaitwa Jackline selemu anaendesha kipindi cha kipima joto naye anahitaji kumwacha mzungumzaji ajieleze kwanza
 
Ukweli!jinsi anavyo hoji wageni huwa anashindwa kudhibiti hisia zake za upendeleo wake.Kuna kipindi kimoja alikuwa na mgeni ambaye misimamo yake ilikuwa inatofautiana na serikali yetu pendwa,ila mgeni huyo alikuwa na "point" cha kushanga mtangazaji akageuka serikali.Jamani tujifunze kwa mashirika makubwa,Dunia imebadikika sana.kama hujiamini ni heli msilete mgeni studio.mtakimbiwa na viewers"
Si useme tuu ulikasirika alivyo banwa Msigwa?
 
Haka kajamaa kapuuz sana , tatizo kanataka sifa za kijinga, na upuuz wake co mara ya kwanza yan ni kawaida yake sasa.
Bawacha bhana toka Msigwa abanwe wamemchukia kabisa Mahela ni kama mlivyo mchukia Salim ki keke alivyo mbana Maalim seif hadi pumzi ikakata.
 
Msaliti Namba moja wa chadema ni Mbowe.

Mbowe ni Yuda esikarioti wa mabadiliko ya kweli ,

Kubadili gia angani na kutuletea Mr zero na Mafisadi kwenye chama ,inauma sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom