Hivi kwa mtu kama OBAMA ngerudi Kenya hivi kweli angeruhusiwa kugombea hata udiwani?
Ama kweli sikio la kufa halisikii dawa kamwe... we are very busy identifying and classifying our differences wakati nyumba yetu inaungua. Hivi wanaotulaza njaa na kuibinafsisha nchi yetu ni wageni? Its all the so called wazawa! Honestly Iam getting tired kuona kwamba we AFRICANS we have consistently failed (au hatutaki) to identify our priorities and we rather concentrate on these petty politics of tribal identifications!
Uraia sawa, ni kweli lazima tulinde identity yetu, lakini the way we do it, tunaonyesha kwamba the whole motive is so parochial, clouded by chauvinism, greedy, opportunism et al! Guys we should change! Leo kama mtoto wa Jaluo kutoka Kogelo yuko on the brink of becoming the most powerful man on earth in US politics.. wakati ndugu zake na ukoo wake wote wako Kenya, I think its a high time we learnt something out of this! How can we tap the potentials of the so called foreigners in our countries?? It is possible, but because of greedy and double standards hatuwezi!
Ndo maana wanasema kipofu hawezi kumuongoza kipofu. Sasa wewe jiulize hii mipaka, sehemu nyingine hata viongozi wetu hawajawahi kufika! kutokana na nature ya Africa as a whole and our history, mambo ya muingiliano wa makabila huwezi kuyaepuka! Never. Ukija Kenya utakuta wasomali, mifano ni mingi, so why should we classify oohh kazi hii ni ya mzawa..mzawa ni yupi? anamuwakilisha nani? anawakailisha maslahi ya nani?
Maswali ni mengi kuliko majibu, all in all Africans we should change the way we think! Mi nadhani wazungu walitutawala, lakini tuna mengi sana ya kujifunza kwao! na kikubwa tjifunza namna ya ku-coexist! as a cosmopolitan society or entity. Tuache huu uzalendo uchwala kwa ajili ya maslahi binafsi. Lets do things for the better of our country and its people as a whole.