Patrick Nyemela
JF-Expert Member
- Nov 25, 2008
- 332
- 28
Nadhani hili ni jungu analopikiwa Salva. Yeye ni mtanzania.
Hivi nchi hii mkianza kufuatilia chimbuko la kila mtu, sijui nani atakuwa mtanzania halisi, ukianzia kwa wangoni utasema si raia kwa sababu walitokea South Africa, Wamasai watakuwa wakenya, waha watakuwa kutoka burundi, wale wamachinga (including Mkapa) ni wakutoka Msumbiji, wahaya watakuwa kutoka uganda na Rwanda. Mwisho wake nini? Dunia imekuwa kijiji, si wakati wa kuongelea nani raia safi na nani siye.
Hivi nchi hii mkianza kufuatilia chimbuko la kila mtu, sijui nani atakuwa mtanzania halisi, ukianzia kwa wangoni utasema si raia kwa sababu walitokea South Africa, Wamasai watakuwa wakenya, waha watakuwa kutoka burundi, wale wamachinga (including Mkapa) ni wakutoka Msumbiji, wahaya watakuwa kutoka uganda na Rwanda. Mwisho wake nini? Dunia imekuwa kijiji, si wakati wa kuongelea nani raia safi na nani siye.