Samvulachole
JF-Expert Member
- Oct 22, 2006
- 413
- 117
mada ya long time, but mashiko yake yana nguvu hata sasa
Huyu mzee yupo kweli maana kaamua kukaa kimya kabisaNinajiski kuumwa kichwa kwa sababu tunajirahisisha sana. Hivi hizi tuhuma zinaazia wapi? Uraia wa Tanania unaanzia wapi na unaishia wapi? Mbona watu wanapika majungu na kuyapakua yangali mabichi. Hoja hii imechochewa na wivu, tena nasema wivu wa kike kama alivyopata kusema Spika Mstaafu Msekwa ingwa baadaye aliwaomba radhi akina mama. Tuache wivu, Salva ni Mtanzania. alipokuwa akiendesha Habari Corporation wakati huo Rai, Mtanzani na The African yakiwa mwiba kwa utawala wa Mwinyi na Mkapa haya hayakusemwa leo mnasema kisa akapewa cheo na JK, acheni wivu huo mtakufa na roho zenu.