Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 34,240
- 44,487
- Thread starter
- #261
Basi washaurini Wamarekani nao waseme Baraka Obama sio Mmarekani.
Hapa hivi tunabishana nini? Tafuteni makosa mengine ya Salva, lakini yeye ni Mtanzania.
Ni mtanzania kwa sheria gani? Nadhani ndilo lilikuwa swali. Obama ni Mmarekani kwa sheria za Marekani sasa kwanini watu waseme si Mmarekani. Uraia hauambukizwa kwa osmosis.