Saluni za kunyoa nywele sehemu nyeti

Saluni za kunyoa nywele sehemu nyeti

kelly01 samahani kwa kuuliza mwaswali binafsi
1.mpenzi/mume wako anajisikiaje ukimwambia unaenda kuonyolewa au umwambii unafanya siri


same thing kama nikiwa naenda kwa gynocologist namwambia naenda kwa gyno and really i dont see tatizo lolote la kwenda kufanya brazilian wax na kwenda kwa gyno.....kama huoni tatizo mke wako kwenda kufanyiwa check up na kutanuliwa na kuchunguliwa huko chini unaona tatizo gani mkeo akienda kufanya brazilian wax?......."naomba unijibu hilo kwanza"...then tutaendelea na discusion....unless wake zenu hawafanya check up after every 6 month!....na kama hawafanyi then ni wachafu sana....Na on top of that na nyie ni wachafu pia....
2.kuna tofauti gani ukinyolewa na professional au mme wako?
natanguliza shukrani zangu kabla ya majibu yako

Kuna tofauti hapo umeshasema profesional...meaning yule profesional ni kazi yake na anajua nini anafanya....same thing huwezi kumwambia mmeo akuchokonoe huko chini while hajui anachofanya ni nini au anaangalia nini yeye siyo dokta!.....
 
[/B][/COLOR]

same thing kama nikiwa naenda kwa gynocologist namwambia naenda kwa gyno and really i dont see tatizo lolote la kwenda kufanya brazilian wax na kwenda kwa gyno.....kama huoni tatizo mke wako kwenda kufanyiwa check up na kutanuliwa na kuchunguliwa huko chini unaona tatizo gani mkeo akienda kufanya brazilian wax?......."naomba unijibu hilo kwanza"...then tutaendelea na discusion....unless wake zenu hawafanya check up after every 6 month!....na kama hawafanyi then ni wachafu sana....Na on top of that na nyie ni wachafu pia....


Hapa inaonekana unaongea kwa hasira mpenzi wangu!!!!!!mhh!!!!!!kazi kweli wote wachafu?kumbe kufanya medical check up ni kwenda kuondoa uchafu wa mwili/kuoga?
makubwa!!!!!!!
 
Can I be neutral, Please? Ukweli kuna mambo ambayo binadamu kwa heshima yako mwenyewe hata kabla ya heshima ya aliyekuoa/ uliyemuoa, unapaswa kujifanyia mwenyewe. Kujiswafi huko maeneo nyeti ni mojawapo. nadhani ndio maana paliitwa nyeti. It is a For-Your-And-Husband/Wife-Eyes-Only No-Go- Area!
Kelly, Nadhani Kulinganisha Gyno na Mnyoa M****i ni makosa. One is a neccesity and the other is just....should we say, ni matokeo ya uvivu wa watu ya kujiswafi wenyewe kutokana na too much of Usasa??
Maana kama leo hii mtu huwezi ukajiswafi mwenyewe maeneo nyeti hadi ukamlipe hela mtu akunyolee na kukuwekea kalikiti m****i yako mwenyewe hudhani kwamba tunakoelekea siko?
Maana sisi ma-old school tunadhani kwamba kwa kujiendekeza na usasa huu kuna hatari huko mbele siku mtu utamaliza haja kubwa yako kisha you take a car to some saloon where a guy can wash your A** just because it is the in-thing!!
Indeed. where are those days when only you had to do was take a Nacet Shaving Stick, a Small mirror and do some self gymnastic/Yoga and...Voila!! You were as clean as a Whistle!!
 
Hapa inaonekana unaongea kwa hasira mpenzi wangu!!!!!!mhh!!!!!!kazi kweli wote wachafu?kumbe kufanya medical check up ni kwenda kuondoa uchafu wa mwili/kuoga?
makubwa!!!!!!!


No no! sina hasira kaka yangu hata kidogo......si tuna jadili na mimi ndiyo nauliza swali maana jana ulisema mungu atatusamehe dhambi zetu!....so najaribu kukupa mfano maana dont judge mtu anayefanya wax waakti kuna vitu vingine same as waxing vinafanyika je navyo ni dhambi?....

kwenda kufanya medical check up ya huko chini kwako si kuangalia kama una matatizo ya ndani ya sehemu zako za nyeti...siyo medicla check up kama kichwa au tumbo noo!...kwenda kwa gyno ni kwenda kuangaliwa huko ndani kwenye sehemu za siri if you didnt know....
 
Can I be neutral, Please? Ukweli kuna mambo ambayo binadamu kwa heshima yako mwenyewe hata kabla ya heshima ya aliyekuoa/ uliyemuoa, unapaswa kujifanyia mwenyewe. Kujiswafi huko maeneo nyeti ni mojawapo. nadhani ndio maana paliitwa nyeti. It is a For-Your-And-Husband/Wife-Eyes-Only No-Go- Area!
Kelly, Nadhani Kulinganisha Gyno na Mnyoa M****i ni makosa. One is a neccesity and the other is just....should we say, ni matokeo ya uvivu wa watu ya kujiswafi wenyewe kutokana na too much of Usasa??
Maana kama leo hii mtu huwezi ukajiswafi mwenyewe maeneo nyeti hadi ukamlipe hela mtu akunyolee na kukuwekea kalikiti m****i yako mwenyewe hudhani kwamba tunakoelekea siko?
Maana sisi ma-old school tunadhani kwamba kwa kujiendekeza na usasa huu kuna hatari huko mbele siku mtu utamaliza haja kubwa yako kisha you take a car to some saloon where a guy can wash your A** just because it is the in-thing!!
Indeed. where are those days when only you had to do was take a Nacet Shaving Stick, a Small mirror and do some self gymnastic/Yoga and...Voila!! You were as clean as a Whistle!!

babadesi...nimekuelewa sana sana tuu!....no kufanya wax hakuna madhara yeyote yale....kutoa nywele kwa wax ni same as kutoa kwa kutumia hizo razor ni same thing kama unavyonyoa ndecu zako kwa kutumia shaving cream...kwa maana hiyo basi hata hizo shaving cream zina madhara yake....

wax ilikuwepo kwa miaka mingi tuu sema watu hawakugundua hiyo...na watu wengine wanafanya wax kwa different reason...utakuta mtu razor haimpendi anatokwa na bumps na wax inaondoa bumps....so ni bora mtu akafanye waxing kuliko atumie razor na kuwa na mapele katika sehemu zake za mwili,,,,

hakuna tofauti kwenda kwa gyno na kwenda SPA kufanyia service mwili wako..kama ndiyo hivyo kama ulivyosema hapo juu kuhusu mfano wa service ya gari basi kila mtu angekuwa anafanya service ya gari mwenyewe kwa nini unapekeka kwa mechanics?....

unajua mtu unafanya kitu ile roho yako inapenda na wax siyo kila mtu anaweza kufanya inabidi uende kwa wenye ujuzi...unaweza kumpa mtu akikose akidogo ujue umeumia.....
 
Hehehe, kazi kweli kweli!

Wangapi hapa wakinyoa ndevu kwa viwembe wanatoka mapele kama barabara iliyojaa kokoto? Same thing applies to our dear sisters wako ambao viwembe haviwapendi na wanatoka bumps kila wakinyoa na wako ambao hawatoki bumps.

Tanzania bado tunadharau professions za watu hahaha!!
 
same thing kama nikiwa naenda kwa gynocologist namwambia naenda kwa gyno and really i dont see tatizo lolote la kwenda kufanya brazilian wax na kwenda kwa gyno.....kama huoni tatizo mke wako kwenda kufanyiwa check up na kutanuliwa na kuchunguliwa huko chini unaona tatizo gani mkeo akienda kufanya brazilian wax?......."naomba unijibu hilo kwanza"...then tutaendelea na discusion....unless wake zenu hawafanya check up after every 6 month!....na kama hawafanyi then ni wachafu sana....Na on top of that na nyie ni wachafu pia....
kama umesoma mwazo vizuri utaona nimeandika sijaoa, kwa hiyo mambo ya regular check up siyajui

samahani kwa kukusumbua tena
kwani mwanamke hawezi kujisafisha mwenyewe mpaka gyno???
kama hawawezi kujisafisha wenyewe, na kwa maisha ya TZ watu hawaendi kwa dr mpaka wawe wanaumwa unless wewe ni upper middle class, je wanawake wa TZ ni wachafu?

Kuna tofauti hapo umeshasema profesional...meaning yule profesional ni kazi yake na anajua nini anafanya....same thing huwezi kumwambia mmeo akuchokonoe huko chini while hajui anachofanya ni nini au anaangalia nini yeye siyo dokta!.....

nimekuuliza tofauti nikiwa namaanisha feelings, kama ukiangalia ile clip ya youtube utaona yule dada anatabasamu, kutokana na mipapaso....
wakati mme wako anakunyoa unapata burudani kama burudani unayoipata ukinyolewa saloon
 
semilong please andika na rangu ya kawaida nina matatizo ya macho na sitaki kuvaa miwani so unavyoandika na rangi nyekundu unakuwa unanifanya napatwa na kizunguzungu alafu naona nyota pleaseee!....hiyo red ipo kali sana to me!...
 
kama umesoma mwazo vizuri utaona nimeandika sijaoa, kwa hiyo mambo ya regular check up siyajui

sikujua kama hujao...lucky you!

samahani kwa kukusumbua tena
kwani mwanamke hawezi kujisafisha mwenyewe mpaka gyno???
kama hawawezi kujisafisha wenyewe, na kwa maisha ya TZ watu hawaendi kwa dr mpaka wawe wanaumwa unless wewe ni upper middle class, je wanawake wa TZ ni wachafu?


Bila samahani!....suala ni kuelimishana

unaweza kujisafisha to certain point lakini huwezi kwenda deep like kule ndani kabisa so you must consult a gyno ili aweze kukuangalia....wee utaweza kujitanua miguu na kuanza kujiangalia huko ndani?..siyo rahisi....same as bikini wax huwezi kujifanyia mwenyewe...remember this " mganga hajigangi"....
 
Hehehe, kazi kweli kweli!

Wangapi hapa wakinyoa ndevu kwa viwembe wanatoka mapele kama barabara iliyojaa kokoto? Same thing applies to our dear sisters wako ambao viwembe haviwapendi na wanatoka bumps kila wakinyoa na wako ambao hawatoki bumps.

Tanzania bado tunadharau professions za watu hahaha!!

Point mwanangu!...nipo pamoja na wewe!....unaelewa haya mambo unlike other people here.....
 
Kitu ambacho najiuliza . . .

Kwa Nchi kama yetu ambayo "Professionalism" wakati mwingine si kipaumbele katika kazi . . . . Si hatari kuwa mwanzo wa maovu mengine ndani ya Saluni.

Hii shughuli inahitaji Privacy . . . Sasa itakuwa vipi kama Mamaaa akipelekeshwa na kuhadaliwa na wazoefi kisha akaingia mkenge?
Now you are talking.

Hakuna kitu kinachoitwa Professionalism hapa kwetu.

Magaino wengi wamefariki kwa ugonjwa wa UKIMWI BAADA YA KUTENGENEZA GARI NA KUAMUA KULIFANYIA TEST.
Kuna case ambayo my wife wa mdogo wangu alitekenywa na Gaino na hakufurahishwa na kile kitendo akakiripoti kwa Mganga Mkuu wa Hospitali.

Kuna case nyingine Mzee mmoja alipata ajali akawepo hospitali kwa muda mrefu kidogo ,hivyo ikawa anaogeshwa na Nesi ,siku moja kilichotokea ni kwamba Nesi alimfanyia makusudi yule mzee, alimsugua mpaka yule mzee akapiga bao,mzee kuona hivyo ikabidi yeye mwenyewe mzee aombe samahani,Nesi akajifanya alikuwa anamsugua kwa kumsafisha tu hakuwa na nia nyingine.

Sembuse hao wanyoaji wa kwenye saluni ambao profession zao hazina codes of conduct .


My take ni kwamba hawa wamiliki wa hizo saluni "WANAJUA WANACHOFANYA"
 
Can I be neutral, Please? Ukweli kuna mambo ambayo binadamu kwa heshima yako mwenyewe hata kabla ya heshima ya aliyekuoa/ uliyemuoa, unapaswa kujifanyia mwenyewe. Kujiswafi huko maeneo nyeti ni mojawapo. nadhani ndio maana paliitwa nyeti. It is a For-Your-And-Husband/Wife-Eyes-Only No-Go- Area!
Kelly, Nadhani Kulinganisha Gyno na Mnyoa M****i ni makosa. One is a neccesity and the other is just....should we say, ni matokeo ya uvivu wa watu ya kujiswafi wenyewe kutokana na too much of Usasa??
Maana kama leo hii mtu huwezi ukajiswafi mwenyewe maeneo nyeti hadi ukamlipe hela mtu akunyolee na kukuwekea kalikiti m****i yako mwenyewe hudhani kwamba tunakoelekea siko?
Maana sisi ma-old school tunadhani kwamba kwa kujiendekeza na usasa huu kuna hatari huko mbele siku mtu utamaliza haja kubwa yako kisha you take a car to some saloon where a guy can wash your A** just because it is the in-thing!!
Indeed. where are those days when only you had to do was take a Nacet Shaving Stick, a Small mirror and do some self gymnastic/Yoga and...Voila!! You were as clean as a Whistle!!


very good mkuu!!
 
Good. Naomba sasa picha ziongee: Brazillian Wax:

attachment.php


attachment.php


attachment.php


attachment.php
 

Attachments

  • Brazilian_Waxing.jpg
    Brazilian_Waxing.jpg
    23.9 KB · Views: 697
  • 437.jpg
    437.jpg
    12.5 KB · Views: 621
  • brazilian-wax-3.jpg
    brazilian-wax-3.jpg
    22.7 KB · Views: 683
  • christopherhitchens.jpg
    christopherhitchens.jpg
    25.7 KB · Views: 633
Mtume kumbe ndo inafanywaga hivi.... mwe topaz uko wapi my dia?

Wakuu ndo maana nilimwambia mpenzi wangu Kelly01 kuwa ni aibu umeona alivyoaanika sehemu nyet na kupakwa hiyo brazillian wax.

Mungu wangu weeeeeeeeeeeeee

Kelly mpenzi wangu unamheshimu kweli mpenziyo hopefuf hujaolewa?yaani kweli unaipeleka wanaiona hivi2
 
Wakuu ndo maana nilimwambia mpenzi wangu Kelly01 kuwa ni aibu umeona alivyoaanika sehemu nyet na kupakwa hiyo brazillian wax.

Mungu wangu weeeeeeeeeeeeee

Kelly mpenzi wangu unamheshimu kweli mpenziyo hopefuf hujaolewa?yaani kweli unaipeleka wanaiona hivi2


Mkuu sidhani kama shida ni kuonwa sehemu nyeti bali sababu yenyewe ya kuruhusu mtu akuone. Kwa vile hawa jamaa huwa wanaheshimu kazi zao inawezekana mambo yakaishia hapo. Ila kwetu sisi wabongo sidhani kama tumefikia kiwango hicho. Pia na haya mambo ya picha za ngono, nahofia sana mwenendo huu wa kuanika mtaji wako hadharani (namaanisha kwa watu wa nje mbali ya mke/mumeo)! Si ajabu kesho yake ukakutana na dada au kaka aliyekuhudumia kwenye saluni na kuanza kukupiga sound kuwa amezimika kwa maumbile yako. Au ukakutana na vesi za bongo fleva kuwa wewe ndiye top au downn in Dar kwa maumbile ya nyeti zako! Binafsi siko tayari kwa hilo ingawa naheshimu maamuzi ya watu wengine wanaopenda kufanya hivi. Hata hivyo sina hakika itakuwaje kama mama watoto akitaka kujaribu. Huo utakuwa mtihani wangu wa mwisho katika maisha yangu ya zaidi ya miongo minne!!
 
Wakuu ndo maana nilimwambia mpenzi wangu Kelly01 kuwa ni aibu umeona alivyoaanika sehemu nyet na kupakwa hiyo brazillian wax.

Mungu wangu weeeeeeeeeeeeee

Kelly mpenzi wangu unamheshimu kweli mpenziyo hopefuf hujaolewa?yaani kweli unaipeleka wanaiona hivi2
hahahhahahahhahaha mummy umenivunja mbavu nacheka mpaka basiiiiiiiiii MWEE!!!
 
[/COLOR][/B]
sikujua kama hujao...lucky you!



Bila samahani!....suala ni kuelimishana

unaweza kujisafisha to certain point lakini huwezi kwenda deep like kule ndani kabisa so you must consult a gyno ili aweze kukuangalia....wee utaweza kujitanua miguu na kuanza kujiangalia huko ndani?..siyo rahisi....same as bikini wax huwezi kujifanyia mwenyewe...remember this " mganga hajigangi"....

kelly, siingilii uhuru wako wa kkuamua jinsi gani unataka kujisafisha na kwa kumtumia nani, lakini nadhani u hav gone a lit bit far kusema wanawake wasionda kwa gyno kila baada ya miezi sita ni wachafu, sijui uko nchi gani lakini sisi wanawake wa kibongo tulio bongo huo sio utamaduni wetu tunaenda kwa gyno pale tu mtu anapoona hayuko sawa kwa maana ya ugonjwa au tatizo.
Na huo uchafu unaohitaji gyno kuutoa ni wa wapi hasa yeye gyno atautoa kwa njia ipi ambayo wewe mwenye mwili wako usiweze? labda unangelea ashakum si matusi tundu la nyuma "ass" ambalo ndio tunasikia hao wanaotumia huko inabidi kila baada ya wakati fulani kwenda kupigwa bomba "kusafishwa" kwasababu zile shahawa zinakuwa hazina means ya kutokea kama ilivyo kwa tundu la mbele.
OR unaongelea wanawake walio na maumbile yasiyo ya kawaida kwa maana kwamba tundu zao za mbele ni ndefu kupitiliza kwahiyo hawezi kujisafisha mwenyewe mpaka akachokonelewe na gyno. sasa labda u should specify. lakini kama swala ni hayo m******i tu? shost kwenda salon kwangu mimi naita uvivu babu na mwanamke kuwa mvivu si asili yake kama kiwembe kinakutoa bumps tafuta mmbadala wake ambao naamini upo, hizo wax zipo aina nyingi zipo ambazo unaweza kujifanyia mwenyewe sio lazima brazilian wax. na napenda kukwambia WANAWAKE WA KITANZANIA TUPO SWAFIIII NA NDO MAANA HATWENDI KWA GYNO MARA KWA MARA KWASABABU TUNAJUA KUJISAFISHA WENYEWE NA HATUNA FUNGUS wala HUO UCHAFU WA KUTOLEWA NA GYNO.
by the way hivi Gyno kasoma chuo miaka zaidi ya mitano kwa ajili ya kusafisha K***a za watu tu kwa uvivu wao? mnalikubali hilo?
 
Last edited:
Back
Top Bottom