Sipo
JF-Expert Member
- Jul 25, 2008
- 2,139
- 105
Mkuu Sipo, ushauri wa bure: Kama unaishi mjini usirogwe kuoa mke toka kijijini maana atakuja mshamba lakini siku akijanjanjaruka utalia mikono kichwani kama uliyefiwa na mzazi.Wenzio tushayaona na si mara moja.
Kweli, hili nalo neno. Sasa nitafanyaje mkuu, uku mjini wameshatumbuliwa wote, chepechepe, maji walawala, ratio ya 5:9 ya watu wameshamega tunda la kati nami ndio nimfanye my waifu wangu huyohuyo!? Salaale afadhali ya Baba yangu aliyeoa wakati wa Azimio la Arusha, discipline was high