Ng'azagala
JF-Expert Member
- Jun 7, 2008
- 1,288
- 222
du kazi kweli kweli, sisi tulioishi vijijini sijui kama tutawahi kuchangamka na kubadilika maana hii story inanisisimua sana. my wife wangu akijua hii na nikisikia anafanya sielewi nita react vipi otherwise I think it is too far (kwangu lakini) nyie mliozoea endeleeni. mie hata kwenye harusi yangu last year nilikataa ile wanaita scribing loh huwa naona nimekamilika kwa kuoga tu na kujisafisha mwenyewe?