Saluni za kunyoa nywele sehemu nyeti

Superman

JF-Expert Member
Mar 31, 2007
5,695
1,696
Rafiki yangu wa karibu kanihabarisha kuwa "mamaaa" yaani my wife wake wki 3 zilizopita alienda kupata huduma za kawaida Saloon kubwa na ya kisasa ya kina mama katikati ya jiji. Baada ya hapo akaambiwa kuwa kulikuwa na huduma ya ziada.

Huduma hii ni ya kunyoa nywele za sehemu nyeti kwa namna ambayo nywele zote zinatoka na kukufanya "kwa bibi" kuwe kipara kabisa.

Pia akanihabarisha kuwa mamaa aliambiwa akinyolewa hivyo, nywele zinachukua muda mrefu sana kuota na wala hatoki vipele vya wembe,nilibaki najiuliza maswali mengi yasiyo na majibu.

Wadau hii imekaaje.
 
Bikini wax hiyo, nywele zinang'olewa ndo maana zinachelewa kuota. Big UP hiyo.
 
superman..Brazilian wax inafanya nywele kuota taratibu na pia huondoa bumps...na kukufanya uwe so fresh and clean....


Asante Kelly;

Nilichokuwa najiuliza ni vipi Mamaa alienda na kujianika 100% ili aweze kupewa hii huduma . . . .

Na nimesoma mahli humu JF kwamba siku hizi Lez ni kama kawa . . .

Au unaanzaje anzaje?
 
Asante Kelly;

Nilichokuwa najiuliza ni vipi Mamaa alienda na kujianika 100% ili aweze kupewa hii huduma . . . .

Na nimesoma mahli humu JF kwamba siku hizi Lez ni kama kawa . . .

Au unaanzaje anzaje?


hahahaha no super man siyo kama unamkaliza uchi mwananmke wmenzio huwa sehemu ile ya siri inazibwa.....hahahaha usihofu sana hakuna tatizo kabisa hapo.......alafu kuna style nyingi kama unataka zingolewe zote au unataaka kuweka punk it depends......
 
Hihiii,

Watu wa mjini mna shida nyie? Siye huku shamba akah. Sasa huko chini akina dada si watakuwa na punky za ajabu sanasana? Au dada anaweka jina lako SUPERMAN.

Sasa katika haya mambo siku zote huwa naanza na swali moja kubwa sana zaidi ya lile la gharama. Je kuna side efect gani (madhara) kwa kutumia hizo Brazilian wax au hiyo mianga ya laser? Madhara hayo ni makubwa sana au kidogo? Akina dada chungeni sana na haya mambo yasiyochunguzwa sana.
 
hahahaha no super man siyo kama unamkaliza uchi mwananmke wmenzio huwa sehemu ile ya siri inazibwa.....hahahaha usihofu sana hakuna tatizo kabisa hapo.......alafu kuna style nyingi kama unataka zingolewe zote au unataaka kuweka punk it depends......


Kelly;

Jamani acheni utani. Mbona mpaka kule kwenye "Vimashavu" huwa zinaota? Sasa zitanyolewaje kule bila kumchanulia? LOL
 
Hihiii,

Watu wa mjini mna shida nyie? Siye huku shamba akah. Sasa huko chini akina dada si watakuwa na punky za ajabu sanasana? Au dada anaweka jina lako SUPERMAN.

Sasa katika haya mambo siku zote huwa naanza na swali moja kubwa sana zaidi ya lile la gharama. Je kuna side efect gani (madhara) kwa kutumia hizo Brazilian wax au hiyo mianga ya laser? Madhara hayo ni makubwa sana au kidogo? Akina dada chungeni sana na haya mambo yasiyochunguzwa sana.


Mkuu; hayo ndo maswali ninayojiuliza. Lakini si hivyo tu, ni lile suala zima la unaanzaje "kujianika" kwa Mwanadada mwenzako kirahisi tu?
 
Kelly;

Jamani acheni utani. Mbona mpaka kule kwenye "Vimashavu" huwa zinaota? Sasa zitanyolewaje kule bila kumchanulia? LOL

Superman my friend eeh...kwani hapo kuna shida gani?..mbona watu we have been doing that for years hakuna tatizo lolote lile.....yule anayekunyoa anafanya kazi yake pale ukimaliza unampa tip yake ...biashara imekwisha....lakini brazilian wax is safe that kutumia hizo razor.......
 
Huduma hii ni ya kunyoa nywele za sehemu nyeti kwa namna ambayo nywele zote zinatoka na kukufanya "Kwa Bibi" kuwe kipara kabisa. Pia akanihabarisha kuwa Mamaa aliambiwa akinyolewa hivyo, nywele zinachukua muda mrefu sana kuota na wala hatoki vipele vya wembe.


Ndio ni huduma kama zilivyohuduma zingine. nakama akitaka zisiote vipele wanaweza kutumia hata uzi badala ya wembe au mashine nyingine.

Na huyo "my wife wake" yeye alikuwa na hiari ya kuhitaji hiyo huduma au la!
 
Ndio ni huduma kama zilivyohuduma zingine. nakama akitaka zisiote vipele wanaweza kutumia hata uzi badala ya wembe au mashine nyingine.

Na huyo "my wife wake" yeye alikuwa na hiari ya kuhitaji hiyo huduma au la!

dang uzi lazima utokwe na chozi....maana itachukua muda sana ni bora ya wax one time only...i prefer uzi kwenye eye brows....
 
Superman my friend eeh...kwani hapo kuna shida gani?..mbona watu we have been doing that for years hakuna tatizo lolote lile.....yule anayekunyoa anafanya kazi yake pale ukimaliza unampa tip yake ...biashara imekwisha....lakini brazilian wax is safe that kutumia hizo razor.......

Kelly mamii kwani hiyo ndude sijui ya Brazil huwezipaka mwenyewe au ukampa bamsap akupake mpaka ukapakiwe saluni?
 
Msije shindwa kushangaa tu pale mapicha yenu yakakutwa kwenye magazeti ya udaku...! Na kichwa cha habari kikuuubwaaa...!

"Superman with 2inch wand"
 
Kelly mamii kwani hiyo ndude sijui ya Brazil huwezipaka mwenyewe au ukampa bamsap akupake mpaka ukapakiwe saluni?

shosti....hhaha trust wewe mwenyewe hutaweza kufanya...nilishawahi kujaribu mwenyewe nusu nijikojolee....yeah unaweza kumpa my husband wako akufanyie kama unayo ile wax kit yenyewe......ila kumbuka lazima awe sharp ikikugandia kasheshe unayo......
 
shosti....hhaha trust me mwenyewe hutaweza kufanya...nilishawahi kujaribu mwenyewe nusu nijikojolee....yeah unaweza kumpa my husband wako akufanyie kama unayo ile wax kit yenyewe......ila kumbuka lazima awe sharp ikikugandia kasheshe unayo......

Aksante mamii wangu kwa elimu hii kweli siku hizi kila kitu kwa teke linalokujia.... haya mama tuhabarishe!
 
Superman my friend eeh...kwani hapo kuna shida gani?..mbona watu we have been doing that for years hakuna tatizo lolote lile.....yule anayekunyoa anafanya kazi yake pale ukimaliza unampa tip yake ...biashara imekwisha....lakini brazilian wax is safe that kutumia hizo razor.......

Kelly,

Jamaa yangu mmoja alishaniambia litu kama hiki. Hawa jamaa hata kama ni wanaume huwa kweli wako kazini. Nilipopewa habari hii sikuamini masikio.
Ni kuwa Dr mmoja Ginekologist alikuwa ameweka kabisa order gazeti moja la watu wazima ambalo ndani kumejaa picha za akina dada kibao na humo ndani wamezianika haswaa picha za rangi nzuri haswaa.
Hii kitu ilishangaza wengi kuwa huyo Gina, si kila siku anaziona za kila aina na leo hii anaenda kununua gazeti azione hizohizo.
Labda ni yale mambo ya Morogoro, yaani mtu anaenda na mhogo sokoni na kuuza na hapo ananunua mwingine na kubeba nyumbani. Ukimuuliza anakuambia "muhogo wa sokoni wanukia ki-sokosoko".
Hivyo Superman, jamaa huwa wako kazini, wala hana hamu kabisaa wakati ule na akiwa nyumbani mhhh, hapo. Ila sasa akija mkewe sijui inakuwaje?

Masanilo, njoo utowe maoni....
 
Superman my friend eeh...kwani hapo kuna shida gani?..mbona watu we have been doing that for years hakuna tatizo lolote lile.....yule anayekunyoa anafanya kazi yake pale ukimaliza unampa tip yake ...biashara imekwisha....lakini brazilian wax is safe that kutumia hizo razor.......
Huo ndio mwanzo wa kusagana kwani hiyo kazi anafanya babaa kwa babaa anafanya mama tena ndani kwenu mmetulia.
 
Huo ndio mwanzo wa kusagana kwani hiyo kazi anafanya babaa kwa babaa anafanya mama tena ndani kwenu mmetulia.


Kama watoa huduma ni wanawake basi hiyo saluni watakwenda wanaume kama wanaotoa huduma ni wanaume basi watakwenda wanawake. ni v/s
 
Back
Top Bottom