Superman
JF-Expert Member
- Mar 31, 2007
- 5,695
- 1,696
Rafiki yangu wa karibu kanihabarisha kuwa "mamaaa" yaani my wife wake wki 3 zilizopita alienda kupata huduma za kawaida Saloon kubwa na ya kisasa ya kina mama katikati ya jiji. Baada ya hapo akaambiwa kuwa kulikuwa na huduma ya ziada.
Huduma hii ni ya kunyoa nywele za sehemu nyeti kwa namna ambayo nywele zote zinatoka na kukufanya "kwa bibi" kuwe kipara kabisa.
Pia akanihabarisha kuwa mamaa aliambiwa akinyolewa hivyo, nywele zinachukua muda mrefu sana kuota na wala hatoki vipele vya wembe,nilibaki najiuliza maswali mengi yasiyo na majibu.
Wadau hii imekaaje.
Huduma hii ni ya kunyoa nywele za sehemu nyeti kwa namna ambayo nywele zote zinatoka na kukufanya "kwa bibi" kuwe kipara kabisa.
Pia akanihabarisha kuwa mamaa aliambiwa akinyolewa hivyo, nywele zinachukua muda mrefu sana kuota na wala hatoki vipele vya wembe,nilibaki najiuliza maswali mengi yasiyo na majibu.
Wadau hii imekaaje.