Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 11,866
- 4,252
Huko mjini kuna mambo wacha! Jamaa zangu wawili walipanda taxi hizi za kuchangia na mshkaji mmoja wakitoka posta. sasa njiani wakawa wanapiga stori, jamaa akaksema anafanya sehemu ambayo wake za watu huja kutengenezwa nyuchi zao zirudi kiwango kwa njia ya massage. sasa inafika wakati hawa wamama wanapandwa hamu kutokana na kushikwa huko maeneo, then hapo hapo kuna vijana spesho wa kuwashughulikia. jamaa anasema keshaziona nyingi mno hadi hashtuki. pia vidole vyake vimeota sugu kutokana na kuwakandakanda hawa wamama. ni soo!