Sakata la Sabaya: CCTV zaanza kutema cheche

Sakata la Sabaya: CCTV zaanza kutema cheche

Inashangaza sana hadi sasa Mteule wake yuko kimya.
Sabaya alipaswa kutolewa kwenye nafasi ya DC hadi muda huu.

Makonda style lazima iwe na mwanzilishi wake.
Hii inchi ina watu wa hovyo sana
 
Sabaya alikuwa akimtaka kimapenzi msanii Nandy ambaye alimkimbia kuanzia kwenye ukumbi wa Kill Home kwenye onyesho la Miss Kilimanjaro na hata hapo alionekana kuhamaki akitaka Nandy akaamshwe lakini wafanyakazi wa Hotel hiyo walimgombea,akarudi tena saa tano asubuhi.

Hii ndiyo aina ya viongozi wa leo tulionao,Mkuu wa wilaya ambaye ni mwenyekiti wa kamati ya Ulinzi na usalama ya wilaya anafanya upuuzi kama huu,kweli?,na mamlaka za uteuzi zipo
 
Back
Top Bottom