Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 141,513
- 283,988
Wakuu hii ndio hali halisi
Angalia device yako mkuuHaifunguki!
madaraka ni pombe kali sana !Awamu hii kuna wizi kuliko awamu nyingine zote.
Wanachofanya wateule wa rais ni kupitia kwenye ukali wa rais kujinufaisha. Huu ni ujambazi wa wazi kabisa.
madaraka ni pombe kali sana !
Wese limo?Haifunguki!
Huyu atapandishwa cheoKwa bahati Mbaya Rais wetu hawa ndio watu anaowapenda
Jamani hamkumbuki kwa Mnyeti? Hamkumbuki kwa Gelas Bakanwa? Mteuaji ndiye anayependa majitu ya hovyo kama hili! Dawa yao ni Mwamwindi tu!Inashangaza sana hadi sasa Mteule wake yuko kimya.
Sabaya alipaswa kutolewa kwenye nafasi ya DC hadi muda huu.
Makonda style lazima iwe na mwanzilishi wake.