cleverbright,
Eti wewe ni mwana CCM kawadanganye wajinga wenzako huko ufipa.
Eti wewe ni mwana CCM kawadanganye wajinga wenzako huko ufipa.
Katika utawala wa magufuli kuna watu ambao ni untouchable
Sabaya kawashika pabaya 2020 Jimbo linachukuliwa na ccm over
😆😆😆😆😆Mkuu si alisema aliwafanyia vetting ya hali ya juu wateule wake ,tena alikuwa anakesha anapitia mafaili ndio maanatunaona kazi mzuri ya sabaya ,matunda mazuri ya vetting ya Jiwe .
Eti wewe ni mwana CCM kawadanganye wajinga wenzako huko ufipa. Wewe ni asshole wa aina yake!
kwa mambo haya halafu wanamtukana kinana na makambaHizi clip huko twitter zimeshika kasi tangu mchana wa leo.
ni laana kubwa sanakwa mambo haya halafu wanamtukana kinana na makamba
Hakuna camera inayoonesha muda huoYaani saa 10 alfajiri na bunduki
Duniani namuogopa Mungu halafu Technologia by Ruta Mutahaba
Ila Jamani tuache utani, Nancy mzuri jamaniYaani saa 10 alfajiri na bunduki
Kusoma hujui hata picha huoni zamani tungekupeleka elimu ya ngumbaroHakuna camera inayoonesha muda huo
Ni aibu kubwa sana kwa aliyemteua na ni aibu kwa uvccmKama ni swala la kodi angenda na TRA na Regional na District Manager wangekuwa informed. Kama ni issue ya wahamiaji haramu basi Uhamiaji wangekuwa pia informed. So Sabaya alienda kufanya fujo
wengi hata mahakamani hawatafikaWasi wasi wangu ni kwamba baada ya huyu mzee wa Chato kuondoka magereza yatajaa kwa watu kama hawa, they have to pay a price for what they are doing