Sakata la Sabaya: CCTV zaanza kutema cheche

Sakata la Sabaya: CCTV zaanza kutema cheche

Hako kadogo nyegu ni hako nyuma ya sabaya...
Nishawahi kukalamba makofi kwa mrombooo.. kakanifanya nikimbie ATown
ndio hako sabaya kakapiga teke la punda kwa nyuma ?? au nimeona vbaya sio teke
 
1654082509699.png
 
Awamu hii kuna wizi kuliko awamu nyingine zote.

Wanachofanya wateule wa rais ni kupitia kwenye ukali wa rais kujinufaisha. Huu ni ujambazi wa wazi kabisa.
Sijui kwa nini watu hawachukuliwi hatua. Lakini bado maandalizi yanafanyika ya kutafuta viroba.
 
Back
Top Bottom