Sakata la Sabaya: CCTV zaanza kutema cheche

Sakata la Sabaya: CCTV zaanza kutema cheche

Halafu kanazuia ziara za mbunge eti kwakuwa na kenyewe katakuwa kwenye ziara za kukagua maendeleo!
 
Nilishakuwa na mashaka na awamu hii muda mrefu sana, kitendo cha dc mnyeti kupandishwa cheo licha ya kukiri kuwapa rushwa madiwani kilinikatisha tamaa kiasi naanza kuamini hakuna userious wa vita dhidi ya rushwa
 
Nilishakuwa na mashaka na awamu hii muda mrefu sana, kitendo cha dc mnyeti kupandishwa cheo licha ya kukiri kuwapa rushwa madiwani kilinikatisha tamaa kiasi naanza kuamini hakuna userious wa vita dhidi ya rushwa
una akili mno !
 
Mi naona magufuli hana haja tena ya uraisi!nadhan anafanya haya kumsafishia njia membe!!!!ni mpango wa ccm huu !wamesuka ili wamuondoe jpm aje membe!ili membe apate uungwaji mkono na wapinzani kuwa ni mpenda demokrasia!!hizi ni chenga za mwili!!
 
Mi naona magufuli hana haja tena ya uraisi!nadhan anafanya haya kumsafishia njia membe!!!!ni mpango wa ccm huu !wamesuka ili wamuondoe jpm aje membe!ili membe apate uungwaji mkono na wapinzani kuwa ni mpenda demokrasia!!hizi ni chenga za mwili!!
Ikulu ni mzigo - JK NYERERE
 
Mi naona magufuli hana haja tena ya uraisi!nadhan anafanya haya kumsafishia njia membe!!!!ni mpango wa ccm huu !wamesuka ili wamuondoe jpm aje membe!ili membe apate uungwaji mkono na wapinzani kuwa ni mpenda demokrasia!!hizi ni chenga za mwili!!
Hili jambo wengi hawajaliona. CCM imemchoka kiranja wao hivyo inampotosha kumjengea chuki katika jamii na azidi kuonekana kituko.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom