Sakata la Sabaya: CCTV zaanza kutema cheche

Sakata la Sabaya: CCTV zaanza kutema cheche

umechelewa sana mkuu , More videos to come , mtakimbiana kudadeki ! washamba ni washamba tu
sisikii sauti ingependeza kama maongezi yana sikika,lengo sio kumtetea sabaya,nikuondoa any doubts ambazo anaweza kuzitumia kutudanganya,Tunataka kumtundika lakini tujue hatujaacha chembe au mwanya wowote wa sabaya kujitetea!
 
Awamu hii kuna wizi kuliko awamu nyingine zote.

Wanachofanya wateule wa rais ni kupitia kwenye ukali wa rais kujinufaisha. Huu ni ujambazi wa wazi kabisa.
Mimi sioni kama ni wizi. Naona kama ujinga fulani hivi.. Yaani kateu watu ambao hawana talents za uongozi.. Huwa naona kinyaa kabisa nikiona baadhi ya mambo hawa vijana wana fanya.. Its a ahame..
 
Nimeangalia video Mbili kama mtu akiniuliza kinaendelea nini hapo hata sielewi.
Naona maneno mengi yanaongelewa lakini nikitumia akili ndogo Kabisa sioni connection na hata aura za watu hazionekani
Hiyo itakua tu trela kujaribu thibibisha yale malalamiko aliyotoa mmiliki wa hotel yana ukweli. Sasa subiria picha lenyewe watamwaga hadi msg za miamala na mengine tusiyoyajua...
Kuepusha fedheha zaidi jiwe angetengua mapema uteuzi wake aachie vyombo vya uchunguzi wafanye kazi yao...
 
sisikii sauti ingependeza kama maongezi yana sikika,lengo sio kumtetea sabaya,nikuondoa any doubts ambazo anaweza kuzitumia kutudanganya,Tunataka kumtundika lakini tujue hatujaacha chembe au mwanya wowote wa sabaya kujitetea!
No zama hizi na kuishi nchi za ulimwengu wa saba,kwa tuhuma tu hizi alipaswa awe amejiondoa ofisini mwenyewe
 
Kumekucha

Haki tu itendeke katika hili.
Nyooooo👹💩💩💩💩 unaijua HAKI nyie watekaji👷👷👸🙉
IMG-20190725-WA0007.jpg
 
Hili suala limeibuliwa jana/juzi kwanini unalazimisha maamuzi ya haraka kiasi hicho as if una maslahi nalo, serikali haifanyi lazi kama ambavyo ww inafikiri
huyu ni tapeli kitambo na alishafunguliwa kesi mahakama kuu Arusha ya kufoji kitambulisho cha usalama wa taifa na pamoja na hayo yote mwenyekiti wa CCM akamteuwa kuwa DC.

CCM ni Sabaya na Sabaya ni CCM,
Sabaya amesesema wazi hizo rushwa anatumwa na boss wake. Je Boss wa DC huyu ni nani??
 
huyu ni tapeli kitambo na alishafunguliwa kesi mahakama kuu Arusha ya kufoji kitambulisho cha usalama wa taifa na pamoja na hayo yote mwenyekiti wa CCM akamteuwa kuwa DC.

CCM ni Sabaya na Sabaya ni CCM,
Sabaya amesesema wazi hizo rushwa anatumwa na boss wake. Je Boss wa DC huyu ni nani??
Kwa tabia za huyo dogo inawezekana hajatumwa ni njia zake za kuhalalisha uovu, ni boss gani atamtuma mtu wa hovyo kiasi hicho akadai rushwa hotelini saa kumi alfajiri na mapolisi na bunduki
 
No zama hizi na kuishi nchi za ulimwengu wa saba,kwa tuhuma tu hizi alipaswa awe amejiondoa ofisini mwenyewe
Hapana mkuu,hujijui,ukisikiliza maneneo watu wanayosema ukayafanyia kazi you will not achieve anything in life!Sabaya is right aendelee na maisha yake mpaka concrete evidence itakapoletwa kwa uwazi zaidi.
 
Yule mama ana busara..haki itatendekea
Mpk mh. Majaliwa alishawakemea suala la huyo mkuu wa wilaya kutomheshimu huyo Mama(ambae ni boss wake),mh. Jaffo alienda kuweka kikao cha kumaliza tofauti zao lkn bila bila.

'Ukimuona mbwa juu ya mti jua amepandishwa' mkuu,so huyo kijana hamuogopi yoyote yule zaidi ya aliyempandisha juu.
 
Hapana mkuu,hujijui,ukisikiliza maneneo watu wanayosema ukayafanyia kazi you will not achieve anything in life!Sabaya is right aendelee na maisha yake mpaka concrete evidence itakapoletwa kwa uwazi zaidi.
Enzi zetu mtu kama wewe 'ungehasiwa' kama wale ng'ombe wa kulimia ili ubaki ukinenepa makalio na hips vzr ukatumike ktk shughuli nyingine za wana-nzengo.
 
Awamu hii kuna wizi kuliko awamu nyingine zote.

Wanachofanya wateule wa rais ni kupitia kwenye ukali wa rais kujinufaisha. Huu ni ujambazi wa wazi kabisa.
Sio kweli. Wizi upo ndani ya damu zetu toka Enzi na enzi
 
Back
Top Bottom