Sakata la Sabaya: CCTV zaanza kutema cheche

Sakata la Sabaya: CCTV zaanza kutema cheche

Haina tofauti na ya bashite, Hata Hivyo hawezi kuondolewa kwa kosa Hilo, Kama bashite hakuondolewa sembuse huyu?
 
Uyu DC inatakiwa muda huu awe kasimamishwa kazi,, kama ataachwa aendeleee kuna siku hawa Kwa jinsi magufuli anavyowabeba, watakuja kuua mtu Kwa kibri tu, maana watajua rais atawatetea hata wafanye nini
Kwani una uhakika hawajaua?
 
Haifunguki!
Kama unatumia android kwa kukusaidia kwenye simu yako ingia kwenye setting, nenda app&notification, ingia, ingia default apps, ingia browser app hapo set google chrome. Baada ya kifanya hivyo utakuwa na uwezo wa kufanya yafuatayo:
1. Kudownload moja kwa moja
2. Kuiangalia video kwenye chrome kisha ndio udawnload kwa kupitia hapo hapo kwenye chrome.
 
Kama unatumia android kwa kukusaidia kwenye simu yako ingia kwenye setting, nenda app&notification, ingia, ingia default apps, ingia browser app hapo set google chrome. Baada ya kifanya hivyo utakuwa na uwezo wa kufanya yafuatayo:
1. Kudownload moja kwa moja
2. Kuiangalia video kwenye chrome kisha ndio udawnload kwa kupitia hapo hapo kwenye chrome.
Hapo haiwezi kukataa ndugu Countrywide
IMG_20190726_054556.jpeg
IMG_20190726_054644.jpeg
IMG_20190726_054728.jpeg
IMG_20190726_054801.jpeg
 
Awamu hii kuna wizi kuliko awamu nyingine zote.

Wanachofanya wateule wa rais ni kupitia kwenye ukali wa rais kujinufaisha. Huu ni ujambazi wa wazi kabisa.


Nilichohugundua kwa video ya jana kunanwatu wana uchungu mdgo sana na fedha zao walizowekeza ..huo moyo mm jaman nasema kila siku siutaki ...yaan yule baba anavyoeleza huku mm nilikua natetemeka...!
Yaan mie unifanyie mazombie zombie kwenye hoteli yangu kisa ww DC? nadhn ndo maana Mungu hanibariki niwe tajiri....! yaan kwanza angeniogopa maisha yake yt..sioni cha kupoteza km unaharibu biashara yangu aisee...sjenzy kbs hili li Sabaya
 
Mhe. Rais wewe ndiyo mwenye uamuzi LAKINI huyu mtu anakuangusha sana. HAFAI hata kidogo. Kwa nini anasumbua sumbua mfanyabiashara usiku wa manane?.
 
Back
Top Bottom