Safi sana wabunge wa UKAWA

Safi sana wabunge wa UKAWA

Tuko nao pamoja makamanda na waendelee kutoka tu
 
Kama ni hivyo kwanini wasirudi majimboni basi wakawaambie wananchi sababu ya kutokaa bungeni?

Sasa kule kwenye mabaa wanamuwakilisha nani
Wanaobaki kujadili kibalakashia wanamuwakilisha nani?
 
Hizi figisufigisu ipo siku zitaTulia ama zitatulizwa. Hakuna chenye mwanzo kikakosa mwisho. Hili gonjwa jipya la kukandamiza wapinzani bungeni (tuliasis), dawa yake itapatikana tu.
 
Mkuu dhuluma haijawai kushinda haki

Ubabe na ujinga unaofanywa na ccm unamwisho wake

Acha" UKAKAWA" watufundishe mbinu mpya za kuyatatua matatizo kwa kuyakimbia.Hata miungu yao toka Ulaya watakuja kujifunza kwao maana Democratic Marekani wanakesha Bungeni kuwashawishi Republican wakubali hoja ya kudhibiti silaha huku wataalam wanalikimbia bunge.
 
Maneno yako ni sawa na maneno ya wakoloni wakati tunadai uhuru hivyo sikushangai.

Hapo ndipo wananchi wanashindwa kuwaelewa na aliyewadanganya kufanya hizi siasa atawachelewesha sana.

Nchi hii ipo huru na inayoserikali iliyochaguliwa na wananchi. Serikali husika chama kinachoiunda hiyo serikali kinawabunge karibu 70% ya bunge zima wakiwa wamechaguliwa na wananchi na sheria za nchi.

Sasa uhuru gani ambao haujapatikana mpaka mkaamua kufanya siasa za kianaharakati? Naona mnapiga hodi kaburini huku mkitegemea aliyemo atawaitia karibu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom