Tatizo la hawa wabunge wa UKAWA, they are playing to the external gallery yaani WAFADHILI ili waonewe huruma badala ya kukomaa ndani ya bunge humo humo mpaka kieleweke!!!
Hawa magamba ndicho walichotaka kutumia mbinu ili UKAWA wazile ili wapitishe mambo yao kiulaini na wamefanikiwa kwani bajeti yao imepita na sasa wanarekebisha sheria ikiwamo ile ya habari ambayo wakina Kubenea walikuwa wanaingoja!!! It is a question of strategy!
Hawa magamba ndicho walichotaka kutumia mbinu ili UKAWA wazile ili wapitishe mambo yao kiulaini na wamefanikiwa kwani bajeti yao imepita na sasa wanarekebisha sheria ikiwamo ile ya habari ambayo wakina Kubenea walikuwa wanaingoja!!! It is a question of strategy!