Safi sana wabunge wa UKAWA

Safi sana wabunge wa UKAWA

Wafanyaje ili wawe na pesa!?
Nawashauri wajinyonge maana sasa hivi hawana sera. Wameanza sera za kujiziba midomo na makaratasi. Au waende wakachunge ng'ombe kama bosi wao alivyo ahidi.

Maana uwezo wa kujieleza unashuka kwa kasi ya ajabu. Hawawezi tena kujitetea ndani na nje ya bunge wameziba midomo yao na makaratasi.
 
awajawahi kuwa na solid objectives and long term goal katika maamuzi yao ya kutoka Bungeni. Wanaendeshwa na immediate causes tu, ambazo nazo zinabadilika kila siku - UDOM diploma students protection agenda, hadhabu kwa wabubge wa upinzani, polisi kuzuia mikutano wa kisiasa, kutoshiriki......................et la. Kwa kifupi tu ni kuwa hata wao, mmoja mmoja au makundi hawana understanding moja ukiwauliza swali.... "Kwa nini hakai Bungeni kushiriki mijadala inayoendelea?"

Ninawashauri wafanye tathmini ya awali (appraisal) ya political environment ya sasa ili waweze kutabua na kupata space ya kufanya siasa katika Tanzania ya sasa inayoongozwa na JPM. Lest they are gone down with the wind.
 
Nawashauri wajinyonge maana sasa hivi hawana sera. Wameanza sera za kujiziba midomo na makaratasi. Au waende wakachunge ng'ombe kama bosi wao alivyo ahidi.

Maana uwezo wa kujieleza unashuka kwa kasi ya ajabu. Hawawezi tena kujitetea ndani na nje ya bunge wameziba midomo yao na makaratasi.
Wewe ulianzisha hoja kwamba wabunge wa UKAWA wamekuwa omba omba, sasa ndiyo nataka kujua wafanyaje ili wapate pesa ili wasiwe omba omba lakini ghafla unaanzisha hoja nyingine!!
 
Leo hii tena wametoka mara tu baada ya dua ya kuliombea Bunge kukamilika.Haina haja ya kuongozwa na mtu msie na imani nae.Walizani posho ndio zingewarudisha Bungeni.

Mbunge mzalendo hawezi kuweka mbele posho kuliko maslahi ya anaowawakilisha.

Wabunge wa UKAWA hawawezi kuishi kwa posho bali kwa kila neno la kizalendo la kuwaunga mkono.

UKAWA mnavaa viatu vya mzee Mandela ambae alivumilia mengi ila mpaka leo hii dunia nzima inamuheshimu.

Pambanane mkitambua the end justifies the means.

UKAWA kwa sasa naona ni kama watoto wanaosema huyu si baba au mama yangu wakati amekubeba miezi tisa na kukuzaa. Kwa sasa wapinzani ni ngumu kumkana mama yao Naibu Spika Tulia na baba yao CCM ambao ndio chama Tawala. Tuwaache hasira za mkizi .
 
Acha" UKAKAWA" watufundishe mbinu mpya za kuyatatua matatizo kwa kuyakimbia.Hata miungu yao toka Ulaya watakuja kujifunza kwao maana Democratic Marekani wanakesha Bungeni kuwashawishi Republican wakubali hoja ya kudhibiti silaha huku wataalam wanalikimbia bunge.
Bunge la marekani ulishawahi ona polisi wanakuwa sehemu ya bunge?

Au unaongea vitu usivyovijua

Ni Tanzania pekee polisi anakaa na silaha bungeni ili kuwaziba wabunge wa upinzan
 
Time will tell, though we're all don't know it'll tell us what,when and how.
Let see and get ready...
 
Naibu spika kibri anajiona mfalme.

Mwanamke hawi mfalme bali huwa Malkia.Dr.Tulia kama kawa Malkia kanuni zilizotungwa na wanaozikimbia kabla hajaingia ndizo anazisimamia.Tulitaka wanaosimamia sasa tumegeuka.
 
Wabunge wa upinzani almaarufu UKAWA waendelea kususia vikao vya bunge wakiongozwa na kiongozi wao Mh. Mbowe.

Inasikitisha sana kwa wapiga kura wetu wito wangu wakae meza moja ya mazungumzo kumaliza mgogoro huu.
Haisikitishi cc tulio wachagua tunapenda wanavotoka nje ya bunge
 
Kama ni hivyo kwanini wasirudi majimboni basi wakawaambie wananchi sababu ya kutokaa bungeni?

Sasa kule kwenye mabaa wanamuwakilisha nani
we hujui kua mikutano imesitishwa kwa vyama vya upinzani hata mkifanyia ukumbini.
 
Wangekutana na hawa wabunge wa ndiooo, Democrats wasingepoteza muda na wasio na utashi

Mbona republiacan wenye utashi wameamua kutoka na kuwaacha waombaji waendelee kuubembeleza ukumbi mtupu hadi wao watakaporudi na kuamua wanachotaka.Kupinga au kuunga matakwa ya Democratic
 
Tatizo la hawa wabunge wa UKAWA, they are playing to the external gallery yaani WAFADHILI ili waonewe huruma badala ya kukomaa ndani ya bunge humo humo mpaka kieleweke!!!

Hawa magamba ndicho walichotaka kutumia mbinu ili UKAWA wazile ili wapitishe mambo yao kiulaini na wamefanikiwa kwani bajeti yao imepita na sasa wanarekebisha sheria ikiwamo ile ya habari ambayo wakina Kubenea walikuwa wanaingoja!!! It is a question of strategy!
Halafu iyo bajeti na sheria zinakuja kukuumiza mwenyewe
 
we hujui kua mikutano imesitishwa kwa vyama vya upinzani hata mkifanyia ukumbini.
Mageuzi hayaji kwa kubembelezana..... Kama imrpigwa marufuku na nikinyume na democrasia fanyeni kwa nguvu ili dunia ijue
 
Hata hiyo duwa wangesusia limeshaeleweka kuliko kujionyesha wanaingia na kutoka
 
Mkuu dhuluma haijawai kushinda haki

Ubabe unaofanywa na CCM una mwisho wake

hapo mie ndo naposhindwa kukuelewa. ubabe upi??? mbona midomo wameziba wenyewe?? mbona sijaona wakiita mabaunsa kuwatoa ndani??? kila siku wanatoka wenyewe kwa hiari yao, tena wengine wanaondoka na kofia za wapenzi wao ili wawafuate nje.

kama ni kukataliwa kwa muongozo wa ishu ya udom, mbona na wa mbunge wa ccm juma nkamia ulikataliwa na bado hawakutoka nje???

bila upinzani inch hii itapoteza mwelekeo, tunawahitaji sana bungeni kupeleka hoja zetu. kukataliwa kwa hoja moja sio mwisho wa kutoa hoja. wagangamale huku wakiwa bungeni kama zitaendelea kukataliwa hoja zao wanainch tutaona na tutapima. sio kuweka mpira kwapani.
 
Wabunge wa upinzani almaarufu UKAWA waendelea kususia vikao vya bunge wakiongozwa na kiongozi wao Mh. Mbowe.

Inasikitisha sana kwa wapiga kura wetu wito wangu wakae meza moja ya mazungumzo kumaliza mgogoro huu.

Mkuu, Mimi nadhani upande wa pili ndo una wapuuzia UKAWA. Na hili nitatizo kubwa katika jamii yetu. Kuanzia maofisini, unasikia Boss ana mkandamiza wa chini yake huku akimwambia utanifanya nini? Hili nitatizo kubwa sana katika jamii yetu.

Watu wakipewa madaraka wanajiona wao mi Miungu watu hakuna wa kuwatisha au kwa maana nyingine wanaweza kuamua chochote bila kuogopa madhara yanayoweza kutokana na maamuzi yao. Mimi nadhani kwa mawazo yangu Ukawa hawana tatizo ila wapunge walio wengi, yaani wale wenye serikali ndo wanawaona UKAWA kama siyo lolote.

Ndio maana hawataki kusikiliza hoja zao. Sisi huko kwetu kuna usemi kuwa Mlevi anapolejea kutoka kwenye ulevi usiku akapita kwako na kusema jambo linalokuhusu wewe, basi usipuuzie kaa utafakali na uchukuwe hatua. Usimpuuze mtu haka kama anaongoe usiyotaka kuyasikia.

Bali msikilize kwa makini ujue hoja yake na kama kuna ukweli ndani yake basi fanyia kazi hizo hoja anazokulalamikia.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom