Safari za Kikwete zazaa matunda...

Pongezi Rais kwa kazi nzuri. Busara ni kitu cha bure tukubali pale penye mazuri basi tupongeze na penye makosa tushauri ili tuwe watu wazima na akili zetu timamu.
 
Waalim wa sayansi 47 kutoka USA wameapishwa leo ubalozi wa Merekani. Wamejitolea kuja kufundisha shule za Sekondari za Tanzania baada ya kuombwa rasmi na Mheshimiwa Rais Kikwete.

Ahsante Kikwete. Inanikumbusha wakati nasoma, enzi hizo, tulikuwa na Waalim kutoka Australia, India, Uingereza kwa uchache na mambo yallikuwa swaafi kabisa,

Hii ni fursa kubwa kwa Waalim wetu kujifundisha mbinu za wenzetu nasi kuwaonesha uwezo wetu nao wajifunze kutoka kwetu.

Haya wanafunzi, kazi kwenu na Mungu awasaidie muwe wanafunzi wazuri wa kuigwa na hawa Wamerekani wapeleke salaam njema kwao ili waje na wengine wanaosuasua.
..
Mie mwenzenu hapo awali nilikuwa naumiza Kichwa kujibu hoja Za Zomba, nakiamini kichwani kwake kuna kijiakili kiduchu kilichosalia.. Kumbe ni Mtu mwenye iwezo Wa panzi this way.. Mods mkiniona nimechangia uchafu Mwingine wowote wa Mtu huyu nawaruhusu mnipe BAN !! Ya kiukweli.. Fo my own sake!! I submit
 
..
Mie mwenzenu hapo awali nilikuwa naumiza Kichwa kujibu hoja Za Zomba, nakiamini kichwani kwake kuna kijiakili kiduchu kilichosalia.. Kumbe ni Mtu mwenye iwezo Wa panzi this way.. Mods mkiniona nimechangia uchafu Mwingine wowote wa Mtu huyu nawaruhusu mnipe BAN !! Ya kiukweli.. Fo my own sake!! I submit

Na hapa unafanya nini? unatoa tamko? kwi kwi kwi teh teh teh!
 
Safi sana wale viherehere waliokuwa wanaropoka safari hazina tija wameumbukaaa
 
Upuuzi mtupu huo,Tanzania inatumia gharama kubwa kwa safari kuomba misaada ambayo gharama hizo zingeweza kuboresha maabara,maktaba,mishahara ya walimu,makazi ya walimu pamoja na vyumba vya madarasa.

Hebu ifike mahali tutathmini kisomi, Hivi msafara wa rais kutoka tz hadi USA ni kiasi gani? Matokeo yake ni sawa na gharama hizo?

Gharama hizo zingeweza kuwasomesha walimu wa sayansi zaidi ya 100 kwa ngazi ya chuo kikuu. Huu ni upuuzi kabisa na anatuaibisha kwa kuomba vimisaada visivyokuwa na tija.
 
Mi nawasubiri kwenye shule yetu ya kata nyandekwa huko kahama mkoan shinyanga watakuwa wametatua tatizo la shule ye2 la kukosa walimu wa masomo ya sayansi

:biggrin1: endelea kusubiria hao wanapelekwa bagamoyo kwa Mzee mwenyewe
 
Waalimu wazalendo hawakatishwi tamaa, hakuna wakati migogoro yao iliposhughulikiwa kama huu wa Kikwete, hakuna wakati mishahara imeongezeka kama huu wa Kikwete, hakuna wakati wanaosikilizwa na kuthaminiwa kama huu wa Kikwete, hakuna wakati vyuo vya Ualimu na wanaosomea Uwalim wamekuwa wengi kama wakati huu wa Kikwete. Na waliambiwa wakae mezani waongee, wanajidai kugoma.

Hao wanafata wajinga wachache wanaowadanganya, wasikurupuke.

Mkuu zomba, viwango vya ufaulu vimeshuka kwa kiasi kikubwa jumlisha na vigezo vya kupewa mikopo kwa wanaosomea ualimu, hizo ndizo sababu hao unaosema wanasomea ualimu kuongezeka. Wewe unadhani wanaupenda sana ualimu ndo maana wanaongezeka?! Thubutu!! Hakuna namna tofauti ya haraka, so ni bora kuingia kwanza chuo, halafu mengine utajua baadae.
Tuambie walimu wamethaminiwaje kwa matendo?!
Jiulize ni walimu wangapi wamelipwa stahiki zao?
Jiulize walimu wangapi wamepandishwa madaraja na hata nyongeza zao hawajawahi kuziona?
Jiulize uduni wa vifaa vya kufundishia, kuanzia vitabu hadi maabara?

Au ulimaanisha nini kusema wanathaminiwa??
 
tumieni akili msiwe watumwa wa mawazo ya watu hivi walimu wa sayansi amabao hawafiki hata 100 wanaweza kusaidia nini kwa nchi kama tanzania chukulia tu kila mkoa waende wa 2 je, hiyo idadi si udaku mwingine na upuuzii mtupu na kukosekana kudhamini wataaalamu ndani ya nchi. na hawa wanakuja kuzoa malizetu wala sikufundisha bali kuangalia pontential areas ili waje na lugha ya uwekezaji kumbe wanatuibia
 
hii ni aibu sana ila sio mbaya sana hao walimu from US wapelekwe moja kwa moja shule za kata huko kigoma lindi na mikoa kama hiyo sio waishie shule kwenye shule zisizo hitaji msaada wa haraka
 
Zomba,

..kuhusu migodi ya dhahabu, tatizo ni kila Raisi na Waziri anataka asaini mkataba wa kuchimba dhahabu.

..tulitakiwa tuanze na migodi isiyozidi 3 kama maandalizi ya kujenga uwezo na kupata mikataba mizuri zaidi ktk migodi mingine.

..kuhusu elimu, pamoja na mafao ya waalimu, I hope ulichoandika does not reflect the attitude ya wakubwa huko serikalini na ktk CCM kuhusu sekta ya elimu.

Wewe unaongea nini kuna mwana siasa dunia hii anaekutumikia wewe kwanza? Slaa si huyo, hana madaraka ya nchi na madaraka madogo ya chama tu anakikopa ile mbaya, wakati wengine ndio wanaswagwa kula kichapo cha ffu na kutandikwa na vibomu vya machozi, hawambulii hata senti nyekundu. Wao wanaahidiwa tu, kazaneni mtakuja kuwa na maisha bora, wakati yeye ndio huyo, anakopa visenti vyenu mnavyochngia kwenye renaissance. Kwi kwi kwi teh teh teh!

Anawapatia kweli. Nyie mnapiga magwanda, jasho linawavuja mpaka mtu akiwasogelea anakirihika kwa harufu, maana gwnda likikaukia jasho hiyo harufu haikaliki, wenzenu wanakuja na ma VX yao na magwanda bariiidi bila jasho, wakija wapige kelele za kuwachota akili na nyie mmo tu. Slaa rais, Slaa Rais, raisi anakopa fedha ya chama kujenga nyumba ya nanihii wake? Kalagabaho.
 
Gahrama ya UVasco Nusu ya bajeti ya serikali,

Matokeo walimu 47 wa kujitolea toka Marekani?

Haya wa Uk wako wapi?

Akili ndogo inaongoza akili kubwa.

Kuna watu hapa jamvini,
hawawezi kutofautisha,
kati ya hekima na kiwango cha fedha mfukoni.
waTanzania kadhaa wanadhani Fedha nyingi ni mbadala wa hekima.

Safari za UK umesahau zimerudisha chenji ya rada aliyogongwa Nkapa? unaonesha ni mfupi wa kukumbuka.
 
Waalim wa sayansi 47 kutoka USA wameapishwa leo ubalozi wa Merekani. Wamejitolea kuja kufundisha shule za Sekondari za Tanzania baada ya kuombwa rasmi na Mheshimiwa Rais Kikwete.

Ahsante Kikwete. Inanikumbusha wakati nasoma, enzi hizo, tulikuwa na Waalim kutoka Australia, India, Uingereza kwa uchache na mambo yallikuwa swaafi kabisa,

Hii ni fursa kubwa kwa Waalim wetu kujifundisha mbinu za wenzetu nasi kuwaonesha uwezo wetu nao wajifunze kutoka kwetu.

Haya wanafunzi, kazi kwenu na Mungu awasaidie muwe wanafunzi wazuri wa kuigwa na hawa Wamerekani wapeleke salaam njema kwao ili waje na wengine wanaosuasua.

Shule za sayansi zinahitaji maabara! Walimu hata wakitokea mbinguni, kama hakuna maabara kwa wanafunzi wa sayansi, huwezi kuchochea udadisi, na badala yake unaishia kuwakaririsha tu, eti tunaita 'alternative to practical' halafu unategemea kutoa mwanasayansi hapo?!

Hawa walimu kwanza, walikuwepo hata kipindi cha nyuma, huwa wanaitwa 'peace corps' hivyo sioni kama ndio matunda ya hizo unazoita safari za Jakaya,
na pili hata kama ndo yangekuwa matunda ya hizo safari, basi hilo lingekuwa zao hafifu sana kulinganisha na gharama lililotumia kupatikana (gharama za safari zake)
Tatu, wengine uwezo wao ni wa kawaida sana, binafsi nilisoma katika shule ambayo kulikuwa na walimu hawa pia.
Kwa hiyo tusitegemee miujiza eti kwa kuwa walimu wa kimarekani wamekuja.
 
Shule za kata, kiswahili shida kwa wanafunzi je hao waalimu wa USA wataeleweka darasani kwa sampuli ya wanafunzi hao wasiojua vyema hata kiswahili? Lugha gongana na output ya hiyo lessons itakuwa approximately to none.

Kaka unakosea hawa wanaenda English midia.Shule za kata hawajui kusoma wala kuandika,alafua uwaletee walimu toka USA si watakuwa wanawashangaa tu.
USA walimu karibu katika ulimwengu wa 373-3=37
 
Waalim wa sayansi 47 kutoka USA wameapishwa leo ubalozi wa Merekani. Wamejitolea kuja kufundisha shule za Sekondari za Tanzania baada ya kuombwa rasmi na Mheshimiwa Rais Kikwete.

Ahsante Kikwete. Inanikumbusha wakati nasoma, enzi hizo, tulikuwa na Waalim kutoka Australia, India, Uingereza kwa uchache na mambo yallikuwa swaafi kabisa,

Hii ni fursa kubwa kwa Waalim wetu kujifundisha mbinu za wenzetu nasi kuwaonesha uwezo wetu nao wajifunze kutoka kwetu.

Haya wanafunzi, kazi kwenu na Mungu awasaidie muwe wanafunzi wazuri wa kuigwa na hawa Wamerekani wapeleke salaam njema kwao ili waje na wengine wanaosuasua.

Mkuu kama unakumbuka, ndio hayo hayo niliyo wahi kusema humu. Nampa ongera sana mkuu wa KAYA.
 
sasa walimu 47 ndo nini! halafu mbona hii propram ipo mda mrefu? usimsingizie rais wangu bwana, Kikwete angeenda kuomba walimu asingeomba wachache kiasi hicho. 47? You must be kiding!
 
There is no free lunch in America...although senseless people can presume to enjoy the Americans cake freely.
 
Back
Top Bottom