zomba
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 17,240
- 3,910
- Thread starter
- #101
Zomba,
..utaratibu wa waalimu toka USA ulikuwepo tangu zamani.
..tulitakiwa kuboresha mafao na mazingira ya ufundishaji ya waalimu wetu.
..mnajisifia kuleta waalimu 47 wakati kuna maelfu ya waalimu wazalendo waliokata tamaa.
Naona mnakurupuka, kwa kuwa tu yanatajwa mafanikio ya Kikwete ambayo hamuyapendi, waliokuwa wanakuja wengi wao wanakuja kufundisha Kiingereza, hawa wameletwa rasmi kufundisha SCIENCE kama alivyo ahidi Kikwete kuliboresha hilo somo.
Vipi kanuni za IMO zimekuingia au bado?