Safari za Kikwete zazaa matunda...

Zomba ni janga na laaana kubwa hapa JF phew!!!!!!!

Ukweli huwa mchungu, lakini nna uhakika unajifunza mengi mema kutoka kwangu. Na hutaki kuamini ndio maana una chuki binafsi. Hivyo ndivyo ilivyo.

Usinichukie na kunilaani, tulumbane kwa hoja. Mimi nakutakia kila la kheri na roho mbaya ikutoke na uwe msikivu utajifunza mengi sana kuliko ukijifunga kwa kujiona basi ndio unajuwa kila kitu. Una mengi ya kujifunza kutoka kwangu. Stahamili upanue kujuwa kwako.
 
[BWewe nyamaza Ujui USA waalimu wengi mamepumzishwa kazi? kwa taharifa yako waalimu wapatao 50,000 wa secondari wako ubaoni alafu kila mwaka vyuo vina tema more than 100,000, uku awana kazi ndiyo mana serekali ya USA wanatafuta kwa kuwapeleka, ujui kama TZ wanawalipa ao walimu? na Pesa zao zinakatwa kwy account ya missada ya nje. then kwa kutojua kwetu kingereza itawawia vigumu vijana kuelewa awo jamaa kwani wanaongea American Engilish.
Mimi nakumbuka tulivyo kuwa High school kunawalimu walikuwa wanatoka Ujerumani kuja kutufundisha ilikuwa ngumu kuwaelewa kwa sababubu ya lugha.[/B]
 
Napita manzese yani mpaka raha naona shell ya mafuta ya lake oil eti ni ya ridhiwan jamani nzuri kweli hili nimeambiwa imejengwa eneo maalum kwa soko la machinga manzese........

CHAMA
SENGEREMA

ha ha ha haaa! Sio chama sengerema ni hivi

chama
gongo la mboto.
 
PEACE CORPS mbona wapo toka wakati wa President Nyerere na Kennedy
Walikuwepo kabla ya Nyerere na Keneddy au hulijui hilo?
zomba, usichokijua ni kama usiku wa giza...Peace corps wa kimarekani wameanza kuja Tanzania toka mwaka 1962. FYI naomba nikupe hii quote kutoka ubalozi wa Marekani Tanzania mwaka 2009!
Founded in 1961 by President John F. Kennedy, the Peace Corps is a U.S. Government agency that supports over 7,000 volunteers in more than 70 countries. For 48 years, Peace Corps has maintained apolitical and non-sectarian ideals of technical and cultural exchange. Peace Corps promotes world peace and friendship by fulfilling three fundamental goals:

  • Providing American volunteers who contribute to the social and economic development of interested countries;
  • Promoting a better understanding of Americans among the people who volunteers serve;
  • Strengthening Americans' understanding of the world and its peoples.
Over 2000 Peace Corps Volunteers have served in Tanzania since 1962. The Peace Corps provides trained American volunteers who work with communities in the fields of secondary education (math, science, and information and communications technology), health promotion, and environmental education.

The volunteers offer assistance and training on environmental education, including land degradation, preserving water catchments, soil conservation and implementation of agro-forestry techniques and emphasize partnership with women and youth. Volunteers also offer bio-intensive gardens to promote household food security as well as a variety of income generating activities.

On the health perspective, volunteers are involved in building capacity of youth, health service providers and community groups to promote and advocate for adoption of healthy behaviors including HIV/AIDS prevention, and care and support for people living with HIV/AIDS, orphans and vulnerable children. The volunteers work closely with village health committees to analyze community needs and priorities and promote behavior change in areas of maternal and child health, nutrition, malaria, waterborne diseases, sexual and reproductive health and HIV/AIDS prevention. The local health care providers gain skills in improving data management, tracking of patients, and health behavior promotion.
Kuhusu Marekani...baniani mbaya lakini kiatu chake dawa! Duh, naona sifa zinatafutwa hadi uvunguni mradi tu na dhaifu naye aonekane yupo.
 
Bila shaka atatutangazia kwenye hotuba yake za mwisho wa mwezi huu. Na huenda akaandaa sherehe za kuwakaribisha.

Hongera Mzee!!
 
walikuwepo kabla ya nyerere na keneddy au hulijui hilo?
kama isingekuwa nyerere kutaifisha shule za wakristo sijui kuandika mgejifunzia wapi?marekani analeta walimu wa it kuchunguza uamsho na uhusiano wao na alshabab na ccm maana makanzu yamezidi ikulu na ndio mwisho wake 2015 iwe chadema au ccm sasa mrudi madrasa siasa hamziwezi
 
kama isingekuwa nyerere kutaifisha shule za wakristo sijui kuandika mgejifunzia wapi?marekani analeta walimu wa it kuchunguza uamsho na uhusiano wao na alshabab na ccm maana makanzu yamezidi ikulu na ndio mwisho wake 2015 iwe chadema au ccm sasa mrudi madrasa siasa hamziwezi
 
zomba, usichokijua ni kama usiku wa giza...Peace corps wa kimarekani wameanza kuja Tanzania toka mwaka 1962. FYI naomba nikupe hii quote kutoka ubalozi wa Marekani Tanzania mwaka 2009!

Kuhusu Marekani...baniani mbaya lakini kiatu chake dawa! Duh, naona sifa zinatafutwa hadi uvunguni mradi tu na dhaifu naye aonekane yupo.

Naona umekurupuka na kurukia mada bila kupitia kuisoma. ungekuta jibu ya hilo swali lako.

Waalimu walikuwepo wa mataifa mengi walikuwepo kabla ya Nyerere na Kennedy na wa Kimerekani walikuwepo Tanzania kabla ya Nyerere na Kennedy. Nyerere mwenyewe alikuwa na Mwalimu wa Kimerekani, Kennedy alijulikana wakati huo?
 
​uamsho at work? KWI KWI KWI HA HA HAA KAVAE BOVU ALAFU KAJILIPULIE KWENYE MKUTANO WA CHADEMA WAFE WATU WENGI UENDE MBINGUNI MAANA WANAUAMSHO MNA IMANI HIZO HA HA HA
 
Waalim wa sayansi 47 kutoka USA wameapishwa leo ubalozi wa Merekani. Wamejitolea kuja kufundisha shule za Sekondari za Tanzania baada ya kuombwa rasmi na Mheshimiwa Rais Kikwete.

Ahsante Kikwete. Inanikumbusha wakati nasoma, enzi hizo, tulikuwa na Waalim kutoka Australia, India, Uingereza kwa uchache na mambo yallikuwa swaafi kabisa,

Hii ni fursa kubwa kwa Waalim wetu kujifundisha mbinu za wenzetu nasi kuwaonesha uwezo wetu nao wajifunze kutoka kwetu.

Haya wanafunzi, kazi kwenu na Mungu awasaidie muwe wanafunzi wazuri wa kuigwa na hawa Wamerekani wapeleke salaam njema kwao ili waje na wengine wanaosuasua.

Hawa volunteers wamekuwa wakiwa Tanzania ...tangu Enzi za uhuru...
 
duh, ndio matunda aloleta????

Bora nagerudi na maembe boribo tukatengeneza juisi tukanywa nchi nzima.

Yaani unatumia sh. 1000, kwenda marekani, unarudi na walimu ambao gharama ya kuzalisha hao walimu hapa nchini ni kama sh. 700, bado unaona faida.

Hawa walimu si ndio dizaini za akina Ms Lizzy, Mr. shimamula na Mr. Takeuchi??? Havijui lolote, vinaletwa vitoto vilivyomaliza st. Mnyamanyi za huko kuja kujitolea hapa kwetu ili vikue kue kidogo. Lol

matunda indeed!
True!halafu pia haya hayakustahili safari,ama kifupi safari siyo justifiable kwa vigezo alivyoleta mtoa hoja.

Yani safari zote hizo ukiona haya ndo matunda basi ujuwe hakuna justifications za safari...kumbe ni kweli jamaa alikuwa anatalii tu.
 
duh! Zamani ilikuwa ni 83 vs 17 sasa sasahivi itakuwa ni 96 vs 4, tafakari chukua hatua!

Chama
Ikwiriri.
 
kama isingekuwa nyerere kutaifisha shule za wakristo sijui kuandika mgejifunzia wapi?marekani analeta walimu wa it kuchunguza uamsho na uhusiano wao na alshabab na ccm maana makanzu yamezidi ikulu na ndio mwisho wake 2015 iwe chadema au ccm sasa mrudi madrasa siasa hamziwezi

Hayo makanzu yanazidi kwao kwa kasi zaidi kuliko dunia nzima, wengi wao wanaona ukweli uko wapi.

Hata Pengi anavaa kanzu, zisikutishe sana hizo.
 
Zomba usipende kusifia kila kitu anacho fanya JK Tafakali kwanza Isije siku moja ukasikia hawa walimu ni watafiti wa madini au wanazalisha mikanda ya Ngono na Dada zetu maana tumeshuhudia wazungu wengi walikuja kama viongozi wa dini lakini mwisho wa siku wamefanya kinyume na walicho ijia,
 
Naona umekurupuka na kurukia mada bila kupitia kuisoma. ungekuta jibu ya hilo swali lako.
Waalimu walikuwepo wa mataifa mengi walikuwepo kabla ya Nyerere na Kennedy na wa Kimerekani walikuwepo Tanzania kabla ya Nyerere na Kennedy. Nyerere mwenyewe alikuwa na Mwalimu wa Kimerekani, Kennedy alijulikana wakati huo?
Bahati mbaya ni kwamba Tanzania haikuwepo! Colorless green ideas sleep furiously! Nevertheless zomba, you are doing just fine!
 
watafundisha kwenye shule za kata pia? na kwa kiingereza ama ? huo n mtazamo wangu tu...
 
Zomba,

..utaratibu wa waalimu toka USA ulikuwepo tangu zamani.

..tulitakiwa kuboresha mafao na mazingira ya ufundishaji ya waalimu wetu.

..mnajisifia kuleta waalimu 47 wakati kuna maelfu ya waalimu wazalendo waliokata tamaa.
 
Bahati mbaya ni kwamba Tanzania haikuwepo! Colorless green ideas sleep furiously! zomba, you are doing just fine!

Naona umejaribu tena kuchakachuwa kama kawaida yako. Hukuona niliposema Nyerere alikuwa na Mwalimu wa kiMerekani?
 
6 Reactions
Reply
Back
Top Bottom