Waalim wa sayansi 47 kutoka USA wameapishwa leo ubalozi wa Merekani. Wamejitolea kuja kufundisha shule za Sekondari za Tanzania baada ya kuombwa rasmi na Mheshimiwa Rais Kikwete.
Ahsante Kikwete. Inanikumbusha wakati nasoma, enzi hizo, tulikuwa na Waalim kutoka Australia, India, Uingereza kwa uchache na mambo yallikuwa swaafi kabisa,
Hii ni fursa kubwa kwa Waalim wetu kujifundisha mbinu za wenzetu nasi kuwaonesha uwezo wetu nao wajifunze kutoka kwetu.
Haya wanafunzi, kazi kwenu na Mungu awasaidie muwe wanafunzi wazuri wa kuigwa na hawa Wamerekani wapeleke salaam njema kwao ili waje na wengine wanaosuasua.
Mkuu sio upeo, sina haja hata ya kutumia upeo wangu kwa suala ambalo liko wazi. Au kuna nilichoandika hapo ambacho sio cha kweli?Mkuu ndo upeo wao ulipoishia hapo! kazi tunayo watanzania!
Waalim wa sayansi 47 kutoka USA wameapishwa leo ubalozi wa Merekani. Wamejitolea kuja kufundisha shule za Sekondari za Tanzania baada ya kuombwa rasmi na Mheshimiwa Rais Kikwete.
Ahsante Kikwete. Inanikumbusha wakati nasoma, enzi hizo, tulikuwa na Waalim kutoka Australia, India, Uingereza kwa uchache na mambo yallikuwa swaafi kabisa,
Hii ni fursa kubwa kwa Waalim wetu kujifundisha mbinu za wenzetu nasi kuwaonesha uwezo wetu nao wajifunze kutoka kwetu.
Haya wanafunzi, kazi kwenu na Mungu awasaidie muwe wanafunzi wazuri wa kuigwa na hawa Wamerekani wapeleke salaam njema kwao ili waje na wengine wanaosuasua.
Na hapa unafanya nini? unatoa tamko? kwi kwi kwi teh teh teh!
Madini yote wanayovuna ni sawa waalimu 47???? Sasa unajisifu nini.... Hivi kweli tumeshindwa kuwapata waalimu 47? kwa miaka yote hawa jamaaa wanachukua gesi na madini????
Hayo madini wanavuna nyie mmelala? hivi kweli aje afyeke, aanze kuchimba, wewe unamtazama tu? huo ni ujinga wa hali ya juu.
Umewasahau wale watu waliopigwa Risasi Mara na sehemu zingine, umewasahau wale watu waliofukiwa Bulyanghulu???/, Umewasahau watu waliopigwa Risasi kigamboni juzi kisa kuwapa hadi machimbo ya Kokoto wawekezaji wa Kihindi????
Unaongea nini??? Mbona kama si mTZ????,,
Hivi ni watu wangapi wanapata ulemavu au kuuawa kwa ajili ya kupinga unyanyasaji wa serikali ya kifisadi ya CCM unayoitetea na kuisifia.
Ipo siku itafika na nyiye mtakuwa meshikilia makali huku wanyonge wakiwa na mipini.
Sio walimu tu bali Peace Corps hujumuisha watu wa kilimo, mazingira na ustawi wa jamii. Kwa kawaida hawa jamaa huwa sio walimu kwa taaluma bali hupenda kufundisha kwa sababu huwa na majukumu mengine mengi sana. Na ukibahatika kuona taarifa wanazozipeleka kwao kila mwezi unaweza ukamchukia hata huyo anayewasifia hapa kama zuzu! Nilibahatika kufanya kazi na hawa jamaa kwa miaka sita hakika sikuwapenda hata kidogo. Kwanza huwa hawana uwezo wa kufundisha, huwa kuna matatizo ya lugha na mawasiliano pia huwa kuna matatizo ya syllabus ambayo huwa hawawezi kufundishia kwa madai kwamba huwa ni "too much demanding". Huwa wana kaa nchini kwa kipindi cha miaka miwili tu. Sasa mwenzetu anaamini Kikwete amepiga bingo......Lo ujinga na umaskini ni kitu kibaya sana. Peace Corps wamekuwepo nchini tangu miaka ya 60 mara baada ya kupata uhuru kwa malengo mengi tu ikiwemo na kupambana na kuenea kwa ukomunisti na kueneza ubeberu wa kimarekani kupitia elimu.Bwana Zomba hii ni program ya Peace Corps ambayo huleta volunteers(waalimu) kila mwaka.Haitokani na ziara za Rais Kikwete
Walikuwepo kabla ya Nyerere na Keneddy au hulijui hilo?
Upo sahihi kabisa maana serikali ya wajinga inayoongozwa na raisi dhaifu ndio inayowaalika,kuwamilikisha migodi na kuwalinda ili wavune mali za wajinga ambao wakiamua kudai haki zao serikali ya wajinga huwajibu kwa bunduki na maji ya kuwasha. Bravo mr.Zoba kwa uchambuzi wako!Hayo madini wanavuna nyie mmelala? hivi kweli aje afyeke, aanze kuchimba, wewe unamtazama tu? huo ni ujinga wa hali ya juu.
Upo sahihi kabisa maana serikali ya wajinga inayoongozwa na raisi dhaifu ndio inayowaalika,kuwamilikisha migodi na kuwalinda ili wavune mali za wajinga ambao wakiamua kudai haki zao serikali ya wajinga huwajibu kwa bunduki na maji ya kuwasha. Bravo mr.Zoba kwa uchambuzi wako!