Safari ya Israel kua statehood

Safari ya Israel kua statehood

Kaka mbona unajitoa akili kiasi hicho ? Uhusiano wa Ibrahim na yakobo( Israel)
Ibrahim akamzaa Isaka kisha isaka akamzaa Yakobo (Israel) hivyo hawa wawili Ibrahim na Israel ni mtu na mjukuu wake, swali unaijua asili ya Ibrahim ambaye ni babu wake Israel? hii hiko wazi waisrael asili yao ni huko ambako babu yao Ibrahim alitokea wala sio hapa walipopavamia na kubadili jina la nchi ya watu kimabavu
Biblia inasema Abraham alitokea URU YA WAKARDAYO ambayo kwa leo hii ni Maeneo ya IRAN na IRAQ ya sasa
 
Tatizo lako ni la kitheologia zaidi.
Tunaona hata Yesu kama farisayo na Rabbi wa kiyahudi alitofautiana na mafarisayo, waalimu wa Sheria namna maandiko yanavyotakiwa kufuatwa.

Nasema Wayahudi sio Hatari kwasababu:-

1. Uyahudi Sio Cult. Watu wake wanaweza kuingia na kutoka kwa kupenda. Bila kuvunjwa mfupa wala kupoteza Uhai.

2. Uyahudi unaweza ku co-exist na dini nyingine kwa Amani bila hofu.

3. Uyahudi Sio Dini inayoongezeka.

4. Uyahudi una assimilate changes. Haipo katika zile dini zinazolazimisha wengine wawafuate ya kwao.

5. Wayahudi Wamechangia mambo makubwa na mazuri Mengi sana katika dunia.

Ukihesabu Wingi wa NOBEL PRIZES walizopata wayahudi katika field mbalimbali duniani, Kulinganisha na uchache wao.
Ukiwaunganisha wanasayansi akina Abert Einstwin, Chaim Weizzman na wengineo.
Wayahudi Wanaongoza kwa Katika masuala mengi kama Education, Sayansi na teknolojia, Tafiti, Business, Medicine, Agriculture, History and Culture, Space exploration, Military, Security na Tourism na Masuala ya burudani,

Uyahudi imekua miongoni mwa vyanzo vikubwa vya kujifunza maarifa na taarifa za watu wa kale kupitia màandishi na excavation.
unaandika vizuri sana hoja zako na unajibu vizuri sana ila hii ya kuwatetea wayahudi ni kwakuwa huwajui vizuri labda au hujawafuatilia kwa umakini sana.
1.Dini ya kiyahudi ni Cult 100%
2.Uyahudi hauwezi ku Co-exist na dini au mila/desturi zingine sababu ya wao kujiona wana haki zaidi kuliko wengine naomba hapa urejee vitabu vyao vya TALMUDI ambavyo vinasema wayahudi wanatakiwa kuwachukulia GOYIM (watu wasio wayahudi) kama watumwa,mbwa au watu wasio faa na myahudi karuhusiwa kumuua GOYIM katika kitabu chao cha TALMUD ndiomaana kila walipokaa duniani walipigwa vita na kuuawa recently Hitler na Nazi Germany na hv Anti-Semitism imezidi kuongezeka sana Ulaya
3.Uyahudi sio Dini inayoongezeka sababu hata wao wayahudi hawapendi sana jamii zingine ziijue na kuifuata dini yao ndiomaana hawaongezeki
4.Dini ya kiyahudi hailazimishi wengine wasio wayahudi kuifuata sababu dini yao inawachukulia wasio ifuata kama watumwa tu na wajinga ambao hawana thamani yeyote
5.Hii ni kweli lakini pia usisahau kuna mataifa mengine makubwa tu nayo yamechangia maendeleo ya dunia sio wayahudi pekeyao
 
MTOA MADA AMEKOSA REFERENCES/CITATIONS ILI KUWEKA USHAHIDI WA KUTOSHA. IMEKUWA KAMA HADIDHI SASA
 
Nimesoma Uzi wako wa awali, nimesoma jinsi unavojibu kwa Hoja, niishie kusema una uweledi wa halia ya juu katika sanaa ya mabishano na kujenga Hoja, hata kama kuna baadhi ya point inaweza kuwa ngumu kuamini kwa sababu kadha wa kadha lakini nabaki kukiri wewe ni Mjenga Hoja mzuri sana Ndg yangu.... You got my attention , Big up.
Thanxxxxcam appriciate
 
Yaani we jamaa hupaniki na wala hutumii lugha chafu, walio wengi wanaojaribu kubishana na wewe naona wanatumia hata lugha za kuudhi na kejeri lakini wewe unawajib kwa staha na kwa Weledi na mifano !! Ahahaha mi imebidi niwe msomaji tu sasa .
Thanxxxxcam appriciate
 
Wewe ni, modern Cauccasian jew?

au msawahili kwa maana ya Mwafrica.

Tuanzie hapo kwanza, af nishushe mistari kwa faida ya Wabantu wote Duniani.
 
Tatizo lako ni la kitheologia zaidi.
Tunaona hata Yesu kama farisayo na Rabbi wa kiyahudi alitofautiana na mafarisayo, waalimu wa Sheria namna maandiko yanavyotakiwa kufuatwa.

Nasema Wayahudi sio Hatari kwasababu:-

1. Uyahudi Sio Cult. Watu wake wanaweza kuingia na kutoka kwa kupenda. Bila kuvunjwa mfupa wala kupoteza Uhai.

2. Uyahudi unaweza ku co-exist na dini nyingine kwa Amani bila hofu.

3. Uyahudi Sio Dini inayoongezeka.

4. Uyahudi una assimilate changes. Haipo katika zile dini zinazolazimisha wengine wawafuate ya kwao.

5. Wayahudi Wamechangia mambo makubwa na mazuri Mengi sana katika dunia.

Ukihesabu Wingi wa NOBEL PRIZES walizopata wayahudi katika field mbalimbali duniani, Kulinganisha na uchache wao.
Ukiwaunganisha wanasayansi akina Abert Einstwin, Chaim Weizzman na wengineo.
Wayahudi Wanaongoza kwa Katika masuala mengi kama Education, Sayansi na teknolojia, Tafiti, Business, Medicine, Agriculture, History and Culture, Space exploration, Military, Security na Tourism na Masuala ya burudani,

Uyahudi imekua miongoni mwa vyanzo vikubwa vya kujifunza maarifa na taarifa za watu wa kale kupitia màandishi na excavation.
Kwa uchache wao?

kumbe ni wachache, Mungu alipombariki Abraham alimwambia uzazi wake utakuwa kama wingi wa nyota za mbinguni.
mbona sasa hawa ni wachache?
 
Fake jews waliohalalisha kupumuana kisogoni waume kwa waume eti ni taifa la mungu nyoko😂😂😂😂😂
 
Kwa uchache wao?

kumbe ni wachache, Mungu alipombariki Abraham alimwambia uzazi wake utakuwa kama wingi wa nyota za mbinguni.
mbona sasa hawa ni wachache?
Ipo tofauti ya Israeli na Uyahudi
Unakua myahudi kwa sababu ya Mama yako alikua Myahudi.
Sio lazima uwe una observes zile sheria za kiyahudi na hata kufuata dini yenyewe.

Unakua mwisraeli kwasababu za uraia(Citizents ship) Bila kujali ni Mkristo, Myahudi, Bahai, nk. Ingawa populatuon kubwa ya waisrael ni Wayahudi.
 
Ipo tofauti ya Israeli na Uyahudi
Unakua myahudi kwa sababu ya Mama yako alikua Myahudi.
Sio lazima uwe una observes zile sheria za kiyahudi na hata kufuata dini yenyewe.

Unakua mwisraeli kwasababu za uraia(Citizents ship) Bila kujali ni Mkristo, Myahudi, Bahai, nk. Ingawa populatuon kubwa ya waisrael ni Wayahudi.
mkuu katika majibu yako mengi nadhani unatumia sana historia na falsafa kujibu kwenye hoja zinazohitaji kitabu cha biblia kutupa majibu,ndiomaana majibu yako yanajichanganya na Biblia inavyosema,
Ukisema Mwisraeli au wana wa Israel unamaanisha muunganiko wa zile kabila 12 za wana wa Yakobo na ukisema Myahudi au wayahudi unamaanisha kabila 2 tu kati ya zile 12 ,hizi kabila mbili wanaojiita wayahudi ni kabila la YUDA na BENJAMINI ,kwapamoja hizi kabila mbili ndio zikaunda taifa la wayahudi,Jews na zile kabila 10 zingine waliunda taifa la israeli wao walikuwa wanaitwa Wasamaria kutokana na mji wao mkuu kuitwa SAMARIA, kumbuka taifa la israeli liligawanyika baada ya kifo cha MFALME SULEIMAN,kabila 2 zikabakia na kabila 10 zikajitenga
 
Ipo tofauti ya Israeli na Uyahudi
Unakua myahudi kwa sababu ya Mama yako alikua Myahudi.
Sio lazima uwe una observes zile sheria za kiyahudi na hata kufuata dini yenyewe.

Unakua mwisraeli kwasababu za uraia(Citizents ship) Bila kujali ni Mkristo, Myahudi, Bahai, nk. Ingawa populatuon kubwa ya waisrael ni Wayahudi.
Population wise ndani ya israel state,wako 15 millions tu, na kama kweli ni kwao kwa nini wanaongoza kwa kupata utla violet skin cancer Duniani due to lack of melanin ikifuatiwa na Australia? na zamani walikuwa hawaugui?

tena hawa watu wa mungu huyo ni wabaguzi ni ile kinyama, ni kweli kuwa Holocaust haiwahusu? sababu Hitre ni ndugu yao wa damu?

Mean while Falashas jews hawana hayo makitu.

Caucasoid Jews was notorious slave traders world wide, due to that are now filthy rich, capable of controlling the whole world.
 
Population wise ndani ya israel state,wako 15 millions tu, na kama kweli ni kwao kwa nini wanaongoza kwa kupata utla violet skin cancer Duniani due to lack of melanin ikifuatiwa na Australia? na zamani walikuwa hawaugui?

tena hawa watu wa mungu huyo ni wabaguzi ni ile kinyama, ni kweli kuwa Holocaust haiwahusu? sababu Hitre ni ndugu yao wa damu?

Mean while Falashas jews hawana hayo makitu.

Caucasoid Jews was notorious slave traders world wide, due to that are now filthy rich, capable of controlling the whole world.

Israel in watu chini ya milioni 10, na kati ya hayo milioni kumi kuna semites and arabs. Kati ya semites kuna jews and so on. Hawa unaosikia wanapata cancer ni white jews sio Semites, na wengi ni wale ambao kimsingi have nothing to do with Israel, sana sana vizazi mchanganyiko vya waliohamia kutoka Ulaya, Marekani na Russia. Baba mzungu mama semite.

Sijui kama kweli Hitler alikuwa ndugu wa damu wa wayahudi. Ila ni kweli kwao Austria ukoo wake (Heider) kuna mmoja wao alikuwa na mwanamke semite. Lakini chuki dhidi ya semites Ulaya ipo hadi leo, ukiwabana vizuri wazungu wanakwambia kabisa sababu za holicaust. Haikuwa akili au sababu ya Hitler peke yake, wasaidizi wa Hitler ndio waliokuwa wanapanga walioiita suluhisho la mwisho.
 
mkuu katika majibu yako mengi nadhani unatumia sana historia na falsafa kujibu kwenye hoja zinazohitaji kitabu cha biblia kutupa majibu,ndiomaana majibu yako yanajichanganya na Biblia inavyosema,

Ukisema Mwisraeli au wana wa Israel unamaanisha muunganiko wa zile kabila 12 za wana wa Yakobo na ukisema Myahudi au wayahudi unamaanisha kabila 2 tu kati ya zile 12 ,hizi kabila mbili wanaojiita wayahudi ni kabila la YUDA na BENJAMINI ,kwapamoja hizi kabila mbili ndio zikaunda taifa la wayahudi,Jews na zile kabila 10 zingine waliunda taifa la israeli wao walikuwa wanaitwa Wasamaria kutokana na mji wao mkuu kuitwa SAMARIA, kumbuka taifa la israeli liligawanyika baada ya kifo cha MFALME SULEIMAN,kabila 2 zikabakia na kabila 10 zikajitenga

Upo sahihi 100%. Japo sijajua wapi nimemchanganya mtu. Lakini umeeleza kwa usahihi nakubaliana na wewe 100%
Nimewaza Labda sijaelewa vyema swali la Muulizaji.
 
Population wise ndani ya israel state,wako 15 millions tu, na kama kweli ni kwao kwa nini wanaongoza kwa kupata utla violet skin cancer Duniani due to lack of melanin ikifuatiwa na Australia? na zamani walikuwa hawaugui?

tena hawa watu wa mungu huyo ni wabaguzi ni ile kinyama, ni kweli kuwa Holocaust haiwahusu? sababu Hitre ni ndugu yao wa damu?

Mean while Falashas jews hawana hayo makitu.

Caucasoid Jews was notorious slave traders world wide, due to that are now filthy rich, capable of controlling the whole world.
hili ni taifa fake la waisrael, wa asili walikuwa na rangi mchanganyiko na sio hawa wazungu
 
Israel in watu chini ya milioni 10, na kati ya hayo milioni kumi kuna semites and arabs. Kati ya semites kuna jews and so on. Hawa unaosikia wanapata cancer ni white jews sio Semites, na wengi ni wale ambao kimsingi have nothing to do with Israel, sana sana vizazi mchanganyiko vya waliohamia kutoka Ulaya, Marekani na Russia. Baba mzungu mama semite..
Una kua mwisrael based on citizenship

QUOTE="Bongolander, post: 31921678, member: 3997"]
Sijui kama kweli Hitler alikuwa ndugu wa damu wa wayahudi. Ila ni kweli kwao Austria ukoo wake (Heider) kuna mmoja wao alikuwa na mwanamke semite. Lakini chuki dhidi ya semites Ulaya ipo hadi leo, UKIWABANA VIZURI wazungu wanakwambia kabisa sababu za holicaust. Haikuwa akili au sababu ya Hitler peke yake, wasaidizi wa Hitler ndio waliokuwa wanapanga walioiita suluhisho la mwisho.[/QUOTE]

1. Sikuzote ukiishi katika jamii ambayo sio asili yako. Kubagukiwa ni kitu cha kawaida kutokea. Mfano case ya Negro walibaguliwa Ulaya zaidi kuliko USA

2. Rekodi zinaonyesha wakati wa Hitler, Wayahudi walikua watu waliofanikiwa na wafanya biashara wakubwa pale German. Hii inaweza kua ili spark hate towards jewish population. Kama ambavyo IDD AMIN Alipowatimua wa Asia nchini Uganda.

3. Wayahudi hawakupata ubaguzi Marekani kulinganisha na huko Ulaya na Urusi. Ndio maana waliweza kupiga hatua kubwa sana hata leo

4 Unapobaguliwa haimaanishi wewe una TATIZO. Hata mbaguzi anaweza kua na matatizo zaidi yako. Try to dig deeper into this subject.

5. Kwa yale ambayo Hitler ameifanyia Dunia. He's not the best example. No one were exonarated from Furher discrimination and hatred. Hitler aliua hadi disables akilenga ku-purify Germany race. Apate jamii ya watu wembamba, warefu na wenye strong legs.


To sum up, laiti hiyo chuki ingezidi Love, nadhani wangekua kati ya jamii hatarini kutoweka duniani.
Au hata kunyimwa ile haki ya kurudi pale Middle East. Maana waliowapa hiyo Haki ni haohao wazungu kwenye Balfour Treaty.

Na kama ni laana, incomparison tu, Blacks ndio wanaongoza kwa kubaguliwa na kuchukiwa kuliko wote katika Mabara yote ulimwenguni.

Na kama swala ni mgonjwa basi waafrika ndio tunaongoza kwa kila aina ya magonjwa ikiwemo ukimwi.

Unapoizungumzia Israel uelewe ni Taifa lililosimama katikati ya msitu wa Maadui, na Marafiki zake wakiwa Ulaya Magharibi na USA. Na Jerusalem ni mji Mkuu wa Israel.


Zamani Umoja wa mataifa wa uliipa UNITED KINGDOM Mandate ya kuamua nani wa kumpa eneo la palestine ambalo lilikosa mtu. Baada ya kuangushwa utawala wa Ottoman. Lakini UK Wakawapa Waisrael badala ya waarabu.

Maana Waarabu waliomba kupewa eneo hilo lililokua halina mmiliki na WAKAHAIDIWA KUPEWA UK kama alivyowaahidi kuwapa waisraeli. Maana wote Walishiriki kusaidia Kuuangusha utawala wa Ottoman

Moja ya mambo yanayowafanya mpaka leo viongozi wa Kiarabu kuamini kua mkataba wa Balfour ulikua ni Usaliti wa Mwingereza dhidi ya waarabu.

Neno "Kulaaniwa" ni la kidini au kiimani sana. Tuwe makini. Unaweza kuamini chochote machoni pako. Msifosi kufanana.
 
Back
Top Bottom