Safari ya Israel kua statehood

Safari ya Israel kua statehood

Sasa na wewe umeamua Kutudanganya kwa mgongo wa ripoti za Antiquity. Ripoti ambazo kila mstaarabu hii leo anakiri kua zilikua zama za Giza.

Kwa taarifa yako, Wayahudi ni very Small population katika Dunia walio Smart na intelligent.
Hawana athari Tanzania, athari China wala Japan.

Zipo Dini kongwe zaidi ya maelfu ya miaka, kabla ya Judaism haijatokea duniani zikiwemo Budhism, Hinduism, kwakua hauna Taarifa zake.
Unajaribu kuchambua kitu in a very skewed understanding. Hii inaonyesha athari ya kitu wanaita Information Asymmetry. Jaribu kusoma vitu vingi uweze ku balance. Wafahamu hata Maynamar nk
Im sure utafahamu kua Judaism are peacefull religion among best religions on the planet.


Lakini kama wewe ni Smart haushikiliwi Akili, utatambua kua katika zama za Enlightment, Waarabu ndio jamii problematic ulimwenguni hivi sasa. Kupitia ideology ya Muhammadism.
Ambayo inalenga kufanya mauaji na kuangamiza kila mtu asiyekubaliana nao. Wamekua wakiua watu kwa maelfu ikiwemo kuuana wao kwa wao, kwenye kila kona ya dunia wanapofikisha idadi fulani ya watu. Nenda China,Xiajiang, Boston, spain, Russia, France , Israel, Srilanka, India, Syria, Iraq, Iran, Saudi Arabia, Egypt, Newyork, Afghanistan, Libya, Somalia, Belgium, UK, Central Africa Republic, Nigeria, Kenya ,Somalia etc. Listi ni ndefu saaanaaa.

Waarabu kupitia secret mission yao wanataka kuuangusha Utawala wa Mzungu. Wanajua wakimaliza hapo hakutakua na mwenye Nguvu zaidi yao maana watamiliki Nuclear. Na kuweza kumwaga damu zaidi.

Wafrika wanahesabika ni watumwa wao(Puppets dogs). Hata leo kule Libya watu weusi wanatumikishwa na kuteswa sana hata kuuwawa na hawa waarabu.

Mipango yao imekwenda mbali zaidi ikiwemo kuangamiza Swine wote ulimwenguni na Jewish race ili wabakie wao peke yao. Hawa ndio vitabu vingi huwatamka kwa jina la "'Stealth'.

Pitia vitabu kama 'Stealth Invation' na vingine vingi ujifunze maarifa.

Utagundua hata kule United Kingdom miji mikubwa kama BlackBurn wameshajaa wamekua wakiwabagua na kuwafukuza wazee wakizungu wanaoishi peke yao, waliozeeka hata kuwatishia kifo. Wazungu wengi wamekimbia nyumba zao na kuwaachia hawa jamaa bure kabisa. Wanaishi kwa ubabe mitaani, ikiwemo kuunda sheria mbalimbali za mitaa kwa kanuni zao.

Hawa Hawana tofauti na Mikakati iliyoandikwa kwenye yale mawe maarufu kama Georgia Stones kule USA.
Waarabu ndio wana ongoza kua na vikundi visivyo na idadi vya Mauaji ulimwenguni kote. Iwe kwa kuvifadhili Pesa ama kuviongoza moja kwa moja.
Huku waathirika wakuu wakiwa ni Waafrika na waarabu wenyewe.
Mkuu. Umenielewa vibaya na hukutaka kunihoji pale ambapo hukuenielewa vyema.

Nimesema jamii 2 or 3 ulipaswa kunihoji kwanza hizo jamii 2 or 1 zilizobaki ni zipi?.

Kuhusu waarabu.. Hawa jamaa ninawajua kwa mioyo yao mibaya japo kuna vitu hapo umeviandika naweza niskubaliene navyo na sina sababu ya kuvisema coz tutarefusha mjadara kwa vitu visivyo vya msingi.

Mimi nilikusudia kuweka kanusho juu ya kile ulichokiandika kuwa wayaudi dini yao haina vinasaba vya mambo ya matifu.

Katika bible kuna "verses" zinamsapoti myaud kumbagua asiye myaudi, kuua n, k... Na sio kwamba "verses" hizo ni agizo la nabii bali mungu mwenyewe anawaagiza kfanya dhuruma hizo kwa binadam wengine kisa tu, sio wayaudi.


NB: mimi sipo upande wowote ule ila nataka ubalance story yko.
Ila nakazia kuhusu waarabu hao jamaa ni shida... Ndiyo maana waarabu wenzao wanakataa kuwapa hifadhi.
 
Ok nitaandika upya
 
Sasa Abrahamu amekua Mtoto wa Israel tangu Lini?
Kaka mbona unajitoa akili kiasi hicho ? Uhusiano wa Ibrahim na yakobo( Israel)
Ibrahim akamzaa Isaka kisha isaka akamzaa Yakobo (Israel) hivyo hawa wawili Ibrahim na Israel ni mtu na mjukuu wake, swali unaijua asili ya Ibrahim ambaye ni babu wake Israel? hii hiko wazi waisrael asili yao ni huko ambako babu yao Ibrahim alitokea wala sio hapa walipopavamia na kubadili jina la nchi ya watu kimabavu
 
Ukitaja jamii 2 au 3 dunia ambazo zimekuwa chanzo cha vurugu duniani... Wayaudi ni hawakosekan katika hiyo list.

Ata yule mungu wao(YHWER) ni mungu furani hivi mpenda shari sana.

Ndiyo maana anamajina ya kishari shari kama vile bwana wa majeshi n,k.

Huyu mungu(YHWER) aliwaagiza wayaudi kuua watu "wakubwa kwa wadogo" pasina sababu yoyote.

Watu wakauawa katika ardhi yao... Kwa order ya YHWER.

So unaposema dini yao haina vinasaba vya tifu unataka kutudanganya bila hofu yoyote.
Hii hiko wazi kabisaaaa , ni ukatili mkubwa
 
Kaka mbona unajitoa akili kiasi hicho ? Uhusiano wa Ibrahim na yakobo( Israel)
Ibrahim akamzaa Isaka kisha isaka akamzaa Yakobo (Israel) hivyo hawa wawili Ibrahim na Israel ni mtu na mjukuu wake, swali unaijua asili ya Ibrahim ambaye ni babu wake Israel? hii hiko wazi waisrael asili yao ni huko ambako babu yao Ibrahim alitokea wala sio hapa walipopavamia na kubadili jina la nchi ya watu kimabavu
Mie naona wewe ndiye hujui kitu kabisa!.

Jambo hili liko wazi kabisa!.
Abrahamu Sio Mwisraeli. Itakua ni ukosefu wa Busara na heshima Kutumia jina la Mjukuu kumwakilisha Babu Yake.kana kwamba ndiye aliyemzaa.

Yakobo ndiye Israeli (Mwanzo 48)
Yakobo Alipopata wana 12 ambao ni

1. Reuben,
2. Simeon,
3. Levi,
4. Judah,
5. Dan,
6. Naphtali,
7. Gad,
8. Asher,
9. Issachar,
10. Zebulun,

11. Joseph na
12.Benjamin,

Hawa ndio walikua mababu wanaowakilisha makabila 12 Ya ISRAEL.

Pia kulikua na watoto wa Yusufu wa kuasili Efraimu na Manase wakawa wanawakilishwa katika Makabila hayo.

Ukileta za Kumtaja Abrahamu.
Itatulazimu turudi kwa Tera (Baba yake Abrahamu). Mwishowe tutafika mpaka kwa Adam na Eva.
 
Mie naona wewe ndiye hujui kitu kabisa!.

Jambo hili liko wazi kabisa!.
Abrahamu Sio Mwisraeli. Itakua ni ukosefu wa Busara na heshima Kutumia jina la Mjukuu kumwakilisha Babu Yake.kana kwamba ndiye aliyemzaa.

Yakobo ndiye Israeli (Mwanzo 48)
Yakobo Alipopata wana 12 ambao ni

1. Reuben,
2. Simeon,
3. Levi,
4. Judah,
5. Dan,
6. Naphtali,
7. Gad,
8. Asher,
9. Issachar,
10. Zebulun,

11. Joseph na
12.Benjamin,

Hawa ndio walikua mababu wanaowakilisha makabila 12 Ya ISRAEL.

Pia kulikua na watoto wa Yusufu wa kuasili Efraimu na Manase wakawa wanawakilishwa katika Makabila hayo.

Ukileta za Kumtaja Abrahamu.
Itatulazimu turudi kwa Tera (Baba yake Abrahamu). Mwishowe tutafika mpaka kwa Adam na Eva.
Duuuh una safari ndefu sana , kuendelea kulazimisha mambo ambayo ukweli unaufahamu kabisa , Yakobo alibadilishwa JINA akaitwa Israel , wala hakubadilishwa ASILI yake , ndio maana hao wakaendelea kuitwa WAEBRANIA siku zote, kwa sababu IBrahim alikuwa MUEBRANIA , hivyo ni jambo la kawaida wajukuu kuchukua asili ya baba na babu yao , sasa SASA Isaka ni muebrania halafu azae mtoto Yakobo asiwe muebrania hii ni akili au matope, ukweli utabaki pale asili ya waisrael watoto wa Isaka ni kwa baba yao Isaka (Muebrania) , hivyo kwao sio Israel ni Mesopotamia( ambayo ndio Iraq ya sasa) , hivyo Waisrael ni watu wa Mesopotamia ambako huko ndiko alikotoka Ibrahim ambaye ndio baba wa Isaka aliemzaa Yakobo , huku kaanani na viunga vyake hawa walikua WAHAMIAJI ( muasisi wa uhamiaji huu haramu ni Ibrahim,babu yao Israel) usipoelewa hapa uelewi tena
 
Duuuh una safari ndefu sana , kuendelea kulazimisha mambo ambayo ukweli unaufahamu kabisa , Yakobo alibadilishwa JINA akaitwa Israel , wala hakubadilishwa ASILI yake , ndio maana hao wakaendelea kuitwa WAEBRANIA siku zote, kwa sababu IBrahim alikuwa MUEBRANIA , hivyo ni jambo la kawaida wajukuu kuchukua asili ya baba na babu yao , sasa SASA Isaka ni muebrania halafu azae mtoto Yakobo asiwe muebrania hii ni akili au matope, ukweli utabaki pale asili ya waisrael watoto wa Isaka ni kwa baba yao Isaka (Muebrania) , hivyo kwao sio Israel ni Mesopotamia( ambayo ndio Iraq ya sasa) , hivyo Waisrael ni watu wa Mesopotamia ambako huko ndiko alikotoka Ibrahim ambaye ndio baba wa Isaka aliemzaa Yakobo , huku kaanani na viunga vyake hawa walikua WAHAMIAJI ( muasisi wa uhamiaji huu haramu ni Ibrahim,babu yao Israel) usipoelewa hapa uelewi tena
Unazidi kuingia Chaka kabisa.
Inaonyesha Hauelewi kile unachotaka kusema.

Twende Polepole Utanielewa tu.

Kwanza umeruka kutoka kujadili Wana wa Israeli kwenda kuwataja WaEbrania. Anyway.
Sijajua Ishmael naye Utamwita muebrania au Mtoto wa Mtumwa?
Anyway,.

Tuanze kuangalia Familiy Tree ya Abrahamu kwanza.

Abraham alienda kuishi Kanaani akajiitenga na Ukoo wa Baba yale Mzee Terah, alikotokea huko Ur ya Mesopotamia. Akaanza maisha mapya na Sarah mkewe.
Abrahamu alikua na wanawake wengine wengi wakazaliwa jamii ya wamidiani, waisraeli kupita Yakobo, Waedomu kupitia Esau nk.

Ingawa alikua na watoto wengi kuna watoto wawili maarufu
Ishmael na Isaka.

Abrahamu Hakutaka Isaka aoe mwanamke mkanaani, akamtafutia mke kwa kaka yake Nahor
Isaka akawazaa mapacha Esau na Yakobo (Israel )

Yakobo ni Pacha wa Esau.
Esau naye akajichanganya kaoa huko, kukatokea taifa la waedomu.

Na watoto wengine wakaibua mataifa/Makabila mengine hapo kanaani.

Ni Ishmael alitoka akaenda kuanzisha mji wake. Wako wana historia wanasema ndio waarabu wa Egypt. Anyway..

Sasa utaona matukio yote yanatukia hapo kanaani. Ndio mchanganyiko wa Mataifa yote hapo. Na kulikua na Amani tele.

Yaani hao waarabu wanaojinasibisha kua ni kizazi cha Ishmael na Wale wa upande wa Isaka. Jumlisha na watoto wengine wa Abrahamu ambao hawahesabiwi kwenye kundi moja la wahebrania, ambao mzizi wao ni mmoja. Ila hawahesabiwi kama waebrania.


Essence of Migration.
Kwanza ni Lazima tukubali kila jamii duniani inahamaa kwasababu za Kibiashara, kimaisha, kiusalama, nk.
Wako watu weusi wamehamia USA kupitia Slave Trade, wako waarabu wamehamia Europe wakikimbia Vita mashariki ya Kati. Nk.
Kuhama na kuhamia sio dhambi.
Hatuwezi toa sababu za miaka zaidi ya Maelfu kua ndio msingi wa bifu la sasa pale mashariki ya kati.
Hata hao waarabu wa pale Israel wana mahali walitokea kabla ya kua pale.
 
Unazidi kuingia Chaka kabisa.
Inaonyesha Hauelewi kile unachotaka kusema.

Twende Polepole Utanielewa tu.

Kwanza umeruka kutoka kujadili Wana wa Israeli kwenda kuwataja WaEbrania. Anyway.
Sijajua Ishmael naye Utamwita muebrania au Mtoto wa Mtumwa?
Anyway,.

Tuanze kuangalia Familiy Tree ya Abrahamu kwanza.

Abraham alienda kuishi Kanaani akajiitenga na Ukoo wa Baba yale Mzee Terah, alikotokea huko Ur ya Mesopotamia. Akaanza maisha mapya na Sarah mkewe.
Abrahamu alikua na wanawake wengine wengi wakazaliwa jamii ya wamidiani, waisraeli kupita Yakobo, Waedomu kupitia Esau nk.

Ingawa alikua na watoto wengi kuna watoto wawili maarufu
Ishmael na Isaka.

Abrahamu Hakutaka Isaka aoe mwanamke mkanaani, akamtafutia mke kwa kaka yake Nahor
Isaka akawazaa mapacha Esau na Yakobo (Israel )

Yakobo ni Pacha wa Esau.
Esau naye akajichanganya kaoa huko, kukatokea taifa la waedomu.

Na watoto wengine wakaibua mataifa/Makabila mengine hapo kanaani.

Ni Ishmael alitoka akaenda kuanzisha mji wake. Wako wana historia wanasema ndio waarabu wa Egypt. Anyway..

Sasa utaona matukio yote yanatukia hapo kanaani. Ndio mchanganyiko wa Mataifa yote hapo. Na kulikua na Amani tele.

Yaani hao waarabu wanaojinasibisha kua ni kizazi cha Ishmael na Wale wa upande wa Isaka. Jumlisha na watoto wengine wa Abrahamu ambao hawahesabiwi kwenye kundi moja la wahebrania, ambao mzizi wao ni mmoja. Ila hawahesabiwi kama waebrania.


Essence of Migration.
Kwanza ni Lazima tukubali kila jamii duniani inahamaa kwasababu za Kibiashara, kimaisha, kiusalama, nk.
Wako watu weusi wamehamia USA kupitia Slave Trade, wako waarabu wamehamia Europe wakikimbia Vita mashariki ya Kati. Nk.
Kuhama na kuhamia sio dhambi.
Hatuwezi toa sababu za miaka zaidi ya Maelfu kua ndio msingi wa bifu la sasa pale mashariki ya kati.
Hata hao waarabu wa pale Israel wana mahali walitokea kabla ya kua pale.
Huyu nae kweli hamna kitu kabisaa , unaambiwa masuala ya asili unazungumza Ishmael , JIBU ni rahisi ndio ISHMAEL na ISAKA wote ni Waebrania kwa sababu baba yao Ibrahim alikuwa ni Muebrania, sio alijitenga alidai kuoteshwa na Mungu wake akatoka nchi yake ya ASILI yaani Mesopotamia akaenda nchi ya watu Kaanan, akazaa huko watoto akapata na wajukuu ( wakina Yakobo) sasa unakataa nini ukiambiwa Yakobo chimbuko lake ni Mesopotamia huko alikotoka babu yake Ibrahim,
Note: Kaanani ni jina la mtu alieanza kuishi hapo , hivyo hao wakina Ibrahim walipokuja walikuta Uzao wa Kanaan unaishi hapo , hivyo hao ni wahamiaji wa Mda mrefu tu hapo Israel, wala hawana asili ya hapo , ata kama Ishmael alikuja kuzaa Waarabu bado aiondoi kuwa Asili yake ni Mesopotamia , ni Kama black America ata wafanyaje asili yao ni Africa, mayahudi ASILI yao ni Mesopotamia
 
Huyu nae kweli hamna kitu kabisaa , unaambiwa masuala ya asili unazungumza Ishmael , JIBU ni rahisi ndio ISHMAEL na ISAKA wote ni Waebrania kwa sababu baba yao Ibrahim alikuwa ni Muebrania, sio alijitenga alidai kuoteshwa na Mungu wake akatoka nchi yake ya ASILI yaani Mesopotamia akaenda nchi ya watu Kaanan, akazaa huko watoto akapata na wajukuu ( wakina Yakobo) sasa unakataa nini ukiambiwa Yakobo chimbuko lake ni Mesopotamia huko alikotoka babu yake Ibrahim,
Note: Kaanani ni jina la mtu alieanza kuishi hapo , hivyo hao wakina Ibrahim walipokuja walikuta Uzao wa Kanaan unaishi hapo , hivyo hao ni wahamiaji wa Mda mrefu tu hapo Israel, wala hawana asili ya hapo , ata kama Ishmael alikuja kuzaa Waarabu bado aiondoi kuwa Asili yake ni Mesopotamia , ni Kama black America ata wafanyaje asili yao ni Africa, mayahudi ASILI yao ni Mesopotamia

Sasa bado unazidi Kuchanja mbuga zamu hii unaingia kwenye Msitu sio kichaka tena.

Kama Mungu wa Abrahamu alimwotesha Abrahamu.

Na tunajua kabisa huko Kanaan kulikua na Miungu ya Wakanaani na ndio sababu moja wapo Abraham hakupenda mwanae wa Pekee asioe Mkanaani.

Je kwanini Isiwe, Kinachopelekea Kukosekana kwa amani ni Miungu ya Wakanaani inafanya Vita na Mungu wa Abrahamu?

Miungu ya Wakanaani ndio inayojaribu kuzuia mpango wa Mungu wa Abrahamu wa kuwapa makazi, uzao wake mteule.

Maana inaonyesha hii miungu ni Halisi kabisa na ndio inayoshindana.

Kama ni ardhi, wamenyang'anywa mataifa mengi sana.

Na Vipi kuhusu Egypt, Algeria, Libya, mbona miungu ya waafrika haiendi kudai Ardhi yetu Irudishwe kwetu?.

Kwanini miungu ya nchi hizi zote inashirikiana na Miungu ya wakanaani kufanya vita na Mungu wa Abrahamu peke yake?
 
Sasa bado unazidi Kuchanja mbuga zamu hii unaingia kwenye Msitu sio kichaka tena.

Kama Mungu wa Abrahamu alimwotesha Abrahamu.

Na tunajua kabisa huko Kanaan kulikua na Miungu ya Wakanaani na ndio sababu moja wapo Abraham hakupenda mwanae wa Pekee asioe Mkanaani.

Je kwanini Isiwe, Kinachopelekea Kukosekana kwa amani ni Miungu ya Wakanaani inafanya Vita na Mungu wa Abrahamu?

Miungu ya Wakanaani ndio inayojaribu kuzuia mpango wa Mungu wa Abrahamu wa kuwapa makazi, uzao wake mteule.

Maana inaonyesha hii miungu ni Halisi kabisa na ndio inayoshindana.

Kama ni ardhi, wamenyang'anywa mataifa mengi sana.

Na Vipi kuhusu Egypt, Algeria, Libya, mbona miungu ya waafrika haiendi kudai Ardhi yetu Irudishwe kwetu?.

Kwanini miungu ya nchi hizi zote inashirikiana na Miungu ya wakanaani kufanya vita na Mungu wa Abrahamu peke yake?
Suala la Kaanani kuwa na Miungu mingine linahusika vip na ASILI ? hizo ni taratibu zao walizojipangia kuishi nazo , Wakaanani ndio wenye nchi ya Kaanani , wamisri ndio wenye nchi ya Misri, Suala la kufanya vita na Mungu wa Ibrahim liko wazi, haiwezekani mtu atoke aje kwenye nchi yenu adai kuwa eti hii nchi ondokeni Mungu amenipa mimi halafu watu wakubali upuuzi huo, ni lazima vita ipiganwe , hivyo Ibrahim na uzao wake wote ni wahamiaji kutoka Mesopotamia walioamia Kaanani kwa madai eti Mungu kawapa nchi ile ambayo ilikuwa na wenyeji, wewe rukaruka lakini utaelewa tu
 
Suala la Kaanani kuwa na Miungu mingine linahusika vip na ASILI ? hizo ni taratibu zao walizojipangia kuishi nazo , Wakaanani ndio wenye nchi ya Kaanani , wamisri ndio wenye nchi ya Misri, Suala la kufanya vita na Mungu wa Ibrahim liko wazi, haiwezekani mtu atoke aje kwenye nchi yenu adai kuwa eti hii nchi ondokeni Mungu amenipa mimi halafu watu wakubali upuuzi huo, ni lazima vita ipiganwe , hivyo Ibrahim na uzao wake wote ni wahamiaji kutoka Mesopotamia walioamia Kaanani kwa madai eti Mungu kawapa nchi ile ambayo ilikuwa na wenyeji, wewe rukaruka lakini utaelewa tu

Ndio maana nilisema tangu mwanzo umeshaingia Msituni siku nyingi.

Miungu inahusika maana kama Mungu wa Abrahamu alimuelekeza kuishi pale je miungu ya kanaani ilimtoa wapi mpaka pale. Tumekosa another side of the story
Si kweli kwasababu Hata hilo taifa la Wakanaani halikuwahi kuwepo. Katila karne ya 18C-19C na 20C. Wakati Wana wa Israeli wanapewa Palestine.na mwingereza Balfour. Palestine Ilikua ardhi isiyo na mmiliki.

Na pia kulikua na mabaki ya waisrael walioishi hapo miaka mingi iliyopita. Familia ya watu wapatao 70.

Tunajisahaulisha pia kua Waisrael walitawaliwa na mataifa mengi, ikiwemo wagiriki na warumi. Wakikanyaga kwenye ardhi hiyohiyo.

Kuondoa zama zile waisraeli walipopelekwa Utumwani Egyt kisha Babiloni, nk.

Jamii ya watu kwa miaka yote hiyo haiwezi kua hiyo hiyo. Kutokana na Migration na Kuzaliana.
Kwasasa kuna watu wengi eneo hilo, shida ya ardhi ipo.

Tukija kuhusu Abrahamu, mtoto wa Mzee Terah, alikua na vijana wawili Nahor na Abrahamu na Mjukuu wake Lutu.
Wakati anaondoka Ur ya Mesopotomia. Ilikua na Mtawala eneo hili Sumerian King.
Alipofika Kanaani alimkuta nani?.

Maana Ilipaswa Mgogoro wa ardhi uanze kipindi hicho.

One more thing, Waisraeli tunawajua, taifa la Wakanaani liko wapi?
IMG_20190429_164311.jpeg


Kanaan ndipo Israel kama Taifa lilizaliwa. Vijana 12 wa yYakobo waliunda Taifa la Israeli. Na sio Mesopotamia.

Huko nyuma kwa Abrahamu mpaka Shemu mtoto wa Noah ni mbwembwe tu.
 
Asilia yao maana yake ni nini ? ata kitabu wanachokitumia kama ngao ya kupora lile eneo kinatambua kuwa pale sio asili yao,mbona unazungumza kana kwamba umetoka usingizini, nakubaliana na wewe kuwa uingereza alichangia sana Israel kurudi pale na kuanza kuchukua maeneo ya watu waliokuwa wakiisha pale , ila hawana asili ya pale ata kidogo ila ni watu kutoka mbali tu
Wewe unamaanisha Quran inasema asili ya waisrael Ni wapi???? Haha chuki
 
Nimeshakuambia kwenye maelezo yangu vizuri kabisa , kuwa ata hivyo vitabu ambavyo wayahudi wanadai kuwa ndio uhalali wa wao kuwa ndio wenye asili ya eneo hilo ni uongo, mimi nakubali kuwa ni kweli asili ya wayahudi ni mashariki ya kati ila SIO ISRAEL, fahamu hili kwanza ata biblia inatambua kuwa hiyo Israel ilikuwa na wenyeji wake kama wayabusi na waamori hili hakuna haja la kulieleza linafahamika ,ukweli ni kwamba waisrael pale Israel sio kwao kwa asili, ndio maana magomvi hayaishi maana mvamizi nae anajitia uenyeji
Tusaidie utuoneshe ISRAEL iko wapi
 
Nimeshakuambia kwenye maelezo yangu vizuri kabisa , kuwa ata hivyo vitabu ambavyo wayahudi wanadai kuwa ndio uhalali wa wao kuwa ndio wenye asili ya eneo hilo ni uongo, mimi nakubali kuwa ni kweli asili ya wayahudi ni mashariki ya kati ila SIO ISRAEL, fahamu hili kwanza ata biblia inatambua kuwa hiyo Israel ilikuwa na wenyeji wake kama wayabusi na waamori hili hakuna haja la kulieleza linafahamika ,ukweli ni kwamba waisrael pale Israel sio kwao kwa asili, ndio maana magomvi hayaishi maana mvamizi nae anajitia uenyeji
Ibrahim alipanunua pale kwa ajili ya kizazi chake kama MUNGU wake alivyokamuahidi. Rejea tu namna USA walivyoipa Alaska na Alaska leo ni sehemu ya USA
 
Ndio maana nilisema tangu mwanzo umeshaingia Msituni siku nyingi.

Miungu inahusika maana kama Mungu wa Abrahamu alimuelekeza kuishi pale je miungu ya kanaani ilimtoa wapi mpaka pale. Tumekosa another side of the story
Si kweli kwasababu Hata hilo taifa la Wakanaani halikuwahi kuwepo. Katila karne ya 18C-19C na 20C. Wakati Wana wa Israeli wanapewa Palestine.na mwingereza Balfour. Palestine Ilikua ardhi isiyo na mmiliki.

Na pia kulikua na mabaki ya waisrael walioishi hapo miaka mingi iliyopita. Familia ya watu wapatao 70.

Tunajisahaulisha pia kua Waisrael walitawaliwa na mataifa mengi, ikiwemo wagiriki na warumi. Wakikanyaga kwenye ardhi hiyohiyo.

Kuondoa zama zile waisraeli walipopelekwa Utumwani Egyt kisha Babiloni, nk.

Jamii ya watu kwa miaka yote hiyo haiwezi kua hiyo hiyo. Kutokana na Migration na Kuzaliana.
Kwasasa kuna watu wengi eneo hilo, shida ya ardhi ipo.

Tukija kuhusu Abrahamu, mtoto wa Mzee Terah, alikua na vijana wawili Nahor na Abrahamu na Mjukuu wake Lutu.
Wakati anaondoka Ur ya Mesopotomia. Ilikua na Mtawala eneo hili Sumerian King.
Alipofika Kanaani alimkuta nani?.

Maana Ilipaswa Mgogoro wa ardhi uanze kipindi hicho.

One more thing, Waisraeli tunawajua, taifa la Wakanaani liko wapi?
View attachment 1084030

Kanaan ndipo Israel kama Taifa lilizaliwa. Vijana 12 wa yYakobo waliunda Taifa la Israeli. Na sio Mesopotamia.

Huko nyuma kwa Abrahamu mpaka Shemu mtoto wa Noah ni mbwembwe tu.
Naona unajitoa ufahamu sana, Kaanani ilikua nchi ya wakaanani kabla huyo unaemuita Israel hajazaliwa, hivyo Ibrahim alipokuja pale Kaanani alikuta watu pale ambao ni uzao wa kaanani hivi unakwama wapi wewe !! Suala la kuabudu masanamu hizo ni taratibu zao wala hazikuhusu,sasa kuabudu kwao masanamu ndio utumie kama kinga kupora nchi yao ? Ibrahim ni muamiaji kaanani , na uzao wote wa Ibrahim kwa maana ya Isaka ,Yakobo na watoto wake ni wahamiaji waliohodhi nchi ya wakaanani kwa hoja dhaifu eti wamepewa na Mungu
 
Back
Top Bottom