HOST NOT FOUND
JF-Expert Member
- Dec 30, 2023
- 1,125
- 3,352
Kwenu wana JF
"We kumbe unacheza na Wayahudi ww. Labda Netanyahu ndio ampeleke Trump kuzimu lakini sio Trump kumpeleka Netanyahu kuzimu. Hv unajua kua wale Wayahudi waishio Marekani🇺🇸 ndio waliomuwezesha Trump kurud madarakani na kua hayo wameyafanya kwa maslahi yao?
Hv unajua kua wale mabwenyenye wa Kiyahudi waishio Marekani🇺🇸 kua wao ndio hua wanaiendesha Marekani🇺🇸 vile wapendavyo wao? Sasa nikuambie tu kua wale mabwenyenye wa kiyahudi kule America🇺🇸 kwa kupitia zime media zao kubwakubwa wao ndio wanamuweka kiongozi wa America yule wampendae kwa kumpigia debe na hayo hua wanayafanya kwa maslahiyao na hata Trump mwenyewe hilo analijua kwa hiyo Trump hawezi kwenda kinyume na mabwana zake ambao ndio waliomrudisha madarakani.
Na ndio mana nikuambia kua Marekani🇺🇸 haina ujanja mbele ya Israel🇮🇱 kwa sababu Israe 🇮🇱 ina watu wazito kule America mpaaka ndani ya serikali yenyewe na wengine walishawahi kushika mpaka nafasi kubwakubwa serikalini, lakini America haina watu wazito ndani ya serikali ya Israel. Na Trump akitaka asiimalize vzr hii miaka yake iliyobaki madarakani, hebu na aende kunyume na matakwa ya wale mabwenyenye wa Kiyahudi kule America.
Kwanza ukitaka kuchunguza sana utagundua kua tangu mwanzo Trump hakua na nia kabisa ya kuishambulia Iran🇮🇷. Lakini aliingia tu vitani bila hata ya yy mwenyewe kupenda na ilikua ni kwa shinikizo tu la Wayahudi wenyewe na nikutokana na yale matamshi ya mara kwa mara ya viongozi wa Iran kua wanataka kuingamiza Israel. Maneno yale Wayahudi wenyewe hawakuyapuuza na ndio yaliyosababisha hv vita."
"We kumbe unacheza na Wayahudi ww. Labda Netanyahu ndio ampeleke Trump kuzimu lakini sio Trump kumpeleka Netanyahu kuzimu. Hv unajua kua wale Wayahudi waishio Marekani🇺🇸 ndio waliomuwezesha Trump kurud madarakani na kua hayo wameyafanya kwa maslahi yao?
Hv unajua kua wale mabwenyenye wa Kiyahudi waishio Marekani🇺🇸 kua wao ndio hua wanaiendesha Marekani🇺🇸 vile wapendavyo wao? Sasa nikuambie tu kua wale mabwenyenye wa kiyahudi kule America🇺🇸 kwa kupitia zime media zao kubwakubwa wao ndio wanamuweka kiongozi wa America yule wampendae kwa kumpigia debe na hayo hua wanayafanya kwa maslahiyao na hata Trump mwenyewe hilo analijua kwa hiyo Trump hawezi kwenda kinyume na mabwana zake ambao ndio waliomrudisha madarakani.
Na ndio mana nikuambia kua Marekani🇺🇸 haina ujanja mbele ya Israel🇮🇱 kwa sababu Israe 🇮🇱 ina watu wazito kule America mpaaka ndani ya serikali yenyewe na wengine walishawahi kushika mpaka nafasi kubwakubwa serikalini, lakini America haina watu wazito ndani ya serikali ya Israel. Na Trump akitaka asiimalize vzr hii miaka yake iliyobaki madarakani, hebu na aende kunyume na matakwa ya wale mabwenyenye wa Kiyahudi kule America.
Kwanza ukitaka kuchunguza sana utagundua kua tangu mwanzo Trump hakua na nia kabisa ya kuishambulia Iran🇮🇷. Lakini aliingia tu vitani bila hata ya yy mwenyewe kupenda na ilikua ni kwa shinikizo tu la Wayahudi wenyewe na nikutokana na yale matamshi ya mara kwa mara ya viongozi wa Iran kua wanataka kuingamiza Israel. Maneno yale Wayahudi wenyewe hawakuyapuuza na ndio yaliyosababisha hv vita."