Hapa tunaongelea asili. .na sio uraia ..kwani unapo ambiwa Barack obama ana asili ya kenya. Ni raia wa kenya !?..., kuwa raia wa nchi/taifa fulani halihitaji mtu/watu huyo/hao kuwa wazaliwa wataifa hilo ".... ndio maana waona Justin Bieber ni mmarekani as raia lakini ana asili ya canada ".... mfano huo pia una apply kwa Jacobo
1. Barack Obama ana Mama Mwamerika na Baba Mkenya. Na ni uzao wa Kwanza yaani First Generarion F1.
Mfano mwingine ni huu ---,Akon R&B singer raia wa marekani aliondoka senegal na kwenda marekani kani akiwa na umri wa miaka 7, baada ya hapo akalelewa na kukua marekani na kuwa raia wa nchi hiyo (USA),... Lakini sasa hivi ana watoto ambao alio wazaa marekani na wana wake tofauti toka nchini humo (USA) watoto hao wana mtambua baba yake akon kuwa ni babu yao " Baba yake Akon ana asili ya Senegal "
Swali lina kuja kwako sasa hawa watoto wa Akon watakuwa ni raia wa USA wenye asili ya wapi !!?
Watoto wa Akon, watakua na Asili Mbili ya America na Senegali.
Turudi Kwenye Case ya wana wa Israel. Kutoka Canaan na Mesopotamia hapana umbali wa Kitisha sana.
Kijiografia, Kanaani inahusisha Upande wa Kaskazini Magharibi wa Jordan, Lebanon, eneo lote la Israel,na maeneo ya magharibi ya Syria.
Kwa ufupi yanaitwa Phoenicia.
Mesopotamia.
Mesopotamia and Canaan were more closely related to each other kwa lugha, Miungu, na vitu vingi
Abraham, Isaac, Jacob ni idadi ya Vizazi 3 vimepita. Muda unatosha kabisa kumpa mtu Uraia, by Birth na By mababu zake waliozikwa hapo na mifupa yao.
Ni muda unatosha kutambua Asili ya MTU katika Eneo analoishi.
Wana wa Israel ambao ndio wana Nguruma leo.asili yao ni Pale Canaan.
Abraham alizaa watoto wengi na Mataifa Mengi sana. Wengine walichanganyika na wakanaani hivyo kufanya damu yake kusambaa na hivyo kumtumia kama msingi wa Asili ya Vitukuu vyake, inakua haina maana tena.
Maana katika vizazi Vitatu, lazima kuna waliochanganyika na wakanaani na kufanya ku trace asili ya uzao wake kua complicated.
Ila UZao wa Israel unaweza kuu trace kuanzia kwa Jacob ambaye ndiye Israel mwenyewe. Kutoka kwa watoto wake wa wakeze wawili na wale Concubines wawili. Aliozaa nao.