Ndio Ibrahim hakuwa Muisrael lakini ahadi ya kupewa kizazi chake nchi ilianzia kwake , unapomzungumzia Israel maana yake ni Yakobo mjukuu wa Ibrahim , muhamiaji pale kaanan, suala la wakaanani kupotea hiyo haiondoi kuwa ndio wenye asili ya kaanan, wengine ni wahamiaji, hivi unakwama wapi
Kuna vitu vingine unatakiwa ujiongeze wewe Mwenyewe.
Watu huama sehemu moja kwenda nyingine kwa nia ya kutafuta Maji, Chakula, na Usalama wake, mali na chakula cha mifugo yake,
Huku Afrika kuna makabila ya Nomads kama Maasai, kule Arabuni wanaitwa wabedui (Beduins). Wote hawa hamahama na wanyama wao
So Hii hata bila kuambia ni Mungu kamwelekeza Abrahamu kuhamia pale Kanaani, unaweza kujiongeza mwenyewe kua eneo hili lilikua lina sifa za mtu wengine kutamani kuhamia hapo na kuishi.
Ikumbukwe, Hata Israel alipohamia Misri, alipelekwa na sababu kama hizo. Hata angesema Mungu kamuagiza aende huko misri, isingeleta athari sana kwasababu factors nyingine zinatosha ku influence hatua gani ya kufuata. Nchi ina njaa ya kufa mtu. Unaishije sasa?. Lazima uhame.
Na Waliporudi wakitokea Egypt walikua wanarudi kwenye nchi walioambiwa ni ya Maziwa na Asali. Na walikuta watu wa huko wana maumbile makubwa, wako vizuri kuonyesha ni nchi yenyw Chakula cha kutosha.
Kwahiyo the whole point hapa ni Surviving.
There are Three Human basic needs.
1. Food
2. Shelter
3. Clothes
.
.
4. Sex
Additionally.
Ukisoma Legends utaona kua hata jamii ya Abraham walikua na Utamaduni wa kuua Mtoto wa Kwanza ili kumtoa Sadaka kwa Miungu.
Kitendo cha kutomuua Isaka ndio kilihitimisha rasmi vitendo vya mauaji ya uzao wa kwanza kwenye makabila yao. Lakini kimaandiko tunasoma ni Mungu aliingilia kati.
Kwasababu hizo, Tulihitaji Legends za wakanaani watakaosema Upande wa pili wa Shilingi na Baba yao Kanaan. Kuhusu Kuvamiwa na Abraham katika Ardhi yao.
Lakini mpaka tunakwenda Mitamboni wana wa Israel ndio warithi wa ardhi ya Kanaani hata leo.