Bado sijaona Jibu la swali uliloulizwa" ...umeambiwa kuwa Yacobo hana asili ya Israel ..bali ana asili ya Mesopotamia ambako ndio anapo toka babu yake Abraham ....so ulipaswa kutoa reference ambayo inapinga kuwa yacobo sio m-Mesopotamia...
Unataka kutuambia kuwa asili yako uliyo nayo inaanzia kwa baba yako na sio kwa babu yako" kwa hiyo jina la tatu mwenzetu haulitumii !?
Israel ni Uzao Mpya wenye jina Jipya "ISra -El."
Jina hili lilizaliwa Rasmi hapo KANAAN.
Inahitaji uzao wa Tatu 3rd Generatiom kurudi Nyuma ili kupata Uzao wa Abrahamu.
Pia Tujifunze kutenganisha kati ya Yakobo na Israel.
Hatuna Uzao wa Yakobo bali Wana wa Israeli.
Israel ni mission Mpya ama harakati mpya kabisa, Jacob is past tence.
Abraham ni uzao wa Kanaani.
Abramu ndio uzao wa Mesopotamia.
Vivyo hivyo, Sarai ni uzao wa Mesopotamia. Wakati Sarah ni Uzao wa Kanaani.
Hapa utaona Abrahamu na Mkewe wamekua Reborn. Na majina yao yakabadilishwa. Wamekula yamini.
WaMesopotamia, hawawajui WaIsraeli. Kule wanaonekana ni wageni kama wengine. Hawa WAISRA-EL walikua wanatahiriwa wanatolewa Magovi. Wamesopotamia Wanatofautiana sana na waIsraeli.
Nilieleza tangu mwanzo ukija na stori za kurudi nyuma kwa baba yake na Abramu kisha Tutaenda Mpaka kwa Shemu mtoto Nuhu na mwishowe tutafika kwa Adamu asili yake. Which is Pointless.
Tuanze kujua Waisrael wana asili ya Wapi. Jibu liko wazi. Sio kulazimisha kua sijui kizazi cha Tatu kilihamia. This is pointless.
Nasema ni pointless kwasababu hata huyo Kanaani kuna sehemu alianzia kabla ya kuishi hapo.
Naye ni sehemu ya uzao wa watoto wa Nuhu. Lazima alipotoka kwenye Safina kuna mahali alitoka akaenda hapo Kanaani. Alihama kama wengine.. Na inawezekana ku-trace kizazi chao na asili ya babu zake.