Mokaze
JF-Expert Member
- Aug 3, 2018
- 14,370
- 14,956
Kila mahali utasikia neno SAITA,SAYUU,BARAGAHE,DERO, SHIDIKAH kariri hayo maneno ni comon kwa dongobesh
Akariri bila kujua maana yake??-- kama ni matusi!!!?
Kila mahali utasikia neno SAITA,SAYUU,BARAGAHE,DERO, SHIDIKAH kariri hayo maneno ni comon kwa dongobesh
PasikiiKaribu sana
Kuna guests nzuri Sunshine na nyingine jirani na Torokauje bei 20000Tsh safi kabisa .Kuku choma Torokauje watam balaa.ITM 1 km from mjini bank NMB na CRDB ..Mpesa ulizia kwa Maziku hapo pia kuna Min supermarket
Vi grosari vya kutosha utakutana na Waarabu wa Dubai na WaEthiopia(wairaqw)...ni kamji katulivu hakuna Kufuatana fuatana bia 24hrs ....wenyeji Wachangamfu sana....pombe kali jamii ya Viroba kwa wingi usishangae kukuta warembo wakipiga hayo makitu...
Mayai ya kienyeji sh 300 moko...kuku wa kienyeji kibao bei nafuu kabisa...mahindi ya kuchoma maharage mabichi msimu mzima.....karoti bora barani Afrika kutoka Tumati
Nenda Mkuu hutajutia.....kuna mrembo anaittwa Pasikii ana kigrosari mtaa wa Mchagaa mchoma nyama maarufu....ukimwona mpe salamu
Ukifika huko usikose kutembelea mnada wa DIRIMU
10 Mwanangu, wenye dhambi wakikushawishi, Wewe usikubali.Umeambiwa beba condom....nasisitiza beba nyingi kama we ni mtu wa totoz
10 Mwanangu, wenye dhambi wakikushawishi, Wewe usikubali.Mtu anaulizia mambo mengine nyie mnamuelekeza mambo ya madem, wabongo ni watu wabadi sana.
10 Mwanangu, wenye dhambi wakikushawishi, Wewe usikubali.Kuna tatizo la magonjwa ya ngono kuwa makini sana,
Kama wewe ni mpenzi wa masikio ya mbuzi na marefu andika umeumia, wanayafyeka!Wakuu habari za mapumziko ya mwisho wa juma? Na kwaresima na Ramadhan zenu natumai zinakwenda swadakta.
Kwa uweza wa Mungu kesho nitakuwa safarini kuelekea Dongobesh wilayani Mbulu. Kwa yeyote mwenye uzoefu na mahali hapo anaweza shea humu mazuri na mabaya ya hapo.
Nitakuwa hapo kwa mwezi mmoja kikazi. Nawasilisha na ahsanteni sana.
Dah....umenikumbusha mbali sana ..MULBADAW ... nlienda mwaka wa 2000 .... sikupita tena ile njia cjui Leo pakojePitia njia ya Katesh, Mogitu mpaka Sechet (mashamba ya ngano) halafu uende Dongobesh. Madunga, Mang'ola, Dareda Mission, Basodesh, Mbulu, Karatu ni maeneo ya karibu. Unaweza kupitia pia Magugu-Mbuyu wa Mjerumani, Ziwa Manyara-Ukingo, mlima Magara mpaka Mbulu, Basodesh then Dongobesh. Unaweza kupitia Makuyuni Mto wa Mbu, Rotia, Karatu, Mbulu, Basodesh, Madunga then Dongobesh.
Karatu pia ipo karibu sana kwa bata za kiaina.
Maeneo yangu origin pendwa hayo ingawa kwa sasa napambana kimaisha katika mitaa ya Skid Row karibu na West Holiwoody (kambi popote).
Halafu usisahau kutembelea mashamba ya ngano ya Mulbadaw, Murijanda, Gidagamowd, Gawali,Basuto nk.
Sent from my CPH2127 using JamiiForums mobile app
Unamaanisha shule ya sekondari ya wasichana?Kaka balang'dalalu bado ipo?
Kabisa mkuu. ..watu wanawaza znz,pemba,Tanga,mombasa wkt kuna maeneo mengi mazuri but not famous,TZ nzuri sn ilakuna maeneo hayana promoMkuu wasalimie huko Mzizima na pale Ilala kiwanda cha Ugimbi....
Nimemuonesha mke wangu hii sms kanitukana kwa hasira ahahahahSura wamejaaliwa Ila miguu spoku
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Watu wa Sparrow...redstone...nyama kwa Selle ...chimbo kule Gongali kwa Meriiiimadeshideshi mmetisha sana....
Ni muiraqwi?Nimemuonesha mke wangu hii sms kanitukana kwa hasira ahahahah
- Iwapo ni mara ya kwanza kufika | Ni vyema ukaingia Dongobesh Asubuhi, badala ya Jioni.
- Lala BABATI, then kesho yake chukua gari ya kwanza inayoenda Hydom na utashuka Dongobesh.
YeahUnamaanisha shule ya sekondari ya wasichana?
Hivi huko kote ni lami tupu?Hii ndio sahihi kabisa
Mimi nilifanya hvyo nilipokua naenda mbulu
Hali ya hewa nzuri, kuna kaubaridi kidogo, kama umetoka sehemu ya joto andaa nguo nzito kidogo
Kuna matope mvua ikinyesha
Kimbulu ndio lugha kuu hata hospitali ukifika au masokoni, unaweza ukawa discussion wakidiscus kwa kimbulu
Wanapenda sana kusoma ,hasa biology na chemistry
Kwakipindi hiki asilimia kubwa watu wapo mashambani , wanalima sana mahindi na maharage,
Pale kwa upande wa siasa HATA WATOTO NA WANAWAKE wanafuatilia sana siasa ukifika kutana na mzee yeyote piga nae story za siasa utajua kweli kuna watu wanajua mambo
Muda wote hata mchana wanaume wanavaa shuka, huo ni mtoko kabisa, pia mara nyingi huvaa bukta zile za shule ya msingi zikiwa na viraka( SIO UMASIKINI) ila ni tamaduni ya jamii hiyo. Tena hivyo viraka vinashonwa na uzi kwakutumia mkono na vinabandikwa kwa nje ( INGAWA SIO WOTE WAPO HIVYO) Na huenda wakawa wanabadilika kutokana na majira
Nguruwe zinafugwa kwa wingi mno
Sio wapenda usafi. Kula yao ,vaa yao, sio watu wakujipenda sana
Miswaki mara nyingi huwa niya miti(SIO KWAMBA MADUKANI HAKUNA ILA NI MAZOEA) ingawa sio wote
Rangi ya udongo ni udongo mwekundu.
Usafiri upo ila mtapangwa kama magunia ya mchele, kama kuna watu wanajua kupanga watu kama viroba vya mizigo utawakuta huko, labda kama unausafiri wako binafsi
Kila mahali utasikia neno SAITA,SAYUU,BARAGAHE,DERO, SHIDIKAH kariri hayo maneno ni comon kwa dongobesh
Ahsante
Watu wanawasifia wanawake wa huko kwamba ni wazuri sana ila mi nimeishi nao nimewaona wa kawaida tu.
Mwezi watano nina kazi kama ya wiki Babati na Siku tatu Mbulu, hasa Mbulu nilitaka kujua wana Lodge nzuri ? vip usafiri mzuri (Dar to Babati) ni wa mabasi gani.