Kunguru wa Unguja
JF-Expert Member
- Aug 18, 2021
- 1,858
- 1,923
Kwa hy umekuja kutusema hapaSura wamejaaliwa Ila miguu spoku
Kwa hy umekuja kutusema hapaSura wamejaaliwa Ila miguu spoku
Nguvu inaonekana wewe ni mwenyeji wa ManyaraKama unatokea Karatu ukifika mbulu piga picha nione palivyobadilika, na kama unatokea babati ukifika dareda usisahau picha mkuu
Acha kupotosha watu inawezekana wewe ndo ulipeleka hy gono kuleNakazia hii comment
Kuna sehemu hana gono TanzaniaKuna tatizo la magonjwa ya ngono kuwa makini sana,
Nilipita huko 1998, mziki wa kutoka mto wa mbu hadi ufike Dongobesh enzi hizo ilikuwa balaa, gari moja tu sunvic(sabena). Sasa pita kipindi cha mvua ndio utaelewa show, kutumia siku4 njiani ni ishu ya kawaida sanaNguvu inaonekana wewe ni mwenyeji wa Manyara
Wewe kwenu si unguja! Samahani mkuu natania tu,Kwa hy umekuja kutusema hapa
Bado inapiga kazi kama kawaidaYeah
Tanzania imebarikiwa....mwanzo kabla sijafika Kigoma niliifikiria vìngine kabisa...dah kuingia kigoma nilipigwa butwaaa bonge la Landscape kijani kijani beautiful Lake view kama upo CaribbeanKabisa mkuu. ..watu wanawaza znz,pemba,Tanga,mombasa wkt kuna maeneo mengi mazuri but not famous,TZ nzuri sn ilakuna maeneo hayana promo
Hydom kwa Dr wolson enzi zile yupo hai nilitimba, Ulishawahi msikia jamaa alikuwa sijui kamishna wa elimu anaitwa Alexander Ndeki? AlidediNguvu inaonekana wewe ni mwenyeji wa Manyara
Ndeki nilimsikia lakn ckupata kumfuatilia sanaaHydom kwa Dr wolson enzi zile yupo hai nilitimba, Ulishawahi msikia jamaa alikuwa sijui kamishna wa elimu anaitwa Alexander Ndeki? Alidedi
Na Dr Ndeki wa CEDHA Arusha chuo pale Sanawari ?Hydom kwa Dr wolson enzi zile yupo hai nilitimba, Ulishawahi msikia jamaa alikuwa sijui kamishna wa elimu anaitwa Alexander Ndeki? Alidedi
Hahaha naona umekariri sanaa hy salamuWewe kwenu si unguja! Samahani mkuu natania tu,
Saitaa Saiyuu
Haidomaa Haidorii
Ok, alikuwa na maakili balaa, alidedi ghafla wakamzika huko Dongobesh, huku dar alikuwa akiishi masaki basi mkewe wakamtimua fasta kwenye nyumba za serikali kabla Ben hajaziuzaNdeki nilimsikia lakn ckupata kumfuatilia sanaa
Atari sanaaNilipita huko 1998, mziki wa kutoka mto wa mbu hadi ufike Dongobesh enzi hizo ilikuwa balaa, gari moja tu sunvic(sabena). Sasa pita kipindi cha mvua ndio utaelewa show, kutumia siku4 njiani ni ishu ya kawaida sana
Acha kutishia weweHuko ndio asili nyumbani asili yangu, waarab kama wazungu nusu, kama waethiopia, kuwa makini sana ni warembo mno, ukikosea kuchukua mke au demu wa mtu ukirudi na roho yako au moyo wako omba Mungu, kuwa makini sana, fanya yaliyokupeleka, ukiona warembo sana angalia tu, maana kuna mtu nyuma yake, wanapiga hao watu, nakushauri tena, fanya yaliyokupeleka. Haya, naamini umenisikia
Akariri bila kujua maana yake??-- kama ni matusi!!!?
Mwezi huu, ila bila hivo ningekupa maelekezo ya chimbo moja hivi la watoto wazuri. Na ukifika pale ukisema mie jamaa ake na mwarabu wa gari za mchele basi ungepokelewa kama mfalme.
Unapenda sana makalio?
Hivi huko kote ni lami tupu?
Pasikii. Kweli dunia kijijiKaribu sana
Kuna guests nzuri Sunshine na nyingine jirani na Torokauje bei 20000Tsh safi kabisa .Kuku choma Torokauje watam balaa.ITM 1 km from mjini bank NMB na CRDB ..Mpesa ulizia kwa Maziku hapo pia kuna Min supermarket
Vi grosari vya kutosha utakutana na Waarabu wa Dubai na WaEthiopia(wairaqw)...ni kamji katulivu hakuna Kufuatana fuatana bia 24hrs ....wenyeji Wachangamfu sana....pombe kali jamii ya Viroba kwa wingi usishangae kukuta warembo wakipiga hayo makitu...
Mayai ya kienyeji sh 300 moko...kuku wa kienyeji kibao bei nafuu kabisa...mahindi ya kuchoma maharage mabichi msimu mzima.....karoti bora barani Afrika kutoka Tumati
Nenda Mkuu hutajutia.....kuna mrembo anaittwa Pasikii ana kigrosari mtaa wa Mchagaa mchoma nyama maarufu....ukimwona mpe salamu
Ukifika huko usikose kutembelea mnada wa DIRIMU