qinglong
Senior Member
- Mar 23, 2017
- 153
- 391
Mkuu, Makonda hajashitakiwa bado ila mawakili wameomba mahakama ili waweze kumshitaki Makonda.HABARI Aliyewahi kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,Paul Makonda amefunguliwa kesi ya jinai Mahakamani akituhumiwa kwa mambo mbalimbali ikiwemo matumizi mabaya ya madaraka ikiwemo suala la kuvamia kituo cha televisheni cha Clouds Media, Machi 17 mwaka 2017
Kesi dhidi ya Makonda imewasilishwa Mahakamani na Mawakili wa Kujitegemea na inatarajiwa kuanza kusikilizwa Desemba 3 mwaka huu
NIPASHE
Kwa hiyo Desemba tatu wanaenda kusikiliza application ya kuomba kumshitaki Makonda....ikikubaliwa ndo wataweza kumshtaki.