Sababu muhimu zinazoifanya hii kuwa Nyumba ya gharama nafuu zaidi ya vyumba vitatu

Black Thought

Senior Member
Feb 25, 2015
160
406
Habari wakuu.

Inajulikana Wengi kwenye kujenga tunahofia gharama kubwa za ujenzi.
Sasa hapa nimewaletea design ya nyumba ya vyumba vitatu, jiko, dining na sebule ya gharama nafuu.

Kinachoifanya design hii kuwa ya gharama nafuu ni sababu hizi kuu tatu muhimu

1. Ina floor area (BuiltUp area= 83.3sqm) ndogo sana huku ikiwa na vyumba vya ukubwa wa kawaida kabisa. Kilichofanya kupungua kwa eneo ni kutumika kwa korido kuwa dining, na kupunguzwa kwa korido kiujumla.

Hii ndio sababu kubwa zaidi kwasababu Kwa wastani nyumba ya vyumba vitatu huwa na floor area ya 100sqm (inaweza pungua au kuongezeka). Na kitaalamu (kwa mujibu wa CRB) sqm moja ina gharimu kati ya Tsh 400,000 mpk Tsh 600,000.

2. Haina kona nyingi.
Bati lake lina zile kona nne za lazima na kwa “design” imewekwa “gable” ndogo mbele ili kuipa mvuto tu kwa mbele.
Kumbuka kadri unavyoongeza kona ndivyo unavoongeza
1>idadi ya bati zinatakazo katwa na kutupwa na
ii> pia unaongeza kofia (Hip) na
iii> Unaongeza mifereji (valleys) itakayohitaji

3. Vyoo vipo upande mmoja.
Hivo utahitaji bomba chache (kama mbili tu) kuyafikisha maji taka kwenye mashimo. Pia hautahitaji kuongeza chemba (maholes) kwaajili ya kuunganisha mabomba

Nimeweka idadi ya tofali za msingi = 938 kwa kozi sita
Tofali za juu/boma … = 1,643 kwa kozi (10+3)
Na bati =59pc
Kwenye ramani lakini ukihitaji mchanganuo kamili unaweza kutucheki whatsapp kwa 0717682856
099180B8-77DF-48FE-8037-78A7DC3AE896.jpeg
7E2A9055-FED6-41B6-B822-C67D840E0040.jpeg
 
Habari wakuu.
Inajulikana Wengi kwenye kujenga tunahofia gharama kubwa za ujenzi.
Sasa hapa nimewaletea design ya nyumba ya vyumba vitatu, jiko, dining na sebule ya gharama nafuu.

Kinachoifanya design hii kuwa ya gharama nafuu ni sababu hizi kuu tatu muhimu
1. Ina floor area (BuiltUp area= 83.3sqm) ndogo sana huku ikiwa na vyumba vya ukubwa wa kawaida kabisa. Kilichofanya kupungua kwa eneo ni kutumika kwa korido kuwa dining, na kupunguzwa kwa korido kiujumla.
Hii ndio sababu kubwa zaidi kwasababu Kwa wastani nyumba ya vyumba vitatu huwa na floor area ya 100sqm (inaweza pungua au kuongezeka). Na kitaalamu (kwa mujibu wa CRB) sqm moja ina gharimu kati ya Tsh 400,000 mpk Tsh 600,000.


Kwenye ramani lakini ukihitaji mchanganuo kamili unaweza kutucheki whatsapp kwa 0717682856
Kwa mchanganuo huo uko sahihi itapunguza gharama.
 
Hiyo mbona kama haijakaa poa kwenye kwichi kwichi kwa wazazi kama mpo na familia ya watoto comfortability nahisi kama inapotea hivi.
well said. ramani nyingi sana watu wanasahau hili jambo la privacy kwa wanandoa kugegedana. wanataka watoto wasikie mama yao anavyo pelekewa pumzi ya moto 🤣🤣🤣 mwisho wamuulize mama ulikuwa unalia nini chumbani.
master bedroom kushare ukuta na sitting room ni kosa kubwa sana. ata siku za wikend junior kaamka mapema anacheza sebuleni na kuanagalia catoon zake basi na wewe mzazi unaamshwa wakati ulitaka kupumzika.

another thing, master bedroom window ina face balcony ya entrance kweli:oops:
jamaa apangilie upya vyumba hivyo
 
sasa kipaumbelee ni cost tuu alafu for 20 plus years naishi kwa bugudha na kero? dont make sense
So kipaumbele chako ni kwichickwich tu kwa hiyo 20+years.
Bytheway nimesema upo sahihi based on your interests,
na ukiona vp post unayoona ipo sahihi af nikupe kasoro zake, coz hiyo unayokosoa wewe sio technical error, na hapo isitoshe pia master haishei/partition ukuta na chumba kingine chochote
 
So kipaumbele chako ni kwichickwich tu kwa hiyo 20+years.
Bytheway nimesema upo sahihi based on your interests,
na ukiona vp post unayoona ipo sahihi af nikupe kasoro zake, coz hiyo unayokosoa wewe sio technical error, na hapo isitoshe pia master haishei/partition ukuta na chumba kingine chochote
Sasa tunaoa ili iweje mzeya?
Hiyo master sii ina share ukuta na sitting.
 
Sasa tunaoa ili iweje mzeya?
Hiyo master sii ina share ukuta na sitting.
So boss wewe unaoa ili kukwichikwichi tuu, yani hicho ndio kipaumbele chako kwenye kuoa😁. Nafikiri hiyo haiwezi kuwa topic kwasasa tutakesha kudiscuss nje ya hoja.
Nasisitiza kila mtu na interest zake kuna wanao taka master ikae nyuma kwaajili ya privacy na kuna wanaotaka master ikae mbele kwaajili ya security (aone parking) etc.
Kila design ina story behind, hatutamaliza hii, tudiscuss tu vitu vya maana.
Mfano cheki kama huyu👇🏾Anataka Master isishee ukuta na chumba kingine, mtu anapoingia ndani asipite direct sebuleni wala jikoni, etc
sasa hapo kama hela yako yakuungaunga huo ukubwa wa jengo utachukua miaka kukamilisha
F007D3F4-F858-4B74-BDF1-128753506715.png
 
So boss wewe unaoa ili kukwichikwichi tuu, yani hicho ndio kipaumbele chako kwenye kuoa😁. Nafikiri hiyo haiwezi kuwa topic kwasasa tutakesha kudiscuss nje ya hoja.
Nasisitiza kila mtu na interest zake kuna wanao taka master ikae nyuma kwaajili ya privacy na kuna wanaotaka master ikae mbele kwaajili ya security (aone parking) etc.
Kila design ina story behind, hatutamaliza hii, tudiscuss tu vitu vya maana.
Mfano cheki kama huyu👇🏾Anataka Master isishee ukuta na chumba kingine, mtu anapoingia ndani asipite direct sebuleni wala jikoni, etc
sasa hapo kama hela yako yakuungaunga huo ukubwa wa jengo utachukua miaka kukamilisha
Hii kwa mie ndio mukide👍
Kwa sasa nataka two bedrom house
 
So kipaumbele chako ni kwichickwich tu kwa hiyo 20+years.
Bytheway nimesema upo sahihi based on your interests,
na ukiona vp post unayoona ipo sahihi af nikupe kasoro zake, coz hiyo unayokosoa wewe sio technical error, na hapo isitoshe pia master haishei/partition ukuta na chumba kingine chochote
Achana na hawa watu wa dizaini hii. Wala usijibizane nao. 24H, 7 Days, wao wanawaza ngono tu. Wakiona nyumba tayari mawazo yameshawatuma kwenye ngono. Wakiona mwanamke hivyo hivyo. Kuna watu kibao watakaotaka kujenga nyumba ya aina hii. BTW uswahilini nyumba moja inaishi familia hata tano, na kila familia ina room yake, mbona hawalalamiki ujinga kama huu!
 
Achana na hawa watu wa dizaini hii. Wala usijibizane nao. 24H, 7 Days, wao wanawaza ngono tu. Wakiona nyumba tayari mawazo yameshawatuma kwenye ngono. Wakiona mwanamke hivyo hivyo. Kuna watu kibao watakaotaka kujenga nyumba ya aina hii. BTW uswahilini nyumba moja inaishi familia hata tano, na kila familia ina room yake, mbona hawalalamiki ujinga kama huu!
Hii inachangiwa kwa kiasi kikubwa na kukosa kazi za kufanya au mawazo yaliyodumaa. Kuna vijana wanadhani kwamba kwa sababu ngono kwao ni kipaumbele basi Kila mtu naye ni hvyo hivyo which is totally wrong. Itachukua miaka kuondoa hizi negativity na mambo ya kupangiana.
 
Mbona mkuu huja sema Kwa Hiyo ramani itagharimu milioni ngapi Hadi Hiyo nyumba imalizike kabisa na familia kuhamia, maana sio wote ma engineers
 
Habari wakuu.

Inajulikana Wengi kwenye kujenga tunahofia gharama kubwa za ujenzi.
Sasa hapa nimewaletea design ya nyumba ya vyumba vitatu, jiko, dining na sebule ya gharama nafuu.

Kinachoifanya design hii kuwa ya gharama nafuu ni sababu hizi kuu tatu muhimu

1. Ina floor area (BuiltUp area= 83.3sqm) ndogo sana huku ikiwa na vyumba vya ukubwa wa kawaida kabisa. Kilichofanya kupungua kwa eneo ni kutumika kwa korido kuwa dining, na kupunguzwa kwa korido kiujumla.

Hii ndio sababu kubwa zaidi kwasababu Kwa wastani nyumba ya vyumba vitatu huwa na floor area ya 100sqm (inaweza pungua au kuongezeka). Na kitaalamu (kwa mujibu wa CRB) sqm moja ina gharimu kati ya Tsh 400,000 mpk Tsh 600,000.

2. Haina kona nyingi.
Bati lake lina zile kona nne za lazima na kwa “design” imewekwa “gable” ndogo mbele ili kuipa mvuto tu kwa mbele.
Kumbuka kadri unavyoongeza kona ndivyo unavoongeza
1>idadi ya bati zinatakazo katwa na kutupwa na
ii> pia unaongeza kofia (Hip) na
iii> Unaongeza mifereji (valleys) itakayohitaji

3. Vyoo vipo upande mmoja.
Hivo utahitaji bomba chache (kama mbili tu) kuyafikisha maji taka kwenye mashimo. Pia hautahitaji kuongeza chemba (maholes) kwaajili ya kuunganisha mabomba

Nimeweka idadi ya tofali za msingi = 938 kwa kozi sita
Tofali za juu/boma … = 1,643 kwa kozi (10+3)
Na bati =59pc
Kwenye ramani lakini ukihitaji mchanganuo kamili unaweza kutucheki whatsapp kwa 0717682856
1. Maji machafu kutoka dining na jikoni yataenda wapi?
2. Septic tank na soak pit ziko karibu mno na nyumba. Kitaratibu, septic tank inatakiwa iwe na umbali usiopungua mita 3 ( inawezekana manispaa nyingine kutaka umbali uwe zaidi ya hapa) kutoka kwenye nyumba. kwa sababu hiyo huu mchoro hautapewa kibali cha ujenzi kama una kiwanja chenye ukubwa unaoonyeshwa.
3. Jiko ni dogo mno. Hamna nafasi ya friji.
4. Hamna stoo.

Amandla...
 
Hii inachangiwa kwa kiasi kikubwa na kukosa kazi za kufanya au mawazo yaliyodumaa. Kuna vijana wanadhani kwamba kwa sababu ngono kwao ni kipaumbele basi Kila mtu naye ni hvyo hivyo which is totally wrong. Itachukua miaka kuondoa hizi negativity na mambo ya kupangiana.
Nakubaliana na wewe kabisa. Ni kukosa kazi. Mtu ukikaa sehemu moja bila shughuli daily ni lazima unaathirika.
 
1. Maji machafu kutoka dining na jikoni yataenda wapi?
2. Septic tank na soak pit ziko karibu mno na nyumba. Kitaratibu, septic tank inatakiwa iwe na umbali usiopungua mita 3 ( inawezekana manispaa nyingine kutaka umbali uwe zaidi ya hapa) kutoka kwenye nyumba. kwa sababu hiyo huu mchoro hautapewa kibali cha ujenzi kama una kiwanja chenye ukubwa unaoonyeshwa.
3. Jiko ni dogo mno. Hamna nafasi ya friji.
4. Hamna stoo.

Amandla...
Atleast Umeuliza maswali ya maana
1. Maji yanatengenezewa “gully traps” sijaonesha tu hapo then yanakua na chambers zake
2. Sewage pits zikiwa karibu sana na nyumba kuna vitu vya kufanya ili kuilinda nyumba yenyewe. sina uhakika kama manispaa watakataa maana ninachojua wao huangalia “setbacks” kulingana na wao walivyo jiwekea standards zao ambazo zinategemea idadi wa makazi eneo usika (population density)
3. Eneo/kiwanja ni kidogo, hivo lazima so kwa muhusika ilikua oky hapo
4. Stoo ya ndani haina ulazima kwake
 
Back
Top Bottom