Ipi ni rahisi na nafuu kwenye gharama kati ya kujengea nyumba kwa tofari za kuchoma na block

navigator msomi

Senior Member
May 8, 2018
156
167
Wakuu habari ya kazi, kijana wenu nimekuja kupata experience na ushauri kuhusu ujengaji wa nyumba.

Kati ya kujenga nyumba kwa tofari choma ambazo kwa huku nilipo tofari mpaka site ni shilling 100,pia kujengea hizi tofari unaweza tumia udongo bila cement. Chamsingi renta lazima uweke..

Pia,hapa nilipo tofari ya block mpaka site ni shilling 1200,

Je kipi itakua nafuu kutumia katika ujenzi kati ya hivyo viwili.ukizingatia gharama, usumbufu,uimara na muonekano wa nyumba..
 
Wakuu habari ya kazi, kijana wenu nimekuja kupata experience na ushauri kuhusu ujengaji wa nyumba.

Kati ya kujenga nyumba kwa tofari choma ambazo kwa huku nilipo tofari mpaka site ni shilling 100,pia kujengea hizi tofari unaweza tumia udongo bila cement. Chamsingi renta lazima uweke..

Pia,hapa nilipo tofari ya block mpaka site ni shilling 1200,

Je kipi itakua nafuu kutumia katika ujenzi kati ya hivyo viwili.ukizingatia gharama, usumbufu,uimara na muonekano wa nyumba..
Rahisi Gharama 🐒

nenda na wakati 🐒
 
Tofali za kuchoma ni cheap sana mana za laki 8 unawez Jenga nyumba nzima wakati za block hapo unauzungumzia msingi pekee

Za kuchoma unawez kutumia ndani kukata vyumba nk. Lakin Kuna muda huwa zinamogoka. Mm pia nishafanya intensive research mana nilitaka kuchagua za kuchoma
 
Wakuu habari ya kazi, kijana wenu nimekuja kupata experience na ushauri kuhusu ujengaji wa nyumba.

Kati ya kujenga nyumba kwa tofari choma ambazo kwa huku nilipo tofari mpaka site ni shilling 100,pia kujengea hizi tofari unaweza tumia udongo bila cement. Chamsingi renta lazima uweke..

Pia,hapa nilipo tofari ya block mpaka site ni shilling 1200,

Je kipi itakua nafuu kutumia katika ujenzi kati ya hivyo viwili.ukizingatia gharama, usumbufu,uimara na muonekano wa nyumba..
Galama inategemeana na mazingira, maana kuna maeneo kupata material ya tofari za kuchoma ni galama sana, mfano kuni na nature ya udongo katika eneo husika,
 
Wakuu habari ya kazi, kijana wenu nimekuja kupata experience na ushauri kuhusu ujengaji wa nyumba.

Kati ya kujenga nyumba kwa tofari choma ambazo kwa huku nilipo tofari mpaka site ni shilling 100,pia kujengea hizi tofari unaweza tumia udongo bila cement. Chamsingi renta lazima uweke..

Pia,hapa nilipo tofari ya block mpaka site ni shilling 1200,

Je kipi itakua nafuu kutumia katika ujenzi kati ya hivyo viwili.ukizingatia gharama, usumbufu,uimara na muonekano wa nyumba..
Kwenye kuamua kati ya kutumia matofali ya kuchoma au block,angalia vifuatavyo

1.Umbali wa kupata matilio
-Hapa ni umbali kutokea eneo la ujenzi.

2.Upatikanaji wa matilio
-Je,hizo matilio zipo za kutosha,zisije ishia njiani.

3.Ubora wa matilio.
-Iwe za kuchoma/block, lazima uhakikishe zina ubora.

4.Mafundi
Je,Mafundi wa eneo husika ni wazuri kwa kutumia matofali ya aina ipi katika eneo lenu.

NB
Kuna gharama mtu anaingia kipindi cha ujenzi na gharama mtu anaingia baada ya ujenzi.
 
Back
Top Bottom