Ikowapi hiyo audio mkuu? Tuwekee hapa.Mnyika katumia nguvu kubwa kuhalalisha mamlaka yake halafu jioni Halima Mdee anasambaza audio ya kumkejeli.
Mbowe, Mnyika na viongozi wa juu wa CDM umefika wakati wajiuzulu kwa kuambiwa na nafsi zao wenyewe na sio kusubiri fedheha za majukwaani na njiani.