Rushwa imeifikisha pabaya TAMISEMI. Je, hawa viongozi wanaoiongoza wanapaswa kuwepo hapo?

lazima wasiipende JAMIIFORUMS kwa mwendo huu, nondo kwa nondo....wanabakia uchii mda wote
 
Kila nikitaka kumtetea Nyamhanga, ninakutana na mchambuzi alieandaa vizuri hoja zake kuhusu hayo madudu. Basi Braza nimeshindwa kukutetea, lakini nashangaa kuona bado mnabofya kwenye kile kidude cha kidole hapo ofisini kwenu kusaini kila asubuhi pamoja na madudu haya bila kuwajibika
 
Ukweli wa hizi ajira MUNGU anajua
Niwatie moyo tu wale ambao mmekosa ajira tangia mwaka 2015 hadi sasa, MUNGU aliyekupigania zaidi ya miaka sita bila ajira Bado yupo hai na atakuweko milele na milele atakupigania wewe na kizazi chako

Ukweli wa ajira hizi ni sawa na shamba la mtama lililo funikwa na magugu mengi ukiwa mbali utafurahi sana kuwa shamba langu limestawi sana nina mtama mwingi
Kumbe sio.

Kivipi
Ukweli ni kwamba kuna idadi kubwa ya ajira hewa na unacho kiona utata wa hizo namba ni moja wapo ya ajira hewa, na kuna mengine yameeditiwa ambayo ni ajira hewa.

Ili tuone kuwa ni walimu wameajiliwa pengine ajira za kweli huwenda zisivuke hata alf4
Embu fikiria siku yakwanza katibu mkuu TAMISEMI anatangaza post za ajira bado aliendelea kuaadaa uma wa watanzania kuwa ni waajiriwa wapya ni 13 elfu na pia ni kwanini hawakuweka serial number? Na pia madai yao ya kujirudia rudia kwa majina na kuchanganya index namba kuwa ni matatizo ya IT na mfumo wao huo ni uongo kabisa hata mwanafunzi wa introduction to computer hawezi shindwa
Hivyo hayo yote yalikuwa planned na ukweli wanaujua

Ndio maana yule katibu wa utumishi kipindi anatoa ufafanuzi alisema wameajiri elf 8 tu na kutakuwa na awamu ya pili ambayo itachukua elfu 5 kwa sababu ya malipo yao kuwa kuepusha malimbikizo lakini ikimbukwe kama kweli wao ndio walitoa kibali cha kuajiri elfu 13 sio elf 8 na hilo nalo linajibika tu kiuraisi kuwa hizi ajira serikali bado ilikuwa haijajipanga ila wali kurupushwa tu na tamko la mkuu wa nchi kipindi cha kampeni

Na ndio maana zilicheleweshwa hata kutangazwa kwa post na pia mpaka leo na madudu yote hayo Raisi amenyamaza kimya nawakati hii wizara ipo chini ya ofisi yake

Hivyo tukubari tu kuwa serikali haina hela kama alivyo sema katibu wa utumishi ndio maana wanaajiri kwa awamu lakini tambua zinapo tolewa ndani yake kuna magugu mengi sana

Madhara yake ni yapi? Tunapambana na elimu bure lakini ufanisi wa elimu (ubora) haupo kutokana na upungufu wa walimu kuendana na ongezeko la wanafunzi.

Tukubari tu kuwa kwa sasa hatuna walimu wakutosha kuendana na ongezeko la wanafunzi, hatuna madarasa yanayo kizi ongezeko la wanafunzi.

Tuchakachue mambo mengine yote lakini tusiguse swala la ELIMU, ELIMU ndio uhai wa taifa
Leo hii tunafanganywa na matokeo lakini ukweli elimu yetu kila kukicha inadorola

Pia kitu kingine ni hii TAMISEMI nimwanini tamisemi ndie iwe wizara ya kufanya vetting ya watumishi nawakati sera za elimu zinatolewa na wizara ya elimu?
Ni kwanini msimamizi mkuu wa elimu na mtoa sera ambaye ni wizara ya elimu ndio ifanye vettingi ya kuajiri
Kwani hawa ndio Curriculum designer and developer na ndio wanao simamia NECTA na necta na mwalimu hawa ndio Curriculum implementer and curriculum accessor
Sasa katika hili ni vema wangerudisha wizara husika ndio ifanye hiyo kazi.

MUNGU NI MWEMA
 
Barua ya wazi kwa sekretarieti ya ajira na TAMISEMI

Ndg, Viongozi wenye dhamana inayohusiana na AJIRA hususani Ajira za ualimu Mimi kama Mtanzania wa kawaida mwenye akili timamu na ambae pia ni Mdau wa ELIMU Naiomba Ofisi yako iweze kutoa ufafanuzi kuhusu baadhi ya majina ya waajiriwa wa Kada ya ELIMU Yaliyotolewa na Wizara yako pendwa na Nyeti ya TAMISEMI. Tarehe 27/11/2020 kuna baadhi ya majina ya waajiriwa yanaendelea kuwapatia watanzania TAHARUKI KUHUSU AJIRA ZAO

Naomba nizungumzie aina hizi za makosa yaliyofanyika kwenye AJIRA hizi ambazo mmeutangazia umma wa watanzaniaKuwa zilichambuliwa na walioajiriwa walikidhi vigezo na sifa. Rejea barua kutoka kwa KATIBU MKUU OFISI YA RAIS -TAMISEMI ya Tarehe 27 November, 2020 yenye Kichwa cha barua TAARIFA KWA UMMA KUHUSU AJIRA MPYA ZA WALIMU WA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI PAMOJA NA MAFUNDI SANIFU WA MAABARA

Makosa hayo nimeyaainisha hapa chini kama ifuatavyo;-

a) Waajiriwa ambao walihitimu kidato cha NNE 2019.

b) Waajiriwa ambao walipataufaulu hafifu wa daraja LA NNE kuanzia alama 30- 33

c) Waajiriwa ambao hawakufanya mtihani wa kidato cha NNE.

d) Waajiriwa Ambao vituo vyao vya kufanyia mitihani NECTA Haivitambui.

e) Waajiriwa ambao hawako kwenye orodha ya watahiniwa Wa mwaka husika kulingana na namba yake ya usajili wa kidato cha nne.

f) Waajiriwa ambao walisoma masomo tofauti na waliyopangiwa kufundisha kwenye ajira yao.

A). Waajiriwa ambao walihitimu kidato cha NNE 2019
Kwa akili ya kawaida ambayo haihitaji elimu kubwa tunajua kuwa mhitimu wa kidato cha NNE mwaka 2019 Moja kwa moja atakuwa hajahitimu mafunzo ya ualimu iwe Astashahada, Stashahada au shahada ya Ualimu kwa Mwaka mmoja kwani ni dhahiri shahiri kuwa mhitimu huyu wa mwaka 2019 Matokeo yake aliyapata Mwanzoni mwa mwaka 2020 au Mwishoni mwa mwaka 2019 sasa kama hivyo ndivyo imekuwaje MTU huyu akaajiriwa mwaka huu 2020 ile hali hana mafunzo ya ualimu? Au waliosomea Ualimu wameisha mpaka TAMISEMI imeanza kuajiri waliosomea VETA kuja kufundisha shule za msingi na sekondari. Mfano wa waajiriwa hao ni hao hapa ambao ni baadhi ya wengi mliowaajiri;-

Ally Miraji Shalua S3838-0063/2019

Bakari Lauzi Bakari S3678-0064/2019

Mariam Said Dibwine S0208-0140/2019


Hao ni baadhi yao Ila wapo wengi sana na sababu ya wizara kuajiri hao ambao yawezekana hawana sifa za kuajiriwa sijazijua. Naomba ufafanuzi

B). Waajiriwa ambao walipata Ufaulu hafifu wa daraja la NNE kuanzia points 30-33.

Kulingana na miongozo ya Wizara ya elimu inasema wazi kuwa mhitimu wa kidato cha NNE anatakiwa kujiunga na mafunzo ya ualimu ngazi ya Astashahada anatakiwa awe amepata ufaulu wa daraja LA kwanza hadi daraja la NNE LA points 28 lakini mwaka huu tumeshangazwa na kilichofanywa na TAMSEMI kuajiri wahitimu ambao walipata ufaulu wa daraja LA NNE LA points 30-33. Je, hapa tayari utaratibu ule wa awali ulikuwa umekiukwa au Sekretarieti ya ajira siku inaajiri ilikuwa imelala usingizi au ilirusha sandakalawe kwa waombaji wa ajira hizo?

Wafuatao ni baadhi ya waliopata ufaulu huo wa daraja LA NNE LA Points 30 hadi 33 ;-
A) ABDALLAH AHMED JIGWA S2732-0091/2019 alipata daraja LA NNE la points 31

B) BAKARI RAJABU KHALIFAN S1680-0064/2019 Alipata Daraja la NNE la points 30

C) FAUSTA SHAO ALEXANDRY S2019-0008/2019 Alipata daraja la NNE la points 32

D) DAVID LAMECK NDOSSA S1943-0147/2019 Alipata daraja la NNE la Points 33.
Hao ni baadhi ya wenye ufaulu hafifu ambao sasa wanaenda kuwafundisha wanafunzi wetu ili na sisi siku moja tupata wanafunzi Bora wenye umahili wa sayansi ya viumbe, sayansi ya Nyota n.k
Naomba ufafanuzi

C) Waajiriwa ambao hawakufanya mtihani wa kidato cha NNE
Kwenye orodha ya ajira hizo kuna MTU mmoja ambae Mimi nimembaini miongoni kwa wengine ambae hakufanya mtihani wa kidato cha NNE lakini Leo hii ameajiriwa na wizara yako shida iko wapi? Je, sekretarieti ya ajira iko sawa kwenye hili au lilikuwa ni takwa la kisiasa? Mwajiriwa huyo ni huyu hapa;-

Halima Saidi Mohamed P2735-0006/2019
Natambua kabisa inawezekana alijisajiri kurudia mtihani lakini hapa tena yanaweza yakaibua Maswali Mengi sana kama namba yake ni P ambayo inaonesha kuwa mtahini huyo alijisajiri kama mwanafunzi binafsi hivyo kupewa namba hii ndo ilikuwa Mara yake ya kwanza kutaka kufanya mtihani huo wa taifa ambao hakuufanya lakini Leo ameajiriwa na Anatarajiwa kwenda kazini kuripoti na kuwafundisha wanafunzi. Kwa tafsiri ya haraka haraka ametoka darasa la Saba na kwenda kufundisha.
Naomba ufafanuzi

D) Waajiriwa ambao vituo vyao vya kufanyia mitihani *NECTA haivitambui. Kuna baadhi ya waajiriwa ambao kwa namba ambazo zinawaelezea kwenye orodha ya ajira ukitafuta kwenye urodha ya shule unakuta namba hiyo ya mtahiniwa haipo yaani namba ya shule hiyo haipo na kama haipo inamaanisha mtahiniwa huyo ni HEWA kwani shule hiyo haipo Tanzania .
Mfano wa waajiriwa hao ni hawa hapa kwa baadhi hao kwani wako wengi;-

i) LUKAS EMMANUEL MTOI S1380-0852/2019

ii) PETRO ADRIANO KIOSHA S0566-1215/2019

iii) RAJABU STUART WILLIAM S0440-0963/2019

iv) SHOTO SOSTHENES NYANDA S1380-1058/2019
Naomba ufafanuzi kwanini mwajiriwa aweke namba ambayo haioneshi alisoma wapi elimu yake ya kidato cha NNE alafu pia TAMISEMI na sekretarieti ya Ajira ilitumia Matokeo kutoka wapi kumwajiri au kuwaajiri hawa inamaana hawapo wenye vyeti na sifa za ualimu kuajiriwa mpaka mkaajiri ambao wamedanganya mpaka vituo vyao vya kufanyia mtihani.

E) Waajiriwa ambao hawako kwenye orodha ya watahiniwa wa mwaka husika kulingana na namba yake ya usajili wa kidato cha nne.
Kuna baadhi ya waajiriwa wameoneshwa kwa namba za usajiri wa kidato cha nne Ambao ukiangalia orodha ya waliofanya mtihani mwako huo mhusika hayuko kwenye orodha hiyo kwa Tafsiri ya haraka ni kwamba mhusika hakufanya mtihani kwani hakusajiriwa. Mfano ni Mwajiriwa
SHAFII MOHAMMEND NAMKURUNG'UNDU S0738-0076/2019 Mwajiriwa huyu kwa namba hii ya usajiri inaonesha alisoma Shule ya sekondari Ridhwaa Seminary mwaka 2019 lakini cha ajabu mwaka huo kwenye shule hiyo watahiniwa walikuwa 61 Ila Mwajiriwa namba namba yake ilikuwa ni no 76. Kwa maneno mepesi mtahiniwa wa mwisho kwenye mtihani huo alikuwa mwenye no S0738/0061/2019 ila Mtajwa hapo juu namba yake ya Mtihani ni S0738/0076/2019
Kwa maneno na ushahidi huo hakukuwepo na mtahiniwa anaeitwa SHAFII MOHAMMED NAMKURUNG'UNDU.
Naomba ufafanuzi yeye alifanyia wapi mtihani wa kidato cha nne?

F) Waajiriwa ambao walisoma masomo tofauti na waliyopangiwa kufundisha kwenye ajira yao

Kuna baadhi ya waajiriwa kwenye orodha yako wameoneshwa kwenda kufundisha au kuandaa vifaa vya maabara ile hali MTU huyo hakufaulu somo lolote lile linalohusiana na Maabara yaani kama aliyasoma masomo hayo basi hakufaulu alipata alama F
Mfano ni Mwajiriwa David Lameck Ndossa S1943-0147/2019 Mwajiriwa huyu alifeli somo la Biology lakini Leo ameajiriwa kwenda kuwa Laboratory Technician Lugufu wasichana Sekondari Hata kama kuna kurudia Mwajiriwa alirudia mtihani lini na akafaulu lini? Maana ni mhitimu wa mwaka 2019?.

ZINGATIA
Kwenye orodha ya majina ya walimu waliopangiwa vituo vya Nazi Novemba 2020 kuna jedwali ambalo lina neno Applicant Id Nimejiridhisha pasi na shaka kwa waajiriwa ambao walifanya mtihani miaka ya 2009 na 2010 hii Applicant Id ni Index no ya Mwajiriwa ya mtihani wa kidato cha NNE .
Mfano
Abbas Juma Malungo S1222-0100/200

Abdallah Rajabu Dumwe S0811-0102/2009

Zuhura Musaka Majaliwa S0316-0238/2010
MAJINA HAYO PASI NA SHAKA YANASOMEKA HIVYOHIVYO KWA WAHUSIKA NA NAMBA ZAO ZA MTIHANI WA KIDATO CHA NNE NI HIYOHIYO.

Kulingana na maelezo hayo na ushahidi huu nilioutoa TAMISEMI HAIONI AJIRA HIZI ZINAIBUA MASWALI MENGI KULIKO MAJIBU *

1. Je, ni ajira kweli na walioorodheswa ni sahihi?
2. Hazijakaa kisiasa kwa sababu ya mapungufu yake? Maana tuliwahi kuambiwa kuwa Serikali ya awamu ya Tano inaangalia uchapaji kazi wa MTU na sio Vyeti.
3. Hamuoni kwa mapungufu haya na mengine ukafanyika uchunguzi wa wazi kuhusu ajira hizi?

4. Walioidhinisha ajira hizo wanalitakia nini taifa kwenye Tasnia ya Elimu?

5. Kwa makosa hayo ofisi na mishahara wanayolipwa hawa waliotoa ajira hizi hawaoni hawatutendei haki sisi walipakodi wa Nchi hii?

Wako,
Prof Hans
Mwalimu asiyekuwa na Kituo maalumu cha Kufundishia


Tafadhali soma
Braza umejieleza Sana lakini tambua hii ni Tanzania hakuna kitakacho ongelewa apo ata kama lingetoka jina LA mwanafunzi aliemaliza darasa LA saba isingekua shida nchi ya kijinga Sana hii
 
Barua ya wazi kwa sekretarieti ya ajira na TAMISEMI

Ndg, Viongozi wenye dhamana inayohusiana na AJIRA hususani Ajira za ualimu Mimi kama Mtanzania wa kawaida mwenye akili timamu na ambae pia ni Mdau wa ELIMU Naiomba Ofisi yako iweze kutoa ufafanuzi kuhusu baadhi ya majina ya waajiriwa wa Kada ya ELIMU Yaliyotolewa na Wizara yako pendwa na Nyeti ya TAMISEMI. Tarehe 27/11/2020 kuna baadhi ya majina ya waajiriwa yanaendelea kuwapatia watanzania TAHARUKI KUHUSU AJIRA ZAO

Naomba nizungumzie aina hizi za makosa yaliyofanyika kwenye AJIRA hizi ambazo mmeutangazia umma wa watanzaniaKuwa zilichambuliwa na walioajiriwa walikidhi vigezo na sifa. Rejea barua kutoka kwa KATIBU MKUU OFISI YA RAIS -TAMISEMI ya Tarehe 27 November, 2020 yenye Kichwa cha barua TAARIFA KWA UMMA KUHUSU AJIRA MPYA ZA WALIMU WA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI PAMOJA NA MAFUNDI SANIFU WA MAABARA

Makosa hayo nimeyaainisha hapa chini kama ifuatavyo;-

a) Waajiriwa ambao walihitimu kidato cha NNE 2019.

b) Waajiriwa ambao walipataufaulu hafifu wa daraja LA NNE kuanzia alama 30- 33

c) Waajiriwa ambao hawakufanya mtihani wa kidato cha NNE.

d) Waajiriwa Ambao vituo vyao vya kufanyia mitihani NECTA Haivitambui.

e) Waajiriwa ambao hawako kwenye orodha ya watahiniwa Wa mwaka husika kulingana na namba yake ya usajili wa kidato cha nne.

f) Waajiriwa ambao walisoma masomo tofauti na waliyopangiwa kufundisha kwenye ajira yao.

A). Waajiriwa ambao walihitimu kidato cha NNE 2019
Kwa akili ya kawaida ambayo haihitaji elimu kubwa tunajua kuwa mhitimu wa kidato cha NNE mwaka 2019 Moja kwa moja atakuwa hajahitimu mafunzo ya ualimu iwe Astashahada, Stashahada au shahada ya Ualimu kwa Mwaka mmoja kwani ni dhahiri shahiri kuwa mhitimu huyu wa mwaka 2019 Matokeo yake aliyapata Mwanzoni mwa mwaka 2020 au Mwishoni mwa mwaka 2019 sasa kama hivyo ndivyo imekuwaje MTU huyu akaajiriwa mwaka huu 2020 ile hali hana mafunzo ya ualimu? Au waliosomea Ualimu wameisha mpaka TAMISEMI imeanza kuajiri waliosomea VETA kuja kufundisha shule za msingi na sekondari. Mfano wa waajiriwa hao ni hao hapa ambao ni baadhi ya wengi mliowaajiri;-

Ally Miraji Shalua S3838-0063/2019

Bakari Lauzi Bakari S3678-0064/2019

Mariam Said Dibwine S0208-0140/2019


Hao ni baadhi yao Ila wapo wengi sana na sababu ya wizara kuajiri hao ambao yawezekana hawana sifa za kuajiriwa sijazijua. Naomba ufafanuzi

B). Waajiriwa ambao walipata Ufaulu hafifu wa daraja la NNE kuanzia points 30-33.

Kulingana na miongozo ya Wizara ya elimu inasema wazi kuwa mhitimu wa kidato cha NNE anatakiwa kujiunga na mafunzo ya ualimu ngazi ya Astashahada anatakiwa awe amepata ufaulu wa daraja LA kwanza hadi daraja la NNE LA points 28 lakini mwaka huu tumeshangazwa na kilichofanywa na TAMSEMI kuajiri wahitimu ambao walipata ufaulu wa daraja LA NNE LA points 30-33. Je, hapa tayari utaratibu ule wa awali ulikuwa umekiukwa au Sekretarieti ya ajira siku inaajiri ilikuwa imelala usingizi au ilirusha sandakalawe kwa waombaji wa ajira hizo?

Wafuatao ni baadhi ya waliopata ufaulu huo wa daraja LA NNE LA Points 30 hadi 33 ;-
A) ABDALLAH AHMED JIGWA S2732-0091/2019 alipata daraja LA NNE la points 31

B) BAKARI RAJABU KHALIFAN S1680-0064/2019 Alipata Daraja la NNE la points 30

C) FAUSTA SHAO ALEXANDRY S2019-0008/2019 Alipata daraja la NNE la points 32

D) DAVID LAMECK NDOSSA S1943-0147/2019 Alipata daraja la NNE la Points 33.
Hao ni baadhi ya wenye ufaulu hafifu ambao sasa wanaenda kuwafundisha wanafunzi wetu ili na sisi siku moja tupata wanafunzi Bora wenye umahili wa sayansi ya viumbe, sayansi ya Nyota n.k
Naomba ufafanuzi

C) Waajiriwa ambao hawakufanya mtihani wa kidato cha NNE
Kwenye orodha ya ajira hizo kuna MTU mmoja ambae Mimi nimembaini miongoni kwa wengine ambae hakufanya mtihani wa kidato cha NNE lakini Leo hii ameajiriwa na wizara yako shida iko wapi? Je, sekretarieti ya ajira iko sawa kwenye hili au lilikuwa ni takwa la kisiasa? Mwajiriwa huyo ni huyu hapa;-

Halima Saidi Mohamed P2735-0006/2019
Natambua kabisa inawezekana alijisajiri kurudia mtihani lakini hapa tena yanaweza yakaibua Maswali Mengi sana kama namba yake ni P ambayo inaonesha kuwa mtahini huyo alijisajiri kama mwanafunzi binafsi hivyo kupewa namba hii ndo ilikuwa Mara yake ya kwanza kutaka kufanya mtihani huo wa taifa ambao hakuufanya lakini Leo ameajiriwa na Anatarajiwa kwenda kazini kuripoti na kuwafundisha wanafunzi. Kwa tafsiri ya haraka haraka ametoka darasa la Saba na kwenda kufundisha.
Naomba ufafanuzi

D) Waajiriwa ambao vituo vyao vya kufanyia mitihani *NECTA haivitambui. Kuna baadhi ya waajiriwa ambao kwa namba ambazo zinawaelezea kwenye orodha ya ajira ukitafuta kwenye urodha ya shule unakuta namba hiyo ya mtahiniwa haipo yaani namba ya shule hiyo haipo na kama haipo inamaanisha mtahiniwa huyo ni HEWA kwani shule hiyo haipo Tanzania .
Mfano wa waajiriwa hao ni hawa hapa kwa baadhi hao kwani wako wengi;-

i) LUKAS EMMANUEL MTOI S1380-0852/2019

ii) PETRO ADRIANO KIOSHA S0566-1215/2019

iii) RAJABU STUART WILLIAM S0440-0963/2019

iv) SHOTO SOSTHENES NYANDA S1380-1058/2019
Naomba ufafanuzi kwanini mwajiriwa aweke namba ambayo haioneshi alisoma wapi elimu yake ya kidato cha NNE alafu pia TAMISEMI na sekretarieti ya Ajira ilitumia Matokeo kutoka wapi kumwajiri au kuwaajiri hawa inamaana hawapo wenye vyeti na sifa za ualimu kuajiriwa mpaka mkaajiri ambao wamedanganya mpaka vituo vyao vya kufanyia mtihani.

E) Waajiriwa ambao hawako kwenye orodha ya watahiniwa wa mwaka husika kulingana na namba yake ya usajili wa kidato cha nne.
Kuna baadhi ya waajiriwa wameoneshwa kwa namba za usajiri wa kidato cha nne Ambao ukiangalia orodha ya waliofanya mtihani mwako huo mhusika hayuko kwenye orodha hiyo kwa Tafsiri ya haraka ni kwamba mhusika hakufanya mtihani kwani hakusajiriwa. Mfano ni Mwajiriwa
SHAFII MOHAMMEND NAMKURUNG'UNDU S0738-0076/2019 Mwajiriwa huyu kwa namba hii ya usajiri inaonesha alisoma Shule ya sekondari Ridhwaa Seminary mwaka 2019 lakini cha ajabu mwaka huo kwenye shule hiyo watahiniwa walikuwa 61 Ila Mwajiriwa namba namba yake ilikuwa ni no 76. Kwa maneno mepesi mtahiniwa wa mwisho kwenye mtihani huo alikuwa mwenye no S0738/0061/2019 ila Mtajwa hapo juu namba yake ya Mtihani ni S0738/0076/2019
Kwa maneno na ushahidi huo hakukuwepo na mtahiniwa anaeitwa SHAFII MOHAMMED NAMKURUNG'UNDU.
Naomba ufafanuzi yeye alifanyia wapi mtihani wa kidato cha nne?

F) Waajiriwa ambao walisoma masomo tofauti na waliyopangiwa kufundisha kwenye ajira yao

Kuna baadhi ya waajiriwa kwenye orodha yako wameoneshwa kwenda kufundisha au kuandaa vifaa vya maabara ile hali MTU huyo hakufaulu somo lolote lile linalohusiana na Maabara yaani kama aliyasoma masomo hayo basi hakufaulu alipata alama F
Mfano ni Mwajiriwa David Lameck Ndossa S1943-0147/2019 Mwajiriwa huyu alifeli somo la Biology lakini Leo ameajiriwa kwenda kuwa Laboratory Technician Lugufu wasichana Sekondari Hata kama kuna kurudia Mwajiriwa alirudia mtihani lini na akafaulu lini? Maana ni mhitimu wa mwaka 2019?.

ZINGATIA
Kwenye orodha ya majina ya walimu waliopangiwa vituo vya Nazi Novemba 2020 kuna jedwali ambalo lina neno Applicant Id Nimejiridhisha pasi na shaka kwa waajiriwa ambao walifanya mtihani miaka ya 2009 na 2010 hii Applicant Id ni Index no ya Mwajiriwa ya mtihani wa kidato cha NNE .
Mfano
Abbas Juma Malungo S1222-0100/200

Abdallah Rajabu Dumwe S0811-0102/2009

Zuhura Musaka Majaliwa S0316-0238/2010
MAJINA HAYO PASI NA SHAKA YANASOMEKA HIVYOHIVYO KWA WAHUSIKA NA NAMBA ZAO ZA MTIHANI WA KIDATO CHA NNE NI HIYOHIYO.

Kulingana na maelezo hayo na ushahidi huu nilioutoa TAMISEMI HAIONI AJIRA HIZI ZINAIBUA MASWALI MENGI KULIKO MAJIBU *

1. Je, ni ajira kweli na walioorodheswa ni sahihi?
2. Hazijakaa kisiasa kwa sababu ya mapungufu yake? Maana tuliwahi kuambiwa kuwa Serikali ya awamu ya Tano inaangalia uchapaji kazi wa MTU na sio Vyeti.
3. Hamuoni kwa mapungufu haya na mengine ukafanyika uchunguzi wa wazi kuhusu ajira hizi?

4. Walioidhinisha ajira hizo wanalitakia nini taifa kwenye Tasnia ya Elimu?

5. Kwa makosa hayo ofisi na mishahara wanayolipwa hawa waliotoa ajira hizi hawaoni hawatutendei haki sisi walipakodi wa Nchi hii?

Wako,
Prof Hans
Mwalimu asiyekuwa na Kituo maalumu cha Kufundishia


Tafadhali soma
Magufuli ana Kazi sana,Hivi JPM hutuoni tulioko chini huku? Mbona tunafaa sana tukusaidie hizo nafasi?
 
Kwanza naomba nianze kwa kutoa masikitiko yangu juu ya wizara ya Tamisemi.

Tamisemi ipo chini ya ofisi ya Rais kwa maana hiyo ndicho kioo cha Rais. Wizara ikiboronga maana yake inamchafua Rais na ikifanya vizuri na Rais anakuwa amefanya vizuri.

Kwahiyo, Kitendo cha katibu mkuu kutoa majibu mapesi kwenye hoja nzito zilizo ibuliwa na wadau kuhusu madudu kwenye ajira za ualimu ni kitendo kinacho tia mashaka juu ya weledi wa watendaji katika hiyo wizara.
Hili pia naomba mheshimiwa Rais aliangalie kama ikimpendeza kwenye baraza jipya la mawaziri atakaloteua, hii wizara ipewe waziri mwingine. Hii itasaidia kuwepo kwa uwajibikaji na kuepusha tabia ya watendaji kufanya kazi kwa mazoea.

Sasa Turudi kwenye mjadala wetu wa majibu ya tamisemi kutolea ufafanuzi wa madudu kwenye ajira za walimu. Press conference hiyo ya kujibu madudu ili hudhuriwa na makatibu wakuu watatu siku ya jana.
1. Eng. Joseph Nyamhanga- katibu mkuu tamisemi
2. Dkt. Laurean Ndumbaro- katibu mkuu utumishi
3. Dkt. Leonard Akwilapo- katibu mkuu wizara ya elimu.

1. HOJA YA KWANZA: kuhusu jina la ABDALLAH SHONDE kujirudia mara 196.
-katika kutetea hoja hiyo, katibu mkuu alisema hilo jina kujirudia halikuongeza idadi wala kupunguza ajira za walimu wengine bali iliongeza wingi wa majina tu. Hapa naomba aliyemwelewa katibu mkuu anifafanulie. Na kufuatia utetezi huo naomba nimuulize katibu mkuu swali moja;
(i) kama jina hilo kujirudia kila ukurasa halikuwa na madhara. Kwanini mlifanyia marekebisho na baada ya marekebisho hayo baadhi ya majina mapya ya walimu wakaongezewa na kurasa za majina kuongezeka toka kurasa 196 hadi kurasa 197?

HOJA YA PILI: kuhusu waliomaliza kidato cha nne 2019
- katika utetezi wake katibu mkuu alidai wamepitia majina hayo upya na kubaini kuwa walimaliza kidato cha nne 2013.
Utetezi huo wa katibu ni dhaifu kwa sababu zifuatazo;

(i) katibu mkuu hakuwa na uhakika wa kulithibitisha hilo hivyo aliishia kutoa ufafanuzi kwa hisia na kubahatisha. Ili kuthibitisha ninacho kisema nimefanya uchunguzi wa matokeo ya walimu watatu wenye index za kidato cha nne za 2019 na kubaini yafuatayo;

(a) WINNIE ELIAS MBISE
-huyu ametumia index: S0687-0124/2019. kutokana na kauli ya katibu mkuu kuwa wenye hizi index za 2019 wamemaliza 2013 nimefanya utafiti mdogo wa matokeo ya mwanafunzi huyu kwa mwaka 2013 kwa kutumia index:S0687-0124/2013) nimegundua kuwa shule aliyohitimu inaitwa KIKATITI SECONDARY na kwa mwaka huo ni watahiniwa 116 tu waliokuwa wamesajiliwa kufanya mitihani na hivyo namba ya mtahiniwa wa mwisho ilikuwa S0687-0116/2013. Je, hii index: S0687-0124/2013 ambayo katibu anataka kutuaminisha inatoka wapi?

(b) BAKARI LAUZI BAKARI
-huyu ametumia index: S3678-0064/2019. Kwa mujibu wa maelezo ya katibu mkuu kuwa wamemaliza 2013, nilipofuatilia matokeo ya index hiyo kwa mwaka 2013 nimegundua kuwa mwalimu mwenye namba hiyo (S3678-0064/2013) alipata divisheni sifuri. Kutokana na matokeo hayo, je katibu mkuu anakubaliana na mimi kwamba wameajiri mwalimu aliyepata divisheni zero kidato cha nne?

(c) DAVID LAMECK NDOSSA
- huyu ametumia index: S1943-0147/2019 ameajiriwa kama fundi sanifu wa maabara. Lakini kwakuwa katibu mkuu alisema wamemaliza 2013 nilipofuatilia matokeo yake nimegundua kuwa mtahiniwa mwenye namba hiyo (S1943-0147/2013) alipata F ya biology na wala hakusoma somo la fizikia au kemia. Kutokana na matokeo hayo, je katibu mkuu anakubaliana na mimi kwamba wameajiri mtu ambaye hakusoma masomo ya sayansi kwenda kufundisha practicals?

(ii) utetezi wa katibu mkuu ni dhaifu kwa sababu siku ya kutangaza ajira alisema moja ya kigezo cha kuwapangia watu ajira walizingatia ulinganifu wa taarifa zilizopo kwenye vyeti na taarifa zilizojazwa kwenye mfumo. Kama kweli walizingatia ulinganifu huo, kwanini wameajiri walimu ambao taarifa zao za kwenye mfumo haziendani na taarifa zilizopo kwenye vyeti mfano hawa wenye index za 2019?

(iii) utetezi wa katibu mkuu ni dhaifu kwa sababu mfumo ulikuwa na uwezo wa kuthibitisha index za waombaji. Katika kuthibitisha hilo nanukuu sehemu ya maelezo yaliyokuwepo kwenye mfumo " Your form four index number and any other used certificate should be valid as they will be verified before you are selected. Invalid number will lead to rejection of your application". Kama mfumo uliweza kutambua index za waombaji kwanini watu wenye index zenye utata wameajiriwa?. Katika hili usikimbilie kwenye kichaka cha matatizo ya kwenye mfumo kwa sababu majina ya waombaji mlikaa nayo kwa zaidi ya mwezi mmoja na mlifanya zoezi kwa umakini kwa kuzingatia ulinganifu wa taarifa.

Pia kufuatia utetezi huo naomba katibu mkuu atoe ufafanuzi wa walimu walio ajiriwa kwa namba hizi za kidato cha nne;
(i) S0660-0541/2019
(ii) S0566-1215/2019
(iii) S0151-0785/2015
(iv) S1380-1058/2019
(v)S1380-0852/2019
(vi) S0440-0963/2019

(a)katibu mkuu atwambie majina ya shule ya center namba zilizo tumika kwenye hizo index na ni shule gani hizo amabazo wanafunzi wa kidato cha nne walikuwa wanahitimu ndani ya mwaka mmoja kwa idadi kubwa hiyo ya 800+, 900+ na 1000+

(b) katibu mkuu aseme kwanini waajiriwa hao namba zao za kidato cha nne hazitambuliki na baraza la mitihani(NECTA)


HOJA YA TATU: kuhusu idadi ya ajira
Katika kujitetea katibu mkuu amekiri wazi ya kuwa ajira zilizotolewa siyo 13000 bali ni ajira 8000. Sasa najiuliza siku zilipotangazwa katibu mkuu alisema ni ajira 13000 alidanganya umma kwa maslahi ya nani na je, hiyo ndio ilikuwa ahadi ya Rais Magufuri kuajiri walimu 8000?

Katika press conference hiyo, katibu mkuu amekwepa kujibu madudu ya kuajiri walimu waliotumia namba za wanafunzi wa kidato cha tano wanaoendelea na masomo. Hili nalo linahitaji ufafanuzi

Mwisho, kutokana na utetezi mwepesi uliotolewa na katibu siku ya jana tunaomba tamisemi ijipange upya ije na utetezi ulioshiba na wenye uthibitisho wa majibu ya madudu yote usio na mashaka au watoe orodha mpya ya majina ambayo madudu yote yaliyoibuliwa yawe yamefanyiwa kazi.
Watu mpo concrete! Shikamoo JF
 
Mkuu OTTER ,haya uliyoyaandika ni kweli!???
Itakuwa vyema kila kitu kiwekwe hadharani ili tujue wapi tatizo la msingi limeanzia. Wengine tupo mbali na huko nyumbani,hivyo tungeona uthibitisho wa haya uliyoyaandika,tungeweza saidia nini cha kufanya.
Aliyoyasema OTTER ni kweli, ndiyo yalikuwa maelekezo ya wakurugenzi kwa wakuu wa shule na waratibu elimu kata. Hii ilitolewa mwezi wa 8 mwishoni wiki chache kabla ya kutangazwa ajira mpya
 
Hao makatibu wakuu wa wizara zote tatu zilizo shugulika na huo mchakato mzima walifikiri suala hili lilivotangazwa wakati wa kampeni basi kila mpiga debe wa CCM alikuwa na sifa ya kuajiriwa!
Natoa wito pia kwa Mh. rais kutowarudisha mawaziri wote wa wizara hizo kwenye nyadhifa zao na kama bado anawahitaji basi awapeleke wizara zingine huko wameshachemka maana walikuwepo ofsini hadi rais alipoapishwa hivyo hakuna kisingizio kwamba hawakuhusika!
 
Barua ya wazi kwa sekretarieti ya ajira na TAMISEMI

Ndg, Viongozi wenye dhamana inayohusiana na AJIRA hususani Ajira za ualimu Mimi kama Mtanzania wa kawaida mwenye akili timamu na ambae pia ni Mdau wa ELIMU Naiomba Ofisi yako iweze kutoa ufafanuzi kuhusu baadhi ya majina ya waajiriwa wa Kada ya ELIMU Yaliyotolewa na Wizara yako pendwa na Nyeti ya TAMISEMI. Tarehe 27/11/2020 kuna baadhi ya majina ya waajiriwa yanaendelea kuwapatia watanzania TAHARUKI KUHUSU AJIRA ZAO

Naomba nizungumzie aina hizi za makosa yaliyofanyika kwenye AJIRA hizi ambazo mmeutangazia umma wa watanzaniaKuwa zilichambuliwa na walioajiriwa walikidhi vigezo na sifa. Rejea barua kutoka kwa KATIBU MKUU OFISI YA RAIS -TAMISEMI ya Tarehe 27 November, 2020 yenye Kichwa cha barua TAARIFA KWA UMMA KUHUSU AJIRA MPYA ZA WALIMU WA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI PAMOJA NA MAFUNDI SANIFU WA MAABARA

Makosa hayo nimeyaainisha hapa chini kama ifuatavyo;-

a) Waajiriwa ambao walihitimu kidato cha NNE 2019.

b) Waajiriwa ambao walipataufaulu hafifu wa daraja LA NNE kuanzia alama 30- 33

c) Waajiriwa ambao hawakufanya mtihani wa kidato cha NNE.

d) Waajiriwa Ambao vituo vyao vya kufanyia mitihani NECTA Haivitambui.

e) Waajiriwa ambao hawako kwenye orodha ya watahiniwa Wa mwaka husika kulingana na namba yake ya usajili wa kidato cha nne.

f) Waajiriwa ambao walisoma masomo tofauti na waliyopangiwa kufundisha kwenye ajira yao.

A). Waajiriwa ambao walihitimu kidato cha NNE 2019
Kwa akili ya kawaida ambayo haihitaji elimu kubwa tunajua kuwa mhitimu wa kidato cha NNE mwaka 2019 Moja kwa moja atakuwa hajahitimu mafunzo ya ualimu iwe Astashahada, Stashahada au shahada ya Ualimu kwa Mwaka mmoja kwani ni dhahiri shahiri kuwa mhitimu huyu wa mwaka 2019 Matokeo yake aliyapata Mwanzoni mwa mwaka 2020 au Mwishoni mwa mwaka 2019 sasa kama hivyo ndivyo imekuwaje MTU huyu akaajiriwa mwaka huu 2020 ile hali hana mafunzo ya ualimu? Au waliosomea Ualimu wameisha mpaka TAMISEMI imeanza kuajiri waliosomea VETA kuja kufundisha shule za msingi na sekondari. Mfano wa waajiriwa hao ni hao hapa ambao ni baadhi ya wengi mliowaajiri;-

Ally Miraji Shalua S3838-0063/2019

Bakari Lauzi Bakari S3678-0064/2019

Mariam Said Dibwine S0208-0140/2019


Hao ni baadhi yao Ila wapo wengi sana na sababu ya wizara kuajiri hao ambao yawezekana hawana sifa za kuajiriwa sijazijua. Naomba ufafanuzi

B). Waajiriwa ambao walipata Ufaulu hafifu wa daraja la NNE kuanzia points 30-33.

Kulingana na miongozo ya Wizara ya elimu inasema wazi kuwa mhitimu wa kidato cha NNE anatakiwa kujiunga na mafunzo ya ualimu ngazi ya Astashahada anatakiwa awe amepata ufaulu wa daraja LA kwanza hadi daraja la NNE LA points 28 lakini mwaka huu tumeshangazwa na kilichofanywa na TAMSEMI kuajiri wahitimu ambao walipata ufaulu wa daraja LA NNE LA points 30-33. Je, hapa tayari utaratibu ule wa awali ulikuwa umekiukwa au Sekretarieti ya ajira siku inaajiri ilikuwa imelala usingizi au ilirusha sandakalawe kwa waombaji wa ajira hizo?

Wafuatao ni baadhi ya waliopata ufaulu huo wa daraja LA NNE LA Points 30 hadi 33 ;-
A) ABDALLAH AHMED JIGWA S2732-0091/2019 alipata daraja LA NNE la points 31

B) BAKARI RAJABU KHALIFAN S1680-0064/2019 Alipata Daraja la NNE la points 30

C) FAUSTA SHAO ALEXANDRY S2019-0008/2019 Alipata daraja la NNE la points 32

D) DAVID LAMECK NDOSSA S1943-0147/2019 Alipata daraja la NNE la Points 33.
Hao ni baadhi ya wenye ufaulu hafifu ambao sasa wanaenda kuwafundisha wanafunzi wetu ili na sisi siku moja tupata wanafunzi Bora wenye umahili wa sayansi ya viumbe, sayansi ya Nyota n.k
Naomba ufafanuzi

C) Waajiriwa ambao hawakufanya mtihani wa kidato cha NNE
Kwenye orodha ya ajira hizo kuna MTU mmoja ambae Mimi nimembaini miongoni kwa wengine ambae hakufanya mtihani wa kidato cha NNE lakini Leo hii ameajiriwa na wizara yako shida iko wapi? Je, sekretarieti ya ajira iko sawa kwenye hili au lilikuwa ni takwa la kisiasa? Mwajiriwa huyo ni huyu hapa;-

Halima Saidi Mohamed P2735-0006/2019
Natambua kabisa inawezekana alijisajiri kurudia mtihani lakini hapa tena yanaweza yakaibua Maswali Mengi sana kama namba yake ni P ambayo inaonesha kuwa mtahini huyo alijisajiri kama mwanafunzi binafsi hivyo kupewa namba hii ndo ilikuwa Mara yake ya kwanza kutaka kufanya mtihani huo wa taifa ambao hakuufanya lakini Leo ameajiriwa na Anatarajiwa kwenda kazini kuripoti na kuwafundisha wanafunzi. Kwa tafsiri ya haraka haraka ametoka darasa la Saba na kwenda kufundisha.
Naomba ufafanuzi

D) Waajiriwa ambao vituo vyao vya kufanyia mitihani *NECTA haivitambui. Kuna baadhi ya waajiriwa ambao kwa namba ambazo zinawaelezea kwenye orodha ya ajira ukitafuta kwenye urodha ya shule unakuta namba hiyo ya mtahiniwa haipo yaani namba ya shule hiyo haipo na kama haipo inamaanisha mtahiniwa huyo ni HEWA kwani shule hiyo haipo Tanzania .
Mfano wa waajiriwa hao ni hawa hapa kwa baadhi hao kwani wako wengi;-

i) LUKAS EMMANUEL MTOI S1380-0852/2019

ii) PETRO ADRIANO KIOSHA S0566-1215/2019

iii) RAJABU STUART WILLIAM S0440-0963/2019

iv) SHOTO SOSTHENES NYANDA S1380-1058/2019
Naomba ufafanuzi kwanini mwajiriwa aweke namba ambayo haioneshi alisoma wapi elimu yake ya kidato cha NNE alafu pia TAMISEMI na sekretarieti ya Ajira ilitumia Matokeo kutoka wapi kumwajiri au kuwaajiri hawa inamaana hawapo wenye vyeti na sifa za ualimu kuajiriwa mpaka mkaajiri ambao wamedanganya mpaka vituo vyao vya kufanyia mtihani.

E) Waajiriwa ambao hawako kwenye orodha ya watahiniwa wa mwaka husika kulingana na namba yake ya usajili wa kidato cha nne.
Kuna baadhi ya waajiriwa wameoneshwa kwa namba za usajiri wa kidato cha nne Ambao ukiangalia orodha ya waliofanya mtihani mwako huo mhusika hayuko kwenye orodha hiyo kwa Tafsiri ya haraka ni kwamba mhusika hakufanya mtihani kwani hakusajiriwa. Mfano ni Mwajiriwa
SHAFII MOHAMMEND NAMKURUNG'UNDU S0738-0076/2019 Mwajiriwa huyu kwa namba hii ya usajiri inaonesha alisoma Shule ya sekondari Ridhwaa Seminary mwaka 2019 lakini cha ajabu mwaka huo kwenye shule hiyo watahiniwa walikuwa 61 Ila Mwajiriwa namba namba yake ilikuwa ni no 76. Kwa maneno mepesi mtahiniwa wa mwisho kwenye mtihani huo alikuwa mwenye no S0738/0061/2019 ila Mtajwa hapo juu namba yake ya Mtihani ni S0738/0076/2019
Kwa maneno na ushahidi huo hakukuwepo na mtahiniwa anaeitwa SHAFII MOHAMMED NAMKURUNG'UNDU.
Naomba ufafanuzi yeye alifanyia wapi mtihani wa kidato cha nne?

F) Waajiriwa ambao walisoma masomo tofauti na waliyopangiwa kufundisha kwenye ajira yao

Kuna baadhi ya waajiriwa kwenye orodha yako wameoneshwa kwenda kufundisha au kuandaa vifaa vya maabara ile hali MTU huyo hakufaulu somo lolote lile linalohusiana na Maabara yaani kama aliyasoma masomo hayo basi hakufaulu alipata alama F
Mfano ni Mwajiriwa David Lameck Ndossa S1943-0147/2019 Mwajiriwa huyu alifeli somo la Biology lakini Leo ameajiriwa kwenda kuwa Laboratory Technician Lugufu wasichana Sekondari Hata kama kuna kurudia Mwajiriwa alirudia mtihani lini na akafaulu lini? Maana ni mhitimu wa mwaka 2019?.

ZINGATIA
Kwenye orodha ya majina ya walimu waliopangiwa vituo vya Nazi Novemba 2020 kuna jedwali ambalo lina neno Applicant Id Nimejiridhisha pasi na shaka kwa waajiriwa ambao walifanya mtihani miaka ya 2009 na 2010 hii Applicant Id ni Index no ya Mwajiriwa ya mtihani wa kidato cha NNE .
Mfano
Abbas Juma Malungo S1222-0100/200

Abdallah Rajabu Dumwe S0811-0102/2009

Zuhura Musaka Majaliwa S0316-0238/2010
MAJINA HAYO PASI NA SHAKA YANASOMEKA HIVYOHIVYO KWA WAHUSIKA NA NAMBA ZAO ZA MTIHANI WA KIDATO CHA NNE NI HIYOHIYO.

Kulingana na maelezo hayo na ushahidi huu nilioutoa TAMISEMI HAIONI AJIRA HIZI ZINAIBUA MASWALI MENGI KULIKO MAJIBU *

1. Je, ni ajira kweli na walioorodheswa ni sahihi?
2. Hazijakaa kisiasa kwa sababu ya mapungufu yake? Maana tuliwahi kuambiwa kuwa Serikali ya awamu ya Tano inaangalia uchapaji kazi wa MTU na sio Vyeti.
3. Hamuoni kwa mapungufu haya na mengine ukafanyika uchunguzi wa wazi kuhusu ajira hizi?

4. Walioidhinisha ajira hizo wanalitakia nini taifa kwenye Tasnia ya Elimu?

5. Kwa makosa hayo ofisi na mishahara wanayolipwa hawa waliotoa ajira hizi hawaoni hawatutendei haki sisi walipakodi wa Nchi hii?

Wako,
Prof Hans
Mwalimu asiyekuwa na Kituo maalumu cha Kufundishia


Tafadhali soma
Yaani hapo ni shughuli nzito,tamisemi hawashomoi
 
Tangazo lilikuwa lipo sana applicant yeyote atakae jaza invalid numbers, application yake itakuwa nullfied and will not be processed(rejected). Sasa imekuwa hizo application ziwe proccessed wakati applicant amejaza invalid index number. Mmepokea rushwa namba zilizokuwa zinatumika kupokelea rushwa ntaziweka hapa na miamala yake
Sema kwa sauti mkuu,yaani wanatuona hatujui chochote
 
Stahiki yao ni kupasuliwa majipu bila ganzi make hamna namna
 
Back
Top Bottom