Shark
JF-Expert Member
- Jan 25, 2010
- 29,459
- 29,157
Weka mkuu tupate uhakika wasikubembeleze inbobo huko ukadanganyika nawe na vipande 30Namwaga miamala yote walioifanya hawambwa
Weka mkuu tupate uhakika wasikubembeleze inbobo huko ukadanganyika nawe na vipande 30Namwaga miamala yote walioifanya hawambwa
Mkuu tuwekee hapa jukwaani tafadhali.Aliyoyasema OTTER ni kweli, ndiyo yalikuwa maelekezo ya wakurugenzi kwa wakuu wa shule na waratibu elimu kata. Hii ilitolewa mwezi wa 8 mwishoni wiki chache kabla ya kutangazwa ajira mpya
Naandaaa pdf hapa watu wamelamba zaid 2b ni miamala ya 800k kwa 500kWeka mkuu tupate uhakika wasikubembeleze inbobo huko ukadanganyika nawe na vipande 30