Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 80,769
- 93,547
Yamepachikwa ili wasiweze kuripotiMajina mengi pale ni fake
Yamepachikwa ili wasiweze kuripotiMajina mengi pale ni fake
Itakuwa vyema kila kitu kiwekwe hadharani ili tujue wapi tatizo la msingi limeanzia. Wengine tupo mbali na huko nyumbani,hivyo tungeona uthibitisho wa haya uliyoyaandika,tungeweza saidia nini cha kufanya.Mkuu OTTER ,haya uliyoyaandika ni kweli!?
Tano tena.Barua ya wazi kwa sekretarieti ya ajira na TAMISEMI
Ndg, Viongozi wenye dhamana inayohusiana na AJIRA hususani Ajira za ualimu Mimi kama Mtanzania wa kawaida mwenye akili timamu na ambae pia ni Mdau wa ELIMU Naiomba Ofisi yako iweze kutoa ufafanuzi kuhusu baadhi ya majina ya waajiriwa wa Kada ya ELIMU Yaliyotolewa na Wizara yako pendwa na Nyeti ya TAMISEMI. Tarehe 27/11/2020 kuna baadhi ya majina ya waajiriwa yanaendelea kuwapatia watanzania TAHARUKI KUHUSU AJIRA ZAO....
Kwani lengo la Tamisemi ni kutoa ajira ana ni kuuhadaa umma kwamba serikali ya awamu ya tano imetoa Tumia akili kidogo siyo mnaandika andika tuBarua ya wazi kwa sekretarieti ya ajira na TAMISEMI
Ndg, Viongozi wenye dhamana inayohusiana na AJIRA hususani Ajira za ualimu Mimi kama Mtanzania wa kawaida mwenye akili timamu na ambae pia ni Mdau wa ELIMU Naiomba Ofisi yako iweze kutoa ufafanuzi kuhusu baadhi ya majina ya waajiriwa wa Kada ya ELIMU Yaliyotolewa na Wizara yako pendwa na Nyeti ya TAMISEMI. Tarehe 27/11/2020 kuna baadhi ya majina ya waajiriwa yanaendelea kuwapatia watanzania TAHARUKI KUHUSU AJIRA ZAO...
Wanamwambia mtu kuwa wao kazi hawawezi bila wale wa mjengoni! Huu nao ni aina ya mgomo au?Wote wale 3 ni wakufukuza
Kwanini asianze mtumbuaji kujitumbuaHawa viongozi wa tamisemi watumbuliwe kabisa haiwezwkani wapokee rushwa halafu waanze kuedit kwa watu waliokula hela pia wazirimpya wa tamisemi aondoe baadhi ya wafanyakazi wa Tamisemi.
Majina yamefanananaHivi huyu ni prof Hans Mlawa ninayemjua au ni mwingine?
Matokeo ya sayansi kufanya kazi ipasavyo,hivyo tuwe wapole kwani tumekuwa tukishangilia hata ujinga.Barua ya wazi kwa sekretarieti ya ajira na TAMISEMI
Ndg, Viongozi wenye dhamana inayohusiana na AJIRA hususani Ajira za ualimu Mimi kama Mtanzania wa kawaida mwenye akili timamu na ambae pia ni Mdau wa ELIMU Naiomba Ofisi yako iweze kutoa ufafanuzi kuhusu baadhi ya majina ya waajiriwa wa Kada ya ELIMU Yaliyotolewa na Wizara yako pendwa na Nyeti ya TAMISEMI. Tarehe 27/11/2020 kuna baadhi ya majina ya waajiriwa yanaendelea kuwapatia watanzania TAHARUKI KUHUSU AJIRA ZAO...
Mwanri atosha TamisemiNdg, Viongozi wenye dhamana inayohusiana na AJIRA hususani Ajira za ualimu Mimi kama Mtanzania wa kawaida mwenye akili timamu na ambae pia ni Mdau wa ELIMU Naiomba Ofisi yako iweze kutoa ufafanuzi kuhusu baadhi ya majina ya waajiriwa wa Kada ya ELIMU Yaliyotolewa na Wizara yako pendwa na Nyeti ya TAMISEMI. Tarehe 27/11/2020 kuna baadhi ya majina ya waajiriwa yanaendelea kuwapatia watanzania TAHARUKI KUHUSU AJIRA ZAO...
Tangazo lilikuwa lipo sana applicant yeyote atakae jaza invalid numbers, application yake itakuwa nullfied and will not be processed(rejected). Sasa imekuwa hizo application ziwe proccessed wakati applicant amejaza invalid index number. Mmepokea rushwa namba zilizokuwa zinatumika kupokelea rushwa ntaziweka hapa na miamala yake
Naomba haya Majina yarudi TAMISEMI kwa marekebisho zaidi. Maana ni dhahiri shairi kuna Element za Rushwa katika ajira hizi.Barua ya wazi kwa sekretarieti ya ajira na TAMISEMI
Ndg, Viongozi wenye dhamana inayohusiana na AJIRA hususani Ajira za ualimu Mimi kama Mtanzania wa kawaida mwenye akili timamu na ambae pia ni Mdau wa ELIMU Naiomba Ofisi yako iweze kutoa ufafanuzi kuhusu baadhi ya majina ya waajiriwa wa Kada ya ELIMU Yaliyotolewa na Wizara yako pendwa na Nyeti ya TAMISEMI. Tarehe 27/11/2020 kuna baadhi ya majina ya waajiriwa yanaendelea kuwapatia watanzania TAHARUKI KUHUSU AJIRA ZAO....
Ukisema anahujumiwa hutakuwa sahihi kwani hakuna jicho lipofukalo kwa dole lako mwenyewe! Aliwateua watendaji aliowaamini na anaowaamini Hadi Sasa nao wanamwamini na kumsaidia kupita maelezo hawajawahi kumwangusha!Hatari na nusu.kwenye hii awamu Rais wangu anahujumiwa sana.tamisemi ifumuliwe.fullstop
ShukraniMkuu Alwatan kamba ,Mwenyezi Mungu akubariki sana kwa uchanganuzi mahiri sana.
Hii ndio tunaita kuitendea haki elimu,vyeti,vitabu,vyumba vya madarasa na walimu ambapo kote umepitia.
Kongole sana na "keep it up".