Rushwa imeifikisha pabaya TAMISEMI. Je, hawa viongozi wanaoiongoza wanapaswa kuwepo hapo?

mnashangaa nini,kwani kwenye ychaguzi hamkuona MTU akipata udhindi kwa kura hewa
 
Mkuu OTTER ,haya uliyoyaandika ni kweli!?
Itakuwa vyema kila kitu kiwekwe hadharani ili tujue wapi tatizo la msingi limeanzia. Wengine tupo mbali na huko nyumbani,hivyo tungeona uthibitisho wa haya uliyoyaandika,tungeweza saidia nini cha kufanya.

Kuna barua ilikuwa inazunguka kwenye magroup ya wasap iliyokuwa ikielekeza hivyo. Fuatilia kwa walimu wakuu wa shule za msingi na sekondari ujumbe huo walipewa watakusaidia na hata nakala watakuwa nazo
 
Barua ya wazi kwa sekretarieti ya ajira na TAMISEMI

Ndg, Viongozi wenye dhamana inayohusiana na AJIRA hususani Ajira za ualimu Mimi kama Mtanzania wa kawaida mwenye akili timamu na ambae pia ni Mdau wa ELIMU Naiomba Ofisi yako iweze kutoa ufafanuzi kuhusu baadhi ya majina ya waajiriwa wa Kada ya ELIMU Yaliyotolewa na Wizara yako pendwa na Nyeti ya TAMISEMI. Tarehe 27/11/2020 kuna baadhi ya majina ya waajiriwa yanaendelea kuwapatia watanzania TAHARUKI KUHUSU AJIRA ZAO....
Tano tena.

Hii yote ni michezo ya meko
 
Barua ya wazi kwa sekretarieti ya ajira na TAMISEMI

Ndg, Viongozi wenye dhamana inayohusiana na AJIRA hususani Ajira za ualimu Mimi kama Mtanzania wa kawaida mwenye akili timamu na ambae pia ni Mdau wa ELIMU Naiomba Ofisi yako iweze kutoa ufafanuzi kuhusu baadhi ya majina ya waajiriwa wa Kada ya ELIMU Yaliyotolewa na Wizara yako pendwa na Nyeti ya TAMISEMI. Tarehe 27/11/2020 kuna baadhi ya majina ya waajiriwa yanaendelea kuwapatia watanzania TAHARUKI KUHUSU AJIRA ZAO...
Kwani lengo la Tamisemi ni kutoa ajira ana ni kuuhadaa umma kwamba serikali ya awamu ya tano imetoa Tumia akili kidogo siyo mnaandika andika tu
 
Mwingine huyu hapa

DAUDI MW ITA W ILLIAM
S0846-0089/2010

Huyu jamaa hayupo kabisa ila kapangwa mtanga secondary mwenye uelewa akahakikishe ilo jina kwenye PDF na kwenye matokeo yake ya necta utacheka ufe
 
Naliona baraza la mitihani likiiunguza TAMISEMI kwa spidi kubwa
 
Barua ya wazi kwa sekretarieti ya ajira na TAMISEMI

Ndg, Viongozi wenye dhamana inayohusiana na AJIRA hususani Ajira za ualimu Mimi kama Mtanzania wa kawaida mwenye akili timamu na ambae pia ni Mdau wa ELIMU Naiomba Ofisi yako iweze kutoa ufafanuzi kuhusu baadhi ya majina ya waajiriwa wa Kada ya ELIMU Yaliyotolewa na Wizara yako pendwa na Nyeti ya TAMISEMI. Tarehe 27/11/2020 kuna baadhi ya majina ya waajiriwa yanaendelea kuwapatia watanzania TAHARUKI KUHUSU AJIRA ZAO...
Matokeo ya sayansi kufanya kazi ipasavyo,hivyo tuwe wapole kwani tumekuwa tukishangilia hata ujinga.
 
Ndg, Viongozi wenye dhamana inayohusiana na AJIRA hususani Ajira za ualimu Mimi kama Mtanzania wa kawaida mwenye akili timamu na ambae pia ni Mdau wa ELIMU Naiomba Ofisi yako iweze kutoa ufafanuzi kuhusu baadhi ya majina ya waajiriwa wa Kada ya ELIMU Yaliyotolewa na Wizara yako pendwa na Nyeti ya TAMISEMI. Tarehe 27/11/2020 kuna baadhi ya majina ya waajiriwa yanaendelea kuwapatia watanzania TAHARUKI KUHUSU AJIRA ZAO...
Mwanri atosha Tamisemi
 
Tangazo lilikuwa lipo sana applicant yeyote atakae jaza invalid numbers, application yake itakuwa nullfied and will not be processed(rejected). Sasa imekuwa hizo application ziwe proccessed wakati applicant amejaza invalid index number. Mmepokea rushwa namba zilizokuwa zinatumika kupokelea rushwa ntaziweka hapa na miamala yake

Mwaka huu wajumbe wamepewa nafasi yakwenda kufundisha
 
Naomba haya
Barua ya wazi kwa sekretarieti ya ajira na TAMISEMI

Ndg, Viongozi wenye dhamana inayohusiana na AJIRA hususani Ajira za ualimu Mimi kama Mtanzania wa kawaida mwenye akili timamu na ambae pia ni Mdau wa ELIMU Naiomba Ofisi yako iweze kutoa ufafanuzi kuhusu baadhi ya majina ya waajiriwa wa Kada ya ELIMU Yaliyotolewa na Wizara yako pendwa na Nyeti ya TAMISEMI. Tarehe 27/11/2020 kuna baadhi ya majina ya waajiriwa yanaendelea kuwapatia watanzania TAHARUKI KUHUSU AJIRA ZAO....
Naomba haya Majina yarudi TAMISEMI kwa marekebisho zaidi. Maana ni dhahiri shairi kuna Element za Rushwa katika ajira hizi.
Hizi ni Editing ambazo hazikubaliki hata kidogo.

Watu wenye Elimu seriously wameachwa ila wale wenye Elimu ya Muungano wamechukuliwa.Haiwezekani Index number yangu isomeke nimemaliza 2019 leo niajiliwe je nitakuwa nimesoma Kozi ya Muda gani?

NAOMBA SANA MAJINA HAYO YARUDIWE KWA UANGALIFU MKUBWA. TAMISEMI NI JUKUMU LENU KUANGALIA HILO KWA MASLAHI MAPANA YA TAIFA LETU.

Ahsanteni Sana
Nadhani wahusika watalifanyia Kazi.
God bless you guys.
 
Hatari na nusu.kwenye hii awamu Rais wangu anahujumiwa sana.tamisemi ifumuliwe.fullstop
Ukisema anahujumiwa hutakuwa sahihi kwani hakuna jicho lipofukalo kwa dole lako mwenyewe! Aliwateua watendaji aliowaamini na anaowaamini Hadi Sasa nao wanamwamini na kumsaidia kupita maelezo hawajawahi kumwangusha!
Usisahau kuwa kivuli Cha mtu ni mtu mwenyewe!
 
Back
Top Bottom