The Farmer
JF-Expert Member
- Jan 7, 2009
- 1,658
- 557
Hii nchi ni yetu sote, Mengi na mimi hatuna tofauti when it comes to maslahi ya taifa. Alilofanya Mengi ni jambo kubwa sana na tunatakiwa wote tujitoe kila mmoja kwa namna yake kuendeleza huu mpambano. 'Inatakiwa afanye action...' kwani yeye ni nani nchi hii? Nchi sio yake peke yake? Angekuwa yeye ni rais tungejua anafanya kazi tuliyomwajiri kufanya. Kumbe la, anajitolea tu! Tusipende kukaa na kumtegemea mtu mmoja tu ajitolee kwa ajili yetu. Na sisi tutoe michango yetu!
Tuambie hiyo action plan uliyo nayo!