Twamshangaa Rostam, lakini makanisa yetu ni machafu
Johnson Mbwambo Julai 16, 2008
Raia Mwema~Muungwana ni Vitendo
Niliamini kwamba mahali pazuri ambako Mheshimiwa Rostam alistahili kujieleza (kujisafisha) kuhusu tuhuma hizo ni kwenye mkutano na vyombo vya habari (press conference).
.
Umeeleza mengi mazuri nakubaliana nayo , ila katika hili hapa juu sikubaliani na wewe .Haya ni mawazo MGANDO ya watanzania wengi wakiwemo wasomi eti , Rostam au wengine wanaotuhumiwa na ufisadi wajisafishe kwa kuita waandishi wa habari.
Nani kasema waandishi wa habari wanasafisha?? anaweza akachafuliwa zaidi basi!!! HIVI HII IDEA YA ETI AITE WAANDISHI WA HABARI KUJISAFISHA IMETOKA WAPI?. HAYA NI MAWAZO YA WATU WALIOKATA TAMAA HAWANA MBELE WALA NYUMA, NI MAWAZO YA WATU WANAOFIKIRI UFISADI SAWA NA UDAKU.HAIHITAJI MTU KUITA WAANDISHI WA HABARI ILI MAGAZETI YATUUZIE HABARI INAHITAJI.KINACHOHITAJIKA NI MAMLAKA ZINATOTAKIWA(AKIWEMO RAIS) KUKAMATA HUYU MTU NA UCHUNGUZI KUFANYIKA HARAKA.kWA SABABU RAIS WETU SANAMU NA KWA SABABU MAMLAKA ZINAZOTAKIWA KUWAJIBIKA HAZIFANYI HIVYO, THEN SOLUTION NI KUIONDOA CCM MADARAKANI IWE KWA KURA AU KWA NGUVU YA UMMA.
SIPENDI KUMSIKIA MTU ANASEMA WAJISAFISHE, HALAFU AKIISHA ITA WAANDISHI WA HABARI .........AKIONGEA .
Kalenge
Our deepest fear is not that we are inadequate. Our deepest fear is that we are powerful beyond measure.Marianne Williamson:
Kitu kimoja ambacho viongozi wengi wanaokumbatia vijisenti hawataweza kujifunza ni kuzikataa hizi peremende za vigabacholi kama RA na kundi lake ni lazima tuwasafishe wether they like it or not. Si unaona hata mkuu wa kaya amefyata mkia.
The day will come and we will be free again and take our United Republic.
Ukitaka kumlaumu Mtikila jiweke kwenye mazingira kama yake na kisha angalia wewe ungefanya nini?
Kwanza Rostam ni rafiki yake, pia kakopa tena wakati huo kashfa za Rostam hazikuwa zinaeleweka waziwazi.Tatu, mkopo haukuwa na masharti yoyote.
Nne, hakuona urafiki kumshambulia Rostam alipoona anatumia kanisa kujisafisha. Akawa wa kwanza hata kutaka kwenda mahakamani ili mafisadi akiwemo Rostam waadhibiwe.
Namwamini Mtikila kuliko wanasiasa wetu wengi.
Sana tu!Zaidi tusubiri kutoka vyombo vya nyumbani kwani walikuwepo wengi. Wasipoandika tutaandika!
Ni lile anaposali Spika Samwel Sitta... (KKKT Kinondoni).
Aichangia kwaya Tshs Milioni 7...
Amalizia na kuwaomba waumini kuiombea nchi kwani iko kwenye kipindi kibaya cha watu kutafutana uchawi na kuonesha hali si shwari nchini.
Zaidi tusubiri kutoka vyombo vya nyumbani kwani walikuwepo wengi. Wasipoandika tutaandika!
Ni lile anaposali Spika Samwel Sitta... (KKKT Kinondoni).
Aichangia kwaya Tshs Milioni 7...
Amalizia na kuwaomba waumini kuiombea nchi kwani iko kwenye kipindi kibaya cha watu kutafutana uchawi na kuonesha hali si shwari nchini.
Zaidi tusubiri kutoka vyombo vya nyumbani kwani walikuwepo wengi. Wasipoandika tutaandika!
Ni lile anaposali Spika Samwel Sitta... (KKKT Kinondoni).
Aichangia kwaya Tshs Milioni 7...
Amalizia na kuwaomba waumini kuiombea nchi kwani iko kwenye kipindi kibaya cha watu kutafutana uchawi na kuonesha hali si shwari nchini.
Zaidi tusubiri kutoka vyombo vya nyumbani kwani walikuwepo wengi. Wasipoandika tutaandika!